Naona jigambeads.com wanatoa kazi ila kwa njia ya tofauti kabisaaaaaaaaaaa.Hii ni style mpya.
Kwa sasa mnaweza kuwa mnaturahisishia kazi sisi. Hapa hata nikiwa nyumbani naweza kufanya kazi...
Je wandugu kuna mwana jamii humu anaweza kutuhabarisha, kuhusu mzawa anayetengeneza boat za fibre glass hapa nchini? Anwani zake na physical address. Na ubora wa boat zake na viwango kwa ujumla?
---------- ACEAXIS LIMITED --------
100% *OFFICIAL* AUTHORIZED DEALER
100% Brand New in Box Genuine Guaranteed
100% Lowest Price Guaranteed (Price Match May Apply)
100% FULL Warranty with setup...
Ni kutaka kujua tuu juu ya hilli.
Kwani wapo waliopoteza hela zao kwa kutangaza biashara zao, na wapo waliofaidika pia.
Je? Njia rahisi ya kufanya hili na likatambulika kwa haraka ni ipi?
Je, ulishawahi kusikia au kuona mtandao unaowasaidia watanzania kutangaza matangazo yao kwa bei poa?
JigambeAds
TanzaniaKwetu
Mitandao hiyo hapo juu inamwezesha Mtanzania yeyote kutangaza...
Haya wadau asiye na gari na analihitaji msimu umefikia,
Toyota Starlet ya 1999,5 doors, manual, white -minor body repairs chini- 1,999,999TShs.
Toyota Corola 1995, white, manual ,5 door NO...
Zinatusaidia, zinatuhamasisha na pia ni rahisi kuzitumia ni zimejazwa na neno jigambe kwahiyo product zote ni zao
ukiziona usijaribu kuzipita bila kuziclick tupo pamoja wadau.
Habari zenu wadau, nimechoka kukanyagwa na abiria wenzangu wa daladala, nahitaji kuwa na chombo cha kunisaidia kutoka sehem moja mpk nyingine. Nipo Dar, nahitaji gari aina ya TOYOTA OPA ambayo...
Habari wana JF
Leo nimewaletea Toyota voxy. Year-2002, ni auto, inatumia petrol, mile age 80,000km, ina automatic engine startup(yani unaweza kuiwasha ukiwa hujapanda uko nje), ipo katika hali...
Natafuta fundi wa computer,my pc ina tatizo,inahitajika motherboard mpya,aina ya motheboard inaitwa ASROCK G31M-S MOTHERBOARD,msaada Wakuu,kama yupo ani PM,asanteni
Matatizo yako yote katika biashara yako, yanatatuliwa na JigambeAds , JigambeBlogs - Blog and Earn, na kukuwezesha kupata mafanikio hata kama ni biashara yako ikiwa bado changa, kwani...
Wakubwa nauza gari aina ya daihatsu terios ya mwaka 1999 kwa bei ya tsh 8500000 ni rangi ya blue imetumika mail 80000 rim spors ipo katika hali nzuri sana kwa mawasiliano nicheki kwa namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.