Vifaa hivi vyote vinauzwa.
Ilikuwa ni kama Library lakini biashara haikuwa nzuri hivyo Ofisi inafungwa. Kama kuna mteja anaweza kuja kuvinunua hivi vitu,kindly naomba tuwasiliane.
1. Display...
Wadau nahitaji ideas kuagiza iPhone 7 through Amazon/Alibaba kununua nchini ipi nafuu?
Pia specifications zipi muhimu nisijeuziwa mche wa sabuni komoa!
Karibuni kwa mawazo yenu wakuu.
Salaam wadau,
Tunahitaji mfanyakazi wa usafi wa ofisini kazi kubwa ni kusafisha ofisi na samani za ofisini.Ofisi ipo Upanga maeneo ya Muhimbili - Dar es Salaam.Tutafurahi zaidi kama amepitia...
Android application development kwa yeyote mwenye uhitaji wa kutengenezewa application ya android kwa matumizi ya kiofisi,binafsi and other uses anaweza kuwasiliana nami nkamfanyia mpango,pia...
Habari JF.
Nimepata transfer kuja Morogoro kikazi mjini ila sina wenyeji hapo kabisa hivyo naomba kujua gharama za chumba kimoja ambacho ni self container pawe na maji na security nzuri naweza...
Toyota Harrier new model
Reg DES
Cc 2360
Ya mwaka 2007
Good condition
Full paid
Full documents
Bei Kama Bure ml 16,500,000/
Maongezi yapo kwa serious customer.
Contact : 0764320475
NB: Gari...
Wadau wa JF, amani na upendo uwe Nanyi!
Nimekuja kwenu nikiwa nahitaji Compressor Mashine kwa ajili ya kutobolea mawe (drilling) ambayo baadae nitayavunja kwa baruti Kisha kuyauza kwa wateja...
Sale Sale
Bought new from Japan/
All in Good Condition/
Ni Vifaa vyote vya kufanyia kazi/
Vifaa vilivyopo;
-Tyre Changer,
-Compressor ujazo litre 500.
-Charge betri yenye uwezo wa kucharge...
Generator 6 zinauzwa kwa pamoja ...brand ni FG WILSON.
Zimetumika kwa muda wa miezi kumi(10) hazina tatizo lolote
Full automatic
Capacity: generator 4@ moja ina KV 30
Na generator 2 kila moja ina...
Habari zenu ndugu wana jamii?
Kwa mara nyingine, napenda kuwatangazia wale wapenzi wa riwaya za kipelelezi kuwa vitabu aina nane vya Joram Kiango vilivyoandikwa na marehemu Ben R. Mtobwa sasa...
Kwa mahitaji ya poster za events mbali mbali tucheki kupitia 》》》》 [emoji3513] 0656461960
》》》》》 Bei yake ni elfu 30 tu! [emoji389].
Karibu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongeza ujuzi wa kompyuta na mtandao.
Lengo langu ni kukuongezea wewe ufanisi katika shughuli, biashara au miradi yako unayoifanya. Pia unaweza kujiajiri kwa kusoma kozi mbalimbali ninazozitoa...
Habar. Wanajf natafuta hii mashine ya kuvunia mpunga kwa mwezi ujao. Mwenye nayo au Kwa anayewafahamu wanaozikodisha please tuwasiliane 0714306015 au anpm
This Warehouse Available For SALE;
Located at Chang'ombe Industrial areas.
Size; sq. Meters.
2 Offices, Washrooms.
Ample Parking slot;
Ideal for light industry, storage, e.t.c
Location...
Habari wanajamvi, naomba aliye na simu aina ya Samsung, Huawei au iPhone tuwasiliane nahitaji simu ya haraka sana bei isizidi kilo 4.5
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba inapangishwa Gongo la Mboto Majohe
Vyumba vinne
Master 1
Sitting room
Dining room
Store
Public toilet
Parking kubwa
Uzio wa ukuta
Maji kisima.
Bei @200,000 kwa mwezi
Mawasiliano 0744756127...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.