Natafuta laptop aina ya dell kwa aliyeko nayee anicheki kwenye 0718888665 0752507004
Dell yenye muonekano mzur nah old model yenye
web cam
RAM kuanzia GB1
Processor kuanzia 2.9
Wanajamii nauliza kati ya hizo gari nilizozitaja ipi ambayo spare parts zake zinapatikana hapa kwetu tanzania ingawa zote ni za kampuni moja,nimevutiwa na hizo gari,mtu yeyote anayefahamu anijuze...
Ni Toyota Cresta; 1997 model; 1998cc; AT; 99850km (10 July 2012); lipo katika hali nzuri; lipo Dar es Salaam; linauzwa wakati wowote na unanunua na kuendelea kulitumia wakati huo huo kwani halina...
Khabari wanajamii! kuna kiwanja kinauzwa bagamoyo mjini maeneo ya ukuni, kiwanja ni medium size kimepimwa na ukubwa wake ni sqm 780. bei yake ni ml 7.8 huduma za jamii kama maji, barabara na umeme...
Wadau,
Nauza BMW 3-Series 318ti M-Sport ambayo imetoka bandarini Ijumaa ya tarehe 21st Sept, 2012
Gari hii ni nzuri na zifuatazo ni details zake.
YOM; 1999
Odometer: 92,400 km
CC: 1,890...
Salaam wakuu,
Tafadhali ninaomba yeyote anayemfahamu msichana aliye smart na charming kiasi, mwenye uwezo wa kuuza genge ani-PM. Hii inaweza kuwa promotion kwa huyo housegirl wa jirani yako na...
galaxy note inauzwa...Used 1 month and a half in good cond.
Screen porotector
Custom back cover
s3 operating system installed
And charger
Pm or 0756 412 337 for info....cheerz XD!
workshop on enterprenueship
satarday 29 september 2012 tsh 5000/=
for more infomation please call 0683672508 or benkissy@yahoo.com
hii kwa watu wa arusha tu wanaopenda...
​LAPTOP aina ya hp inauzwa ths 450,000/= bei inaweza kupungua (maelewano)
features
150GB HARDDISK
WINDOW 7 ULTIMENT GENUINE
1.25GB RAM, Wi-Fi (wireless connection)
Intel(R) Pentium(R)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.