Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Nyumba ipo Mbezi beach, Ni nyumba kubwa double storey, ina na servant quarter, Ni Full furnished, ina standby generator, ina internet cables Inafaa kwa Office cum residential au residential peke...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
wadau, wana JF, Naomba yeyote anayefahamu watu wazuri na wenye gharama nafuu kwa uchoraji/design ramani za nyumba kwa ajili ya kuishi/makazi tafadhali anisaidie. Naamini wengine wapo humu jf...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Shamba la ekari 13 linauzwa,liko kigamboni km 37 kutota feri bei ya ekari moja sh 800,000 kwa maelezo zaidi tuwasiliane 0713876210.
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Nauza pajero IO au wengi mwaifahamu kama GDI nyeupe ya mwaka 1999 ina km 110,000 kama unahitaji nitumie email kwa lushe2010@yahoo.com kwa picha na maelekezo zaidi. Karibu, MF.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Contents 1. Introduction to SPSS 12.0 2. Preparing Codebook 3. Designing SPSS templates 4. Preparing the Data file before Analysis 5. Preliminary Analysis 6. Creating and Editing...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
kama kuna mdau mwenye kujua kufahamu duka /mahali/mtu ambapo naweza kununua used laptop yenye kiwango cha kuridhisha isiyozidi tshs 500,000/ tafadhali anitonye au anielekeze pa kuipata, nina dogo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mkakati wa Kusaidia WanaArusha . Tunapenda kuwafahamisha kwamba FOS Imeanzisha Mkakati wa Kuchangia WanaArusha waliopata Shida kwenye Maandamano ya Wafuasi wa CHADEMA na Viongozi wao ...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Model: Mark II GR Year: 1992 Km 197,000 Price: 3.8 M (Milioni tatu laki nane) Ipo katika hali nzuri sana. NB: Mnunuzi aliye serious ani-pm kwa ajili ya picha na details zingine atakazohitaji.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta Land Rover 109 ya kununua iwe katika hali nzuri.
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Jaji Mstaafu Dan Mapigano amefariki Dunia tarehe 15 januari 2011 katika hospitali ya Aga Khan ambako alikuwa amelazwa baada ya kupata stroke. Maziko yanategemewa kuwa tarehe 19 Januari makaburi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii nimeiona mahali nikaona ni vema kuiweka hapa. Kwa heshima na taadhima, naomba kwa wale wote waliosoma degree ya sociology kwa ngazi yoyote, iwe ni Tanzania au nje ya nchi bila kujali ni mwaka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
One storey building to let located just opposite to Mlimani City (100metres from University of Dar es Salaam Road) has one master bedroom, 2 rooms self contain, sitting room, dining hall, kitchen...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaam JF, Nauza gari aina ya corolla 110. Gari ipo kwenye hali nzuri, ni AC tu ndio haifanyi kazi. Transmission - Automatic Fuel - Petrol Eng - 14090cc Bei - 6M (maelewano yapo) Kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nina kijana wa ndugu yangu wazazi wake wote walifariki. sasa amefaulu kuingia form one shule za kata kijijini. nilitaka kumsaidia apate shule ya boarding ya serikali ili aweze kusoma vizuri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
3 bedrooms, nice garden, big compound of about 1800sqm, beautiful lounge and dinning area, servant’s quarters. Rent is $ 1,500 per month. You are free to pay rent starting from three months...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Lipo tanga kwa minchi
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Huyu dada tulipata kusoma naye, Ukwamani Shule ya Msingi huko Gairo. Baadaye yeye alijiunga na Kilakala Girls nami nikaenda Tanga Tech School. Wakati tukiwa Shule enzi hizo alikuwa anatumia...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Toyota Mark II GX 100 inauzwa Tsh 6,000,000/= Rangi;Silver Manf date;1998 Fuel;Petrol For serious buyers call 0713876210
0 Reactions
4 Replies
1K Views
We sell E-Books and E-Magazines in PDF format for ease of access and convenience. From Economist, Business Week, Time Magazine, to Harvard Business Review, GQ, Maxim, FHM and World Soccer...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani kwa mgao huu wa umeme ndugu yangu anahitaji fundi wa umeme wa jenereta ili aweze kucheck jenereta yake na kui-connect kwa nyumba yake (Sinza). Ni jenereta y amatumizi ya nyumbani... Naomba...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom