Nyumba Inauzwa Bahari Beach, Dar es Salaam.
Mahali: Br. Simba, Mtaa wa Mugeta.
Sifa za Nyumba:
*Iko Mita 100 kutoka barabara ya ununio.
*Ina Vyumba vitano vya kulala(vyote ni master).
*Huduma...
Suzuki Carry New Model 4WD
Reg: EAA
Year: 2016
Engine: 650cc
Mileage: 76,862km
Gari bado jipya halina kipengele hata kimoja
Gari linabodi tayari kama linavyoonekana kwenye picha
Bei: 14.5M...
Ney Ubuyu wa Kishua
Unaanzaje kupitwa na kiburudisho hichi kizuri
Ubuyu mzuri wenye ladha ya Vanilla, Chocolate na Pilipili
Jumla na Rejareja unapata
Kisado 20,000 Ndoo ndogo 40,000 Ndoo kubwa...
SPECIAL OFFER!
Kwa kila kazi moja ya kutengeneza logo utakayofanya na mimi Utapata offer ya bure ya
1. Proforma Invoice Template.
2. Tax Invoice Template
3. Delivery note template
4. Headed Paper...
Nyumba Inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
• Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
• Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, Jiko na stoo.
• Ina korido kubwa ya ndani na...
Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Mbiu.
Sifa za Nyumba:
*Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga.
*Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni...
Wakuu salama? Kuna nyumba nauza haijakamilika natafuta mteja. Nyumba na kiwanja vipo DSM kama kuna mteja serius karibu PM kwa taarifa zaidi.
Eneo: mbezi makabe mpakani, kiwanja kina 45x45sqm...
Natanguliza shukran zangu kwenu
Kama una kitu unataka kununua kutoka dar na kukisafitisha bas niagize usiogope , tutafanya kazi hiyo kwa uaminifu mkubwa sana
Kikubwa tu tupendane
Nashughulikia...
Wana jamii forum Kuna watu wanauza mashamba morogoro eneo linaitwa bwanani karibu na bar inaitwa MV mapenzi.. Ukifika mkundi mwisho unaelekea mashariki. Je maeneo hayo ni salama kwa kununua. Au...
Jinsi Kutengeneza Kipato Endelevu Kwa Ukodishaji Wa Mashamba Kwa Wakulima Hapa Tanzania
Kutengeneza kipato endelevu kwa kuwakodishia mashamba kwa wakulima ni fursa nzuri ya biashara kwa wale...
Kuna mashamba yanakodishwa Sumbawanga vijijini yanafaa kwa kilimo hasa cha mahindi. Mvua ni za uhakika . Matayarisho ndio yanaanza sasahivi mwezi wa kumi. Garama ni laki moja kwa ekari moja...
Wana JF habari za Jumapili , ikiwa una tatizo la mapengo unaweza tabasamu upya kwa kuwekewa meno bandia ya kudumu kwa gharama rafiki
Tazama jinsi mama wa miaka 67 alivyotabasamu kwa mara ya...
Bei zetu kwa upande wa brand ya CENTARA .
1 - 315/80 R 22.5
- Tyre la mbele Price =465,000/= (highway)
- Mixer (Trailer) Price =460,000/=
Diff (kashata kubwa) price
=510,000/=
Diff kashata...
Habari wakuu.
Eneo Kwajili ya Gas linauzwa GOBA
Hapo unaweza kufungua kituo cha Kuuza Gas.
Ewe mwekezaji fumba macho ununue hili Eneo.
Sqm 2000.
Kwa mawasiliano Zaidi
0754693556
Habari,
Karibu ujipatie tyres mbali mbali pia Kwa wale ambao hamna ufahamu mzuri wa matairi ya magari makubwa mtapata maarifa kidogo pia na bei za kizalendo kabisa.
Nitaanza na kutoa somo ili...
Karibuni kwa huduma ya ufugaji wa samaki na mbegu bora ya samaki sato na kambale.
Tunapatikana Bunju B Darajani (mingoi), njia ya kwenda bagamoyo karibuni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.