Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Wakuu naombeni mniungishe WA mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa Hata pc moja nakupa bei ya jumla . ADAPTER,KEYBOARD, RAM, VIOO VYA LAPTOP, HDD, HDMI CABLES STAND ZA KISHUA,MOUSE ,PROTECTOR ...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Tunapatikana Dar es Salaam, Kariakoo, Kisutu, Mbezi ya Magufuli na Manzese. Mikoani na nchi jirani pia tunatuma kwa uaminifu mkubwa sana. Kwa mawasliano zaidi piga 0714528887 au tembelea website...
2 Reactions
2 Replies
145 Views
Habari wadau! Bei za vitenge Kariakoo (java) wanauza 16,000/= - 18,000/= sometimes hivi wao watakuwa wanachukuwa kwa shilingi ngapi? Kama kuna mtu mwenye uzoefu naomba anielekeze au hata kama ni...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
NAUZA COMPUTER YANGU BINAFSI AINA YA HP PROBOOK YENYE SIFA ZIFUATAZO Model: HP Probook 450 G4 CPU: core i7 7th GENERATION Storage: 512GB (Ssd). Ram: 16Gb Price: Tsh. 680,000/= NOTE: Location DSM...
1 Reactions
1 Replies
180 Views
Hi natafuta shamba kibaigwa/kiteto la kukodi msaada tafadhali
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Infinix smart 8 Imenunuliwa mwezi wa 7 mwaka huu. RAM 3GB Storage 64GB Battery 5000mAh Bei 220,000/= maongezi kidogo yapo. Mwenye uhitaji karibu inbox Asante.
0 Reactions
3 Replies
257 Views
Wakuu, Sina haja ya salamu. Naitoa hii CLUTCH PRESSURE kwa bei sawa na bure, Niliiagiza mtandaoni ila imekuja ikiwa tofauti kidogo na ya kwenye gari yangu, hivyo naamua kuiuza kwa bei ndogo sana...
4 Reactions
14 Replies
404 Views
Wataalamu wa biashara ya vipodozi, ninaomba kusaidiwa mbinu mbalimbali za kupata maduka ya vipodozi vya aina zote yanayo-uza rejareja na mbinu za kuwafanya wawe wateja wangu kwa ajili ya...
5 Reactions
29 Replies
2K Views
Raha ya kusoma vitabu vya softcopy kwa Kiswahili ni kwamba vinakupa fursa ya kufikia yaliyomo kwa urahisi na haraka. Kitabu kikishatafsiriwa, huwa kinakupa mwanga wa kina wa yaliyomo ndani, na...
1 Reactions
14 Replies
486 Views
Habari! Karibu kwenye jukwaa la jamii yetu! Leo tungependa kujadili safari ya kutembelea Chemka Hot Springs. Kwa kufanya hivyo, wageni watajipatia fursa nyingi muhimu. Kwanza kabisa, kutembelea...
0 Reactions
0 Replies
153 Views
Bila Shaka Haujambo Na Unaendelea Vizuri! Kwa Majina Mi Ni Max Ernest Ni Mtaalamu Wa Graphics, Branding & Social Media Management. Nimebarikiwa Zaidi Katika Uandaaji Wa Matangazo! Hapa Namaanisha...
2 Reactions
2 Replies
203 Views
Wadau Habari?? Nna youtube account yangu taarifa zake ni hivi ... -It has 13usd, now it only needs identity verification. -Has 4k+ subs - per average it has 900 view Hours per every month since...
0 Reactions
0 Replies
114 Views
kama una mashine ya chainsaw kutoka Brazil Husqvarna 272Xp, contact 0764125128
0 Reactions
0 Replies
118 Views
Karibu jipatie mafuta ya nazi yasiyochemshwa (cold pressed). Mafuta yanakamuliwa kwa hali ya usafi na nazi safi ambazo hazijaharibika. Unaweza kupikia au kutumia kutuamia yakiwa mabichi kama dawa...
3 Reactions
13 Replies
254 Views
QR Code inaweza kumrahisishia mteja wako kupata taarifa za biashara yako kwa haraka zaidi ukilinganisha na kutafuta kawaida. Mfano; Unaduka lako, na umechapisha karatasi yenye jina lako la...
0 Reactions
0 Replies
97 Views
Ilidondoka chini mishale inachomoka sehemu zake,kama kuna fundi anaihitaji kwa ajili ya kuirekebisha au kuitumia kama spare anitafute,aniandalie kitu kidogo sent from kanyau
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari zenu waheshimiwa! Tunatoa huduma mbali mbali za kidigitali ikiwemo kadi za mialiko kama vile za harusi, send off, michango, graduation, business cards, nk. Achana na yale mambo ya kupanda...
1 Reactions
0 Replies
266 Views
Naomba mods msifute hii thread yangu Wana jukwaa kila siku nitakuwa na post simu hapa na vifaa vyake pia laptop flat TV na majiko ya gesi ukiitaji chochote nitakuletea .bei ni za jumla na bidhaa...
10 Reactions
22 Replies
1K Views
Gari ipo kwala Bei M 13 For more details Contact 0578804442
0 Reactions
0 Replies
163 Views
Back
Top Bottom