Habari wana JF
Nnasumbuka kupata cartiridge ya printer aina Canon Mp250 wakati mwingine najibiwa kuwa printer hiyo haipo. Kwa anayefahamu mahali nnapoweza kupata cartridge hyo nnaomba...
Ukubwa nii skwea mita 2218.
Lipo Kitunda Kati,karibu na barabara ya lami,kituo cha mabasi-Masaai umbali wa mita 100 kufika kwenye eneo.
Eneo linafaa kwa makazi au biashara au shughuli nyingine...
WE ARE PROFESSIONALS IN GSM INDUSTRY FOR THE FOLLOWING SERVICES
UNLOCKING ANY GSM PHONES
IPHONES
NOKIA
SAMSUNG
ALCATEL
BLACKBERRY
UNLOCKING ANY GSM MODEM
ZTE
HUAWEI
VODAFONE...
Wapi? Kimara Kilungule. Kilometa tatu kutoka Morogoro Rd (Kimara Korogwe/Kimara Mwisho).
Ukubwa? mita 40 kwa 20 (pamoja na eneo la bonde ambalo halijajumuishwa kwenye vipimo)
Bei? milioni 25
Sifa...
Hello wana JF
Nyumba inauzwa Chidachi East - Dodoma, ina hati, kiwanja kimepimwa,
na imejengwa kufikia kozi 12 ina vyumba 3 kimoja master,sebule,dining room,jiko,stoo na public toilet.Bado...
Green Bird Business College inawatangazia
kwamba Usajiri kwa muhula utakaoanza
4/3/2013
unaendelea,
kozi zitolewazo ni kwa ngazi
ya "Certificate" na "Diploma"
i. Procurement and Supply...
msaada jamani natafuta mahali pa kumpeleka mdogo wangu kujifunza mchezo wa basketball. kwa anaejua sehemu ambayo ina mwalimu kabisa anijulishe. tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.