Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kiwanja hiki kinapatikana nyuma ya jengo jipya la BOT mtaa wa idara ya maji barabra ya kwenda UDOM,BEI MILIONI 200,KWA MAWASILIANO tafadhali ni PM,tazama site PLANN katika attachment ni...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wa JF Jamani ninaitaji original ipod ya 6 au 8 GB used au mpya kama unayo nicheki kwenye 0716-369299 Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
895 Views
Nyumba mpya kabisa inapangishwa Mbezi mwisho ina jumla ya vyumba vinne ambacho kimoja ni master. Ina sitting room na dinning room kubwa kabisa na garage pia na iko ndani ya fence. Kwa maelezo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, nitapata wapi mbegu za viazi vitamu vya aina mbalimbali? (Nataka vile vya njano, vya pink, vyeupe n.k) Niko Natumbo. Sehemu yoyote kulipo na mbegu nitafanya utaratibu wa kuzipata Nahitaji...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nyumba ya kisasa na nikubwa sana . 1. maji yapo tena ni free coz kisima kipo apo apo 2. umeme upo tari 3. parking magari madogo 3-4 ipo 4. inavumba zaidi ya saba 5. ina fensi ya ukuta na gati...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Redio hometheter Samsung limont nimepoteza mpya ins wiki 4 ni new brand sio mtumba bei 350000/ipo temeke chang'ombe simu 0712690760
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Eneo zurri kwa ajili ya yard ya magari linakodishwa (linaweza kuuzwa kwa makubalino) yanaweza kuingia magari madogo 60/70. Liko barabara kuu iendayo Gongo la mboto. piga 0786 220014.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
CD/DVD/BLUE RAY 10 TRAYS DUPLICATOR FOR SALE, Price 1,500,000/- FOR INFOMATION CONTACT 0788933393/752923365.
0 Reactions
0 Replies
689 Views
Samahanini wajumbe ila nna kiwanja changu na nlikua nataka nikifanye kiwe flat mana kipo katika slope area na naweza kupata msaada wa contact za watu wanaokodisha hayo magari
0 Reactions
0 Replies
951 Views
wanajamii mambo kuna mashamba ya ekta moja matatu na vipande vya viwanja kama kumi vya ukubwa wa hatua 40x25 Vinauzwa kwa bei poa tu vipo maeneo ya Kibaha kwa mathias bei kwa mashamba ni kuanzia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina kiwanja changu cha ukubwa huu 90 kwa 75, jumapili nataka nianze kuweka foundation kama yupo mtu wa kuweza kunipatia ramani ya haraka anipatie na aniwekee sample zake kwenye email hii...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nahitaji mtu anayefanya biashara ya rejareja Arusha tushirikiane naye. Awe ameshaanzisha na iwe kwenye eneo lenye usalama na iwe na mtaji unaozunguka
0 Reactions
3 Replies
1K Views
The HP EliteBook p series 2730p notebook has been customized by the seller, so read the detailed listing and feel free to reach out to the seller to ask questions about specific adjustments...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwenye kupata hyo tv aina yeyote bei isizidi laki 3Tsh...contact 0763443210
0 Reactions
8 Replies
1K Views
kiwanja kinauzwa mabwepande kina ukubwa wa mita 40 kwa 40 kwa kiasi cha sh mil. 4 kiwanja kinatazamana na viwanja vya mradi kwa mhitaji piga 0712868672
0 Reactions
4 Replies
985 Views
Habari wana Biz, Naomba kujua ni wapi Dar ninaweza kupata vifaranga wa kuku wa kienyeji kama 30 hivi. Nijulishe na bei yao please
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau wenye uzoefu na magari.naomba ushauri wa aina gani ya gari(automatic) nayoweza kununua baada ya kuuza niliyonayo.isizidi 1500cc. Nategemea kuwa na tsh 7milions baada ya kuuza na kuongezea...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa anayependa tuwasiliane... Toyota Carina (1990), My road, white, right hand drive, automatic, 4 doors, power windows, engine 1.6cc, fuel Petrol, New tyres, valid registrations etc...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Ni kampuni inayotoa huduma ya ulinzi na usafi maofisini, majumbani, kwenye kumbi za starehe,bank, mashuleni, hospitalini, makanisani n.k kwa mkataba wa masaa, siku, wiki, mwezi, mwaka na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajf wote mnakaribishwa kwenye semina ya neno la Mungu kutoka kwa Mwalimu Christopher Mwakasege pale diamond jubilee siku ya kesho mchana(jumapili) kiingilio ni bure! Mnakaribishwa mkumbushe...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom