khabari wanajamii! kuna nyumba inauzwa bunju 'a' shule nyumba imekamilika iko full [tiles, gypsum] vyumba4 vya kulala na master1 kubwa, jiko, bafu, public toilet, store, sebule kubwa na...
natafuta nyumba ya kupanga
chaguo la kwanza.
mahali: Iwe sinza au mwenge-dsm
content: Vyumba vya kulala vitatu (3) iwe na sebule 1, umeme, maji, (choo, bafu) ikiwa na uzio poa zaidi...
If you want to start online business or you want to transform your business to online or you want to add online business to your business? and you do not know how? contact us we will help you all...
Mambo vipi wakuu.
Kama wewe ni memba wa facebook na ungependa kupata nafasi za kazi kupitia facebook, karibu u "like" facebook page yetu kwani ina updates za nafasi zote za kazi sekunde hiyo hiyo...
maker-toshiba satelite pro A110
RAM- 512
HARDDISK- 80GB
DVD PLAYER- YES
USB PORTS- 3
PRICE- 350000
FAULTS- BATTERY n TRACKPAD
CONTACTS - 0718355635 OR 0755815174
Khabari wanajamii! kiwanja kinauzwa tegeta wazo, kimepimwa kina hati na kipo kwenye eneo lililojengeka kwa mpangilio,
kiwanja kina ukubwa wa sqm 2065, miundo mbinu ya maji, umeme na barabara ipo...
khabari wanajamii! kuna nyumba ya kisasa inapangishwa maeneo ya tegeta kibaoni, nyumba imekamilika yaani [gypsum, tiles na madirisha ya alminium] nyumba ina vyumba 3 master1 public toilet, jiko...
hp pavilion dv6000 for sale.ina 4gb ram,250 hard disk,ipo ktk hali nzuri sana ila ina tatzo la betri ukiwa poa waweza kuncheki kwa 0713 806 766.price 550000.
khabari wanajamii! kuna kiwanja kinauzwa bagamoyo ukuni block 4, kiwanja kimepimwa kina ukubwa wa sqm632, huduma
za maji na umeme zipo bei yake ni ml 8. kwa mhitaji piga 0714 107 215 au 0714104788
Nauza used desktop (with CRT) zenye RAM 2 GB, HDD 160 GB, PROCESSOR 3.0 For only 250,000 tsh.
Pia RAM 1 GB za desktop zipo for only 30,000 tsh.
Vyote vipo market in a superbu condition. Kama uko...
Nyumba inauzwa maeneo ya Kinondoni Mkwajuni Jirani na kituo cha Daladala cha Mkwajuni.
Nyumba ina hati na ina eneo zuri kwa biashara mbali mbali.
Bei ni Milioni 60 pia maongezi yanakaribishwa.
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.