Raharaha Arts Troupe inasaka wasanii na vipaji vifuatavyo:-
1- Wasanii wa sarakasi wa aina zote
2- Wasanii wa ngoma za asili yaani wapigaji, waimbaji na wachezaji
Kwa kazi za sanaa za ndani ya...
Eneo linauza ukubwa NUSU ACRE kibaha misugusugu, linatambulika na serikali ya mtaa hata kwenye mauziano lazima watahusika Tsh 2.3Mil atakevutika na sehemu anicheki!!!!
Nimekuwa nikipitia humu JF na kukuta matangazo mengi ya kuuza viwanja maeneo ya tegeta, boko, na madale. Na mengine humu yanasomeka kiwanja kipo eneo fulani na ukiwa serious unataka kununua...
Wakuu natumai mu wazima!
Nahitaji ushauri katika manunuzi ya TOYOTA SIENTA (2003-2004)
Katika kupitia website tofouti tofouti nimeona CIF yake sio mbaya, ila kuna vitu nahitaji kujua
Mfano...
Unapenda kuwa wakala wa star times ?, uwe unauza decoder/ voucher za star times huku kampuni ikikupatia matangazo/ banners..na vitendea kazi vingi kama fulana nk ?! Please tuwasiliane
habari wanaJF,
naomba kusaidiwa chaguo lipi ni sahihi kwa mhitimu wa shahada ya "BSc.BUSINESS INFORMATION SYSTEMS" kutokana na uhitaji wake katika mazingira ya kazi.machaguo ni kama yafuatayo...
Ndugu zangu natafuta nyumba ya kupanga Moshi mjini Kuanzia mwezi huu wa January 2013, eneo la karibu na usafiri wa daladala.
Iwe na walau vyumba viwili vya kulala na sebule, jiko (kitchen) na...
Habari wana jf nauza gari Daihatsu Terios 1998 ambayo ipo bomba kama inavyoonyesha katika picha bei ni tsh 8500,000/= haina tatizo lolote na haikuwahi kupata ajali kama unahitaji nione 0712-212220
habari wana jf napenda kuwatangazia kua nauza iphone 5 ambayo nimeinunua mpya na nimeitumia wiki tatu tu haina mchubuko wowote na ipo ktk hali nzuri haina matatizo bei nataka mil 1.4 (1400,000/=)...
Habari za leo wadau? Naomba wajuzi na wataalamu wa vifaa na mambo ya ujenzi mnijuze
kati ya aluminium na pvc ni ipi nzuri kwa madirisha Dar maeneo ya karibu na bahari?
asanteni
used for 5 months with no scratches
price 470000tsh only
2G Network
3G Network
Display TypeIPS LCD capacitive touchscreen, 16M colors
Size 480 x 800 pixels, 4.0 inches (~233 ppi pixel density)...
Naomba mdau yeyote anisaidie kunipa bei ya sokoni ya chuma cha kavu. Inauzwaje kwa TANI/KILO? Mie nina mzigo mkubwa chuma chakavu hapa Dar nataka kuuza.
Nokia lumia 610 with windows mobile 7.5 ram 256 na storage capacity 6GB kwa laki 380,000/= tu
Blackberry curve 9320 kwa laki 320,000/=
Kwa uhitaji niinbox
Compaq Presario
Widescreen HD
Ram 1gb
Hdd- 80gb
WLAN
DvD/Cd Rw
Bei ni 400,000/=
Ni Used lakini ipo katika hali nzuri sana
Kwa mawasiliano -
0682 017 620
Wahi fasta mzigo upo sokoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.