Heshima wakuu, Nina kashamba kangu kwenye ukubwa wa takriban Eka 8. maeneo ya Mwasonga kigamboni. Lina rutuba nzuri na limesafishwa lote. Kuna maji na vifaa vidogo vidogo vya kilimo. Kama kuna...
Wadau kuna plots mbili zilizofuatana zinauzwa,
zipo BUNJU block 6,
ukubwa: kimoja kina 1400sqm na kingine 1250sqm
bei ni milioni 50 kila kimoja.
dalali hahitajiki,
tuwasiliane kwa...
tembelea tovuti ya www.tihest.org kuna nafasi za masomo diploma health information management and finance, na certificatesdiploma in clinical medicine.
mark 2 gx 110 inauzwa kwa sh million 14 tu. pia kuna rav 4 ya 3 door kwa sh million 9, carina kwa million 9. Gari zote zipo dar kwa anayeitaji anaweza kuwasiliana ili aweze kuja kuziona...
MAENEO KWA UJENZI WA VITUO VYA MAFUTA.
Kibaha baada kidogo ya mizani heka 2
mlandizi ( visiga) heka 4.5
Temeke eneo la Tameko Dsm heka 1.5
mbagara chamazi heka 1
MAENEO YA UJENZI WA SHULE...
We look for serious sellers with
1. Diamonds:
give us a detailed description of your product, color, clarity, shape, size..manifest and current pictures if possible.
2. Copper cathodes...
Nauza
digital camera aina YASHIKA Lens yake haitoki nje kama digital camera
nyingine ipo tu flati ni nzima kabisa Nimeitumia kidogo niliinunua laki
1 na nusu kwa anayehitaji hata kwa laki 1...
Simu Mpya Kabisa na kila kitu chake ndugu wadau haina zaidi ya wiki tangu niimiliki:
Ni black in colour
ina WI-FI
Ina Camera 3.5 MP
ina Keyboard
screen touch
Microsoft Office outlook
8 GB...
Wana JF Nahitaji Laptop haraka iwezekanavyo kwa bei nafuu sana, hata kama ni used lakini iwe imesimama no scraches,Uwezo wa Battery 2hrs plus,Details Ram 2Gb au zaidi,Processor kuanzia 1.8GHZ na...
Hello JF...
Kuna friends wangu kama watatu wako kweney finishing stage ya nyumba zao. So katika kumaliza wanapenda kupata Designer wa jiko na dining. Kuwashauri setup ya makabati na jiko, fridge...
Habari ma-great thinker!!
Nyumba mpya inapangishwa Bunju. Ina vyumba kama ifuatavyo;
Master bedroom (self contained) - 1
Vyumba vya kulala viwili (wanashare choo) - 2
Library/Study room - 1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.