Wanajamii nawasalimu...!
Ninatafuta gari ya kununua aina ya RAV 4 au Suzuki ya mwaka 2000 na kuendelea...! Iwe kwenye hali nzuri....! Nitapendelea kama muuzaji atakua hapa Dar es Salaam...
Flash Disks ya aina ya TOSHIBA.
2gb- 9,000/-
4gb- 10,500/-
8gb- 12,500/-
* With 1 Year Warranty.
* Hii bei ni kwa 5pcs na zaidi.
* Special for RESELLERS.
Mwenge kuna frame kubwa nzuri kwajili ya biashara kama maduka hotel nk, Tsh 1,000,000 kwa mwezi, Kodi ni miezi 6 tu. Kwa mawasiliano: 0714-074040,0767-074040-0783-074040. Changamkieni deal...
Wana JF,
Kuna jamaa yangu ameniomba nimtafutie wafanyakazi wa ndani wawili.
Wa kwanza aweze kuongea kiingereza, atakua na kazi ya kumlea mtoto tu. Ataishi humo humo. Awe mdada, kama ana...
Wandugu mlioko Taiwan na China au yeyote anayeweza kupata simu aina hizo au housing yake naomba tuwasiliane kwa mail mabaghee@yahoo.com. Simu yangu imeharibika housing (cover zake) nimejaribu...
Kwa wale walioko Taiwan au China simu hizo zinapatikana huko. Tafadhali naomba mnisaidie kupata housing au simu yenyewe. Naambatanisha na picha zake.Tuwasiliane mabaghee@yahoo.com
Kwa wale wanaojenga, watakao jenga, usihangaike kupata milango imara kwa ajili ya nyumba yako. Ukifika kwetu utapata milango imara kwa uthabiti wa nyumba yako. TUPO NYAKATO NATIONAL, na...
Wanajamii habari naomba mwenye uelewa na bei ya hizi bati zenye migongo mikubwa anijuze tafadhali nasikia wanauza kwa mita ni kweli na bei yake ni shilingi ngapi?
naitaji line ya kutumia internet free kama unayo just contact me through 0752092762 we anza kwa kusema sam ntajua ni wa internet line jamani dili hilo ila ukija na uchakachuaji wako utaumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.