Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Wakuu, IAM SHOCKED! HARDEST TIME ON EARTH FOR ME! Nimepata habari sasa hv nikiwa ofisini, babaangu mzazi amefariki huko Dar hosptal ya Amana. Niko KWENYE MIPANGO YA SAFARI KUJA DAR, mIpango...
0 Reactions
132 Replies
12K Views
Habari zenu wanaJF nina shida na Tablet PC kwa jili matumizi ya mwanangu ambaye yuko chuo,nimejaribu kuulizia maduka yote hapa Kigoma bila mafanikio,hivyo nimeamua kufunga safari kuja Dar wiki...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Salaam wana forum! Kuna nyumba nimeamua kuiuza ipo gongolamboto B.Details zake ni kama ifuatavyo:- 1.Ina fensi 2.3rooms plus 2 rooms outside in total there are 5rooms 3.Choo cha ndani na bafu...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ndugu wana jamii nina mali zifuatazao Green tourmaline, Red tourmaline, Nickel, Hammersist na mengineyo kulingana na mahitaji ya mteja. Wasiliana nami kupitia +255789453048 / +255752746068...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi, Chrispini, BHT, Geof, Ziondaughter na Kaizer tumewawakilisha wana JF wote kwenye msiba wa baba yake Pakajimmy maeneo ya kitunda na safari ilianza mida ya saa 8 kulekea Mbeya ambako mzee...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Yoyote anayeuza au anayehusika kwa namna yoyote katika biashara ya dhahabu chafu isiyosafishwa haswa haswa vumbi la dhahabu(gold dust) awasiliane na mimi, Ninaye partner wangu mmiliki wa kampuni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shamba lenye ukubwa wa eka 528 linauzwa mkoani Iringa. Bei 250m. Lipo Kijiji cha Kiponzero eneo la Ifunda. Lina hati ya miaka 33. Call 0713619850
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana JF habari wakubwa?? Naomba Ushauri nataka kununua Nissani Civilian Bus ili nifanya daladala sasa naomba ushauri kwa mwenye kujua aina nzuri ya Magari hayo maana mimi nataka kununua Engine...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
4 Bed room House with wall fencing for Rent.The House has ample Parking facilities, tiled floor ,three toilet-cum showers.The rent is 550,000 Shillings per month.The Rent is negotiable. The house...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
msiba massachusetts wa mumewe Da'Chemi chemponda (Reverend Douglas G. Whitlow 1951-2010) Wadau, nasikitika kutangaza kifo cha mume wangu, Reverend...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
2000 model toyota corolla spacio 98,000km silver color 1600 CC options AC, power steering,power window, custom wheels, radio, CD, tape, air bad, 3 rows seats, very clean inside and outside...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Toyota Raum For Sale Automatic, 2000model, Red, One month in TZ Price 7.5mil 0717114409
0 Reactions
1 Replies
2K Views
2000 model toyota raum 95,000km odo white colour 1450CC options sports rim, AC, radio, ABS, power steering, power window, bei 7,000,000/- contact 0713 744 144 - abdul
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina laptop ya mac Power book G5 Panther version 1.3.8 ram imeharibika. Ninasema hivyo kwa kuwa computer haitaki kuwaka na in beep mara tatu which means RAM is dead. Nimejaribu kwenda Elite...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa usafilishaji wa mizigo au kuagiza magari basi ni kampuni ya al marma clearing and forwording yenye makao yake makuu dubai, unasaidiwa kupata visa, unapokelewa air port, na kupelekwa katika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa wale wanaotaka kuagiza gari kutoka Japan,tuwasiliane, e mail; myaboyz15@yahoo.com au contact@lucusjapan.com. Nitakusaidia kupata gari nzuri kwenye auctions za Japan.
0 Reactions
28 Replies
4K Views
jamani nauza modem yangu ya sasatel ni mpya kabisa nimetumia 3week ipo na box lake ata nailoni sijatoa bei mapatano
0 Reactions
6 Replies
2K Views
safirisha mizigo na al-marma clearing & forwarding kuagiza magari na mizigo mbali mbali kwa usalama na bei nafuu na uaminifu wa hali ya juu hebu tujaribu huduma zetu uone, kwa maelezo zaidi fika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wandugu. Nauza hiace minibus ya abiria 16 ambayo ina mkataba na kampuni maarufu kwa malipo ya Shs.1.8 million kwa mwezi. Bei ni maelewano.Nipigie simu 0784829633 au tuma email: sleyim@gmail.com.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Members! Kwa heshima na taadhima, na kwa niaba ya familia ya Member maarufu wa jukwaa hili, Geoff, nawatangazia kwamba huyu mwenzetu anaoa 13/02/2010 huko Iringa...(msiniulize shemeji ni wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom