Shamba linauzwa
ekari moja liko kibaha kwa Mathias km 6 toka morogoro rd,barabara inafika bila shaka yoyote.
Bei 2.5 mil nipigie kwa ufafanuzi au swali.
0752553959/0719081205
Wakuu,
Kuna mtu ameniletea dili la kiwanja kinauzwa huko Tuangoma Kigamboni. Kwa ninavyofahamu kigamboni inaleta mashaka sana hasa pale ambapo kiwanja hakijapimwa kwa kuwa mipango miji mingi...
Habari Wakuu,
Nauza HP Pavilion DV7 ya 2012 kwa TZS 700,000/= ni mpya na ina spec zifuatazo
Processor Name: Intel Centrino Dual Core
Processor Speed: 2.4 GHz
Operating System: Windows 7...
Kiwanja na nyumba kinauzwa pugu kinyamwezi.nyumba :- 4 bed rooms (muundo wa kisasa),korido,sitting room, ila bado kupaua tu.kiwanja:- kipo barabarani,kina nafasi ya kutosha kabisa.bei:-...
Wana JF wenzangu,
mimi huwa sipost sana threads huku, kuna jambo ambalo kuna kidogo linanitatiza, nimefika Munster wiki iliyopita na nitakuwepo kwa wiki mbili, kampani ndio inanipa shida...
Sizijui jina kitaalam ila nliona moja ineandikwa BLOSSOM sjajua ni jina la kampuni zalishi ama ni jina la mashine, but zinatoa hewa moto,na ni nzuri kujikausha baada ya kuoga.Ni kama hand driers...
Wakuu wote katika jukwaa hili heshima kwenu!
mimi ni mjasiliamali mdogo niliyeamua kujiajiri baada ya kuona kazi za kuajiliwa zimekuwa ngumu sana kupatikana. Mimi najishughulisha na utengenezaji...
Wakuu,
Kuna hii tovuti impya imeanzishwa hivi karibuni, automotors.co.tz, inayolenga kumrahisisha mtu kuuza na kununua gari hapa tanzania. Wahusika wa tovuti hiyo wanaomba msaada wako...
Pata huduma ya kushughulikia mchakato wa usajili wa kampuni yako kwa kukamilishiwa taratibu zote (ndani ya wiki 1) na usajili wa NGOs (ndani ya wiki 2). Wasiliana nasi kupitia namba 0714 784154 au...
ni moja kati ya camera ndogo but zenye ubora na hadhi ya juu. Just over 5/8" (16.3mm), 12.1 megapixel 4x
optical zoom lens, 3.5" touch screen LCD, Intelligent Auto,
Smile Shutter, Face...
plot yenye hati ikiwa na heka 8 inauzwa madale heka moja kwa Tshs 15 million. Ni mwendo wa dakika 7 kwa gari au bajaj kutoka bagamoyo road.
Plot hiyo iko baada ya kituo cha polisi cha wazo kama...
Hatimaye filamu ya mwisho ya hayati the greats KANUMBA.Imeshatoka nimebahatika kuiona leo mchana machinga wakiwa wanaitembeza mtani maeneo ya Tunduma.vp mlioiona vp ni nzuri?
i pad 2 nauza 870,000/= na i pad 3 nauza 1,550,000/= no longolongo nakukutumia mtu anakufata unapotaka unaicheck ukiridhia unalipa anakuachia ,made in USA,UR SERIOUS NI INBOX
Hatimaye filamu ya mwisho ya hayati the greats KANUMBA.Imeshatoka nimebahatika kuiona leo mchana machinga wakiwa wanaitembeza mtani maeneo ya Tunduma.vp mlioiona vp ni nzuri?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.