habari wana jamii..natafuta gari aina ya toyota vitz, carina, rav 4(3doors), raum...iwe nzuriambayo haijatumika sana...my budget is 4mil...
contact 0712 392134
Nauza gali zangu mbili zenye sifa zifuatazo:
toyota vx ya mwaka 2000, manual, inatumia diezel, nimekuwa nikiendesha mwenyewe (mwanamke). Bei maelewano.
landrover ya mwaka 2005, automatic...
Naomba nitangaze biashara yangu humu JAMVINI ili iwafikie wale wenye mahitaji.
Kama unatafuta au una shida na kitu, kifaa au chombo chochote kipya au kilichotumika, tena genuine, au unatafuta...
Wandugu ninataka kusoma CISA, niko Arusha.
nimejaribu ku dodosa dodosa sijapata anywhere naweza pata Review Classes.
Tafadhalini kwa alie na information zozote please naomba. else kama kuna...
Nyumba inauzwa Sinza Mapambano about 600 metre from Shekilango Road, ina vyumba vitatu, sebule, dining lounge na jiko! Plus uwa wa kutosha ambao una vyumba viwili vya kupangisha,bei 230m and...
kuna shule ya english medium nursery and primary maeneo ya njia panda segerea wana utaratibu mzuri kwa wenye kipato kidogo. katika kulipa ada unaweza kukubaliana ulipe kwa awamu ngapi kulingana na...
For interested Parties, there are plots for sale located in Kinzudi, Dar es Salaam.
Location is in the highlands of Kinondoni Municipal also known as Mbezi Juu, Behind New Vodacom Head Quaters...
wana JF nahitaji laptop mpya au used lakini isiwe imechakaa, iwe DELL au HP kwa specification zifuatazo:
1. HP COMPAQ 4320s INTEL CORE 1330M (2.13GHZ PROCESSOR), 2GB DDR II, 250 GB HDD, DVD...
Viongozi wangu,
Salaam!
Kwa heshima na Taadhima naomba tukumbuke thread hiiHII-HAPA
Nimetaarifiwa na mwan-JF wa hapa Arusha kuwa mnamo tarehe 24/12/2010 member mwenzetu fulani waJF aliyekuwa...
Hi JF,
Good day!!
I just wanna introduce you to this great site for online music. You can get the latest music here bila chenga wala kwere. Get the latest mixtapes in US right now. Check it...
gari aina ya toyota mark II GR iko sokoni
Transmission Type: Automatic
GRADE GR Saloon
full AC
Asking Price: TZS 3,600,000
serious buyer email me at kiswagokiswago@yahoo.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.