Brothers ICT solutions tunatoa huduma zifuatazo, Kuweka Windows ( 7 ) (8) (8.1) (10). Mac OS, na Ubuntu. Tunarudisha data zilizopotea au kufutwa kwenye pc, Flash, au External Hard drive. Tunatoa...
Habari za leo wanajukwaa.
Nnauza Pikipiki yangu niliyokuwa naitumia kwa matumizi binafsi, ni TVS Apache RTR 160. Ipo vzr haina tatizo lolote, nipo nayo huku Morogoro ila ukiihitaji kwa Dar...
Kwa yule ambaye ni supplier wa mafreezer hususani ya mitumba naitaji freezer moja au pengine ni mtu anayo anauza yenye sifa zifuatazo.
Sifa zake
Iwe na ukubwa wa kugandisha samaki kuanzia kilo...
Hello wana JF,
Ninahangaika kutafuta heater au kifaa kinachoweza kuongeza joto nyumbani. Kama ilivyo AC inavyoweza kufanya baridi.
Nimepata ambayo ina-function mara mbili, inaongeza barid na...
Wakuu salamu
Nahitaji IST yenye Sifa zifuatazo haraka iwezekanavyo, kama unayo na unauza njoo PM.
•1490 cc or above.
•Rangi Silver or White
•Rim Sport
•Sportlight
•Fogg light
•Isiwe na mkwaruzo...
Habarini ndugu na marafiki,
Sote ni ndugu kwa sababu sote ni watanzania kwa hivyo sio vibaya wakati mwingine kusaidiana.
Sasa leo hii nimeamua kutoa ramani ya bure kabisa ili ukajenge...
Wanajukwaa mimi naishi Dar. Nasumbuliwa sana na vibaka kutokana na ugumu wa maisha wanahangaika kutafuta chote cha kuiba.
Nimeamua nifuge mbwa kwa ajili ya kuniamsha wakiingia. Mwenye pupy wa...
Clean the courtyard
Cleaning private cars,wash trucks,wash the farm, washing factory, car washing machinebei ml.4.50000 hiyo ya blue
Nyeusi m.7 na nusu
Na hii kubwa ml.11 shipping company FedEx...
Enewei...Ni fundi urembo wa
urembo wa Dirisha
Urembo wa nguzo
Urembo wa fensi
Urembo wa kona au pembe za nyumba!
Nipo Temeke DSM na popote Tz nakufikia
Simu : 0789005562
NEW
Car Diagnostic tool ECU Coding Full Code Reader Scanner tool inauzwa, inasapoti model ya gari zaidi ya 140.
Ina
1. WiFi,kwaajili ya file sharing or internet sharing.
2. ina Tablet ya Inc...
Habarini wanajamvi,
Natafuta mtu mwenye wazo bora la biashara tuweze kufanya kazi, biashara i-base katika mambo yafuatayo:
1) Kutatua matatizo ya Jamii.
2) Kuwafikia Watanzania wote either kwa...
Karibu Deep Media Digital Agency ujipatie website bora kwaajili ya biashara yako
Kwa Tshs 450,000 tu unaweza kumiliki Website ndani ya siku 5.
Ofa hii inajumuisha yafuatayo
Utapata muonekano wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.