Kuku wa Kienyeji wakubwa wanapatikana kwa 12,000 tu, ukitaka mzima au aliyechinjwa vyote tunafanya, unaweza kutoa oda yako kupitia 0717-066624 au katika mtandao wetu bid or buy - Tanzania
Furahia...
nauza computa hp flat sceen pentium m imetumia miezi8 iko safi sana orignal ipo sawa na zinazotumika crdb benki natoa garantii mwaka mzima bei laki 3 mawasiliano email lufisakumtoni@yahoo.com
Nauza mayai ya blue yanayotibu kisukari presha na magonjwa ya moyo pia mjasiriamali anatakaiwa kufuga hawa kuku mayai yake ni gali sana huuzwa mpk 5000/= number yangu ni 0757662401
computa inauzwa hp desktop hp pentium m flatsceen iko kwenye hali nzuri sana galantii natoa mwaka moja mi nimetumia miezi6 tu bei yakuuzia laki3 mawasiliano yakunipata e-mail magovela90@yahoo.com...
nawahitaji walili wasiwe wadogo........umri chini ya miezi minne ningewapendelea zaidi...kwa atakae kuwa nao tuwasiliane kwa namba ifuatayo kuzungumzia namna biashara inavyoweza kufanyika na bei...
Wakuu poleni na majukumu, nina swali kidogo hivi kwa mil 60 ninaweza kuagiza range rover sport from uk...? Nikimaanisha mpaka kulipia kodi kila kitu.....inaweza kutosha ?......nisaidieni wakuu
Ndugu zangu naomba msaada wenu wapi naweza kupata baiskeli ya kumsaidia mgonjwa ambaye hawezi kutembea baada ya kuvunjiku mguu. Ninaihitaji kwa haraka sana. Mwenye kufahamu inakopatikana naomba...
Over the years, relatives have wasted money sent to Tanzania specifically for building a dream home. Most of these relatives funds were misused or the home that was built did not make...
Wakulu
Huyu Ndugu ni rafiki yangu nilisoma nae Minaki Sekondari around 1996-1998. Nilikuwa na mawasiliano nae ya email for a while then tukapoteana.
Najaribu tu ku-reconnect na an old friend...
wana jamii
incubator za mayai 24- laki 6
mayai 176 kwa 1m na mayai 264 1.3m
zote ni automatic na multi function
zinatumia umeme kidogo namade in china soko la EU certificated approved.
kwa...
hi all,
nauza flat screen computer monitor HP LE1901W (search it on google ukipenda) imetumika wiki 3.unatest kabisa.niko dar.price ni Tshs laki na 70 (this is very cheap confirm it on google au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.