Wana JF nafikiria kuanzisha kampuni ya usafirishaji wa mizigo. Natarajia kupata mshiko wa kutosha kununua malori used semi trailers 3 au 4, je hili ni wazo zuri? natamani kufanya hii shughuli...
Shamba moja lipo Vikuruti Mlandizi hekari 10 @ 2ml Tshs na lingine lipo kijiji cha Lupunga hekari 100 @ 1ml Tshs, yote yamepakana na makazi ya watu magari yanaingia, call me for, 0717000990
Asalaam aleikum wanafamilia wa jamii forum.Leo na mimi naomba kuelewesha ni model ipi ya scania itakayoweza kupiga mzigo masafa marefu bila usumbufu na wala kulemewa..Scania 94m,113 na 124. Kwa...
habari wana jamii, nina dish langu la euromax ffuti 6 full set( dish + kinga'muzi lina muda wa wiki moja tu lakini inanilazimu kuliuza kwa sababu nimehamishwa kikazi naenda nchi nyingine...
Kipo Mbezi kwa Musuguri karibu na barabara kuu ya mikoani, kina hati. Bei inaanzia Tshs 45m, pungufu unaongea....Hiyo ni opportunity kubwa kama una hela na unafikiria kuwekeza.
Hello
Office ya kupangisha kwa ajili ya shughuli za kampuni inahitajika. Ofisi inatakiwa kuwa na vigezo vifuatavyo
-ukubwa usiopungua 10m^2
-iwe maeneo Dar es salaam, ila kwa ufasaha zaidi...
Hello jf users,
I'm selling a complete Nissan Patrol Engine TD42 or its components.
If you need a complete one it will need yo to overhauling other wise i can sell some its components...
Jamani naomba kwa anayejua bei za cartridges zilizo kwenye demands na namba zake anipe ili nijue kama nawezaifanya biz hii...ntaringanisha na bei ya huku ikiwa poa ntaanza...pia wino wa ku refill...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.