located at Msasani Peninsula, Masaki, this property is a convergence of modern functionality bespoke finishes, including materials sourced from various European countries. With superb...
Located at Kibamba C.C.M area in Kinondoni Municipality Dar es Salaam City. About 25 metres from Morogoro Road . Roof: Is of hipped type covered with corrugated iron sheets on timber members. No...
Heshima mbele wana JF,
Nahitaji Document Feeder ya photocopier Canon IR 2520 (DADF-AB1 for Canon IR 2520).
Ningependelea kupata mpya, naomba mwenye nayo anijuze naipata kwa bei gani ifikishwa...
Wadau,
Naulizia kama kuna mtu anafahamu hospitali hii ilipo, au ana contact za hapo. Nimetafuta kwenye google, lakini sijapata info kamili. Hii hospitali ipo Dar es salaam, ila sijajua ni eneo...
Kuna siku niliwaambia wote wanaopenda kusoma mambo ya uandishi wa Habari, Utangazji, Radio Production waniPM. Wengi waliniPM wakiulizia details zaidi. Sasa details ziko hapa:-
1. Kozi itaanza May...
Salam wana JF,
Kwa wale wote wanaotaka kusoma Uandishi wa Habari, Utangazaji na Radio Production naomba uni PM ukieleza haya:-
1. Unaishi wapi??
2. Upo tayari kusoma kuanzia lini??
Nitakupa...
Natafuta vitabu vya ebooks kwa ajili ya Advanced level kama ifuatavyo:
1. Fundaumentals of physical chemistry by Chand
2. Biology science - Taylor Greeen
3. Inquiry into life - Sylivia
Naomba...
Natafuta vitabu vya ebooks kwa ajili ya Advanced level kama ifuatavyo:
1. Fundaumentals of physical chemistry by Chand
2. Biology science - Taylor Greeen
3. Inquiry into life - Sylivia
Habari kwa wanajamii forums wote!
Mimi ni kijana wa kitanzania ninaye amini katika mabadiliko na maendeleo. Naimani kama tunataka kujenga taifa la kisasa na lenye mitazamo ya kisasa katika masuala...
new office space 250 square meters suitable for offices, gym, canteen e.t.c. Enough parking space.
located next to shoppers plaza along old bagamoyo road (mikocheni).
*$14 per square meter...
Dear ma sis
Nakutakia sikuku njema ya ukumbusho wa kuzaliwa kwako;kwanza nampongeza mama aliekubali kukubeba miezi tisa bila kumtukuza mzee wetu aliepigana wewe kuja dunian na mwisho kwa wale
wote...
natafuta nyumba maeneo ya kuanzia mbezi Africana kurudi hadi kijitonyama hadi makumbusho. vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko, dining, na parking.
Thanks
Ipo Kimara Mavurunza mita chache kutoka ''Morogoro road''. Ina vyumba vinne vya kulala(kimoja master bedroom, self contained). Ina sebure kubwa yenye ukubwa wa sqm 40, jiko lenye ukubwa wa sqm 15...
Natafuta meneja wa kusimamia mradi wa kusaga, kukoboa,kupack na kuuza nafaka. Anatakiwa awe na uzoefu walao wa miaka miwili katika kazi hiyo hapa Dar es salaam. Awe na elimu walao ya kidato cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.