Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

IMPORTED FROM JAPAN AUGUST 2009 MILEAGE:65100KMS ENG SIZE:1490CC COLOR:SILVER(METALLIC) DRIVERN BY A LADY NO ACCIDENT PRICE 8M(negotiable) *PICTURES WILL FOLLOW SOON Reason For Selling...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nipo Kuala Lumpur, Malaysia. Nitakua hapa kwa muda usiozidi miezi miwili na nusu. Kwa wale ambao wanaishi au walishawahi kuishi hapa Kuala Lumpur naomba msaada/ushauri wa mambo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF, Nahitaji paka mdogo wa kufuga kwa gharama isiyozidi 25elfu, awe mdogo, asiwe mweusi na awe katika wenye uwezo wa kupambana na panya ikibidi.Inabidi awe DSM nitamfuata mwenyewe...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hello JF, Brand New(Boxed) notebook PC 15.6" display/ Processor 2.0Ghz,1MB L2 cache AMD Athlon dual core processor 3072 MB DDR2 RAM /250GB HDD/LightScribe super Multi 8X DVDRW/5-in-1 Digital...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani nawasalimu! Kisha nawaombeni msaada.Kuna tangazo ktk website ya UDOM (university of dodoma) lina title kama hiyo hapo juu.Mimi nimeshindwa kulisoma kwani natumia mobile device ambayo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi, Nauza TV yangu SAMSUNG 29'' flat( ina kachogo kadogo sana) ,nilinunua nov 2009. Bei 500k(negotiable) kama upo inetrested, +255754964911 kaijage@live.com Karibu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana JF naomba msaada. Nina tafuta chumba kimoja self au chumba na sebule kwa ajili ya familia ya mtu mmoja. Eneo lolote isipokuwa mbezi ya morogoro roadd. Ni vizuri kama nyumba ina uzio na gari...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nawatoleeni salam wakuu wenzangu nimepatikana na msiba wa Dada yangu Mpenzi hapo Dars-salaam Vijibweni nawataarifuni wote ndugu zangu wana JF Dada yangu amefariki hii leo saa saba mchana...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Wana JF hamjambo??? siku nyingi jamani, i missed my daily dose of JF.nilikuwa nimepotelea kule mikoani building the nation... but now am back!! not sure where to start but glad to be back...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
KWA WANAFUNZI WANAOFANYA PROJECTS ZINAZO-INVOLVE MICROCONTROLLERS, TUNATOA MSAADA KUANZIA USHAURI ,KUDESIGN SYSTEM ,PROGRAMMING AND FINALLY IMPLEMENTATION. Wengi wamefanikiwa via kwetu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
All Tanzanians who live in Massachusetts are invited to the 1st African Town Hall Meeting with Governor Deval Patrick Saturday, April 17th, 2:15pm Tobin Community Center, 1481 Tremont St...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Automatic, nyeupe, toleo la 2000, silinda 6, Ipo katika hali nzuri. Bei sh 7.9mil. Nafasi ya maongezi hipo. Inapatikana Dar es Salaam. WHO kwa ahadi (appointment) kwa kuomba appointment piga simu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Je unahitaji curtain box kwa ajili ya nyumba yako?tutakufungia curtain box nzuri na za kisasa kwa garama ya sh. 27,000 per meter for double curtain box and 17,000 per meter for single curtain...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna ndugu yangu, ni binti, ana umri wa miaka 28, ana degree ya IT, anatafuta kazi Dodoma. Ndugu wana JF naomba msaada wenu kama kuna mtu yeyote anataarifa zozote zitakazosaidia.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa wana ukumbi, JF Napenda kuwafikishia salamu za utangulizi juu ya kujiunga rasmi kwa aliyekuwa mbunge wa Bukoba mjini kwa tiketi ya CUF mwaka 2000-2005 hapa jukwaani, JF Mh. Lwakatare...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Gari ya kazi inauzwa kama unavyoiona katika picha. Ina injini ya diesel. Nzima inatembea ipo katika hali nzuri. Bei yake 4.5mil. Inapatikana Dar es Salaam. kwa maelezo zaidi tuwasiliane. 0717114409
0 Reactions
18 Replies
6K Views
"MUHADHARA WA KINAMAMA" Malezi Ya Watoto Wasiliana na alnoorcet: http://www.alnoorcet.co.uk/contact-us
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani naomba contacts za mabosi wa mashirika hayo matatu, I mean wale ambao wakisema kitu kinafanyika. Nitumie kwa mwanakijiji@jamiiforums.com
0 Reactions
11 Replies
4K Views
We import air condition for our building project and after installation we remain with about 20 Air Condition LG,18000BTU. We herby selling the remaining stock at Tsh 800,000 per item.Incase you...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa. Ipo Mbezi Msakuzi, ina vyumba 5, vyoo 2, mabanda ya uwani vyumba 8, haina maji wala umeme. Imezungushiwa ukuta. I na geti, imepigwa plasta tayari, inauzwa pamoja na shamba la eka 8...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom