Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Pc hiyo hapo haina kipengele nimeitumia mwaka tu bei ni laki 2 na hamsini, mwisho laki 2 SISHUKI ZAIDII YA HAPO NJOO PM
2 Reactions
5 Replies
128 Views
Nyumba Inauzwa Bahari Beach, Dar es Salaam. Mahali: Br. Simba, Mtaa wa Mugeta. Sifa za Nyumba: *Iko Mita 100 kutoka barabara ya ununio. *Ina Vyumba vitano vya kulala(vyote ni master). *Huduma...
1 Reactions
2 Replies
199 Views
Suzuki Carry New Model 4WD Reg: EAA Year: 2016 Engine: 650cc Mileage: 76,862km Gari bado jipya halina kipengele hata kimoja Gari linabodi tayari kama linavyoonekana kwenye picha Bei: 14.5M...
0 Reactions
1 Replies
96 Views
Msaada tafadhali. Mwenye maiki nzuri (USB) ya kurekodia maudhui ya Youtube naomba anisaidie. Bajeti yangu ni 150,000 Asante na mbarikiwe sana.
1 Reactions
5 Replies
98 Views
Nauza mashine ya selcom bado mpya imeshaunganishwa na benki kadhaa kwa 200k Mawasiliano 0684228724 kwa mteja aliye serious
0 Reactions
1 Replies
72 Views
Ney Ubuyu wa Kishua Unaanzaje kupitwa na kiburudisho hichi kizuri Ubuyu mzuri wenye ladha ya Vanilla, Chocolate na Pilipili Jumla na Rejareja unapata Kisado 20,000 Ndoo ndogo 40,000 Ndoo kubwa...
3 Reactions
5 Replies
105 Views
Habari , napatikana Kisarawe Pwani , kama kichwa cha habari kinavojieleza , kwa aliekua na bunduki ya HALALI, tukutane inbox
0 Reactions
12 Replies
488 Views
SPECIAL OFFER! Kwa kila kazi moja ya kutengeneza logo utakayofanya na mimi Utapata offer ya bure ya 1. Proforma Invoice Template. 2. Tax Invoice Template 3. Delivery note template 4. Headed Paper...
2 Reactions
187 Replies
42K Views
Nyumba Inauzwa Tabata. Mahali: Misewe B, Liwiti. Sifa za nyumba: • Ina vyumba vya kulala 3 na master 1. • Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, Jiko na stoo. • Ina korido kubwa ya ndani na...
1 Reactions
6 Replies
251 Views
Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Mbiu. Sifa za Nyumba: *Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga. *Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni...
1 Reactions
17 Replies
632 Views
Wakuu salama? Kuna nyumba nauza haijakamilika natafuta mteja. Nyumba na kiwanja vipo DSM kama kuna mteja serius karibu PM kwa taarifa zaidi. Eneo: mbezi makabe mpakani, kiwanja kina 45x45sqm...
2 Reactions
13 Replies
883 Views
Natanguliza shukran zangu kwenu Kama una kitu unataka kununua kutoka dar na kukisafitisha bas niagize usiogope , tutafanya kazi hiyo kwa uaminifu mkubwa sana Kikubwa tu tupendane Nashughulikia...
27 Reactions
149 Replies
3K Views
Wana jamii forum Kuna watu wanauza mashamba morogoro eneo linaitwa bwanani karibu na bar inaitwa MV mapenzi.. Ukifika mkundi mwisho unaelekea mashariki. Je maeneo hayo ni salama kwa kununua. Au...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Jinsi Kutengeneza Kipato Endelevu Kwa Ukodishaji Wa Mashamba Kwa Wakulima Hapa Tanzania Kutengeneza kipato endelevu kwa kuwakodishia mashamba kwa wakulima ni fursa nzuri ya biashara kwa wale...
1 Reactions
1 Replies
339 Views
Kuna mashamba yanakodishwa Sumbawanga vijijini yanafaa kwa kilimo hasa cha mahindi. Mvua ni za uhakika . Matayarisho ndio yanaanza sasahivi mwezi wa kumi. Garama ni laki moja kwa ekari moja...
2 Reactions
13 Replies
536 Views
Wana JF habari za Jumapili , ikiwa una tatizo la mapengo unaweza tabasamu upya kwa kuwekewa meno bandia ya kudumu kwa gharama rafiki Tazama jinsi mama wa miaka 67 alivyotabasamu kwa mara ya...
3 Reactions
13 Replies
273 Views
Bei zetu kwa upande wa brand ya CENTARA . 1 - 315/80 R 22.5 - Tyre la mbele Price =465,000/= (highway) - Mixer (Trailer) Price =460,000/= Diff (kashata kubwa) price =510,000/= Diff kashata...
2 Reactions
4 Replies
138 Views
Habari wakuu. Eneo Kwajili ya Gas linauzwa GOBA Hapo unaweza kufungua kituo cha Kuuza Gas. Ewe mwekezaji fumba macho ununue hili Eneo. Sqm 2000. Kwa mawasiliano Zaidi 0754693556
2 Reactions
4 Replies
127 Views
Habari, Karibu ujipatie tyres mbali mbali pia Kwa wale ambao hamna ufahamu mzuri wa matairi ya magari makubwa mtapata maarifa kidogo pia na bei za kizalendo kabisa. Nitaanza na kutoa somo ili...
5 Reactions
38 Replies
849 Views
Karibuni kwa huduma ya ufugaji wa samaki na mbegu bora ya samaki sato na kambale. Tunapatikana Bunju B Darajani (mingoi), njia ya kwenda bagamoyo karibuni sana.
1 Reactions
3 Replies
315 Views
Back
Top Bottom