Habari wana JF.
Napenda Kuwa julisha Kuwa sasa tumefungua ofisi kwa ajili ya kusafirisha mizigo na vifurushi kwenda mahali popote Tanzania kuokea mbeya..
Tunasafirisha mizigo kutoka mkoani...
TANGAZO, TANGAZO, TANGAZO....
Nauza mbegu za chia Chia seeds kwa bei rahisi Kama ifuatavyo:
Kuanzia kilo 31 - 1000, Tsh 4000@kilo
Kuanzia 21-30 , Tsh 4500@kilo
Kuanzia 11-20,5000@ kilo
Kuanzia...
Habarini wapendwa.
JF kwa wafugaji wa kuku wa nyama na mayai nauza cages za kufugia kuku wa mayai na kuku wa nyama hizi cages ni imara na za kisasa cage moja ni laki tano na hamsin(550000) kwa...
Viwanja vinauzwa bei poa Mapinga Kibosha. vipo Viwanja Vitatu ukubwa wake 40*40 kila Kiwanja. Umeme upo.
Hapajapimwa. Taratibu zote za Kisheria zitafatwa ikiwemo Serikali ya Kijiji.
Bei ni...
Wadau,
Yeyote mwenye kijiko cha kupakilia mchanga kwenye malori, ipo kazi hapa kwetu Misugusugu, Kibaha. Kazi itadumu kwa miezi miwili au zaidi kwa kupakilia eka mbili au zaidi za mchanga, kina...
Wakuu hapa mjini mafudi wa Ac za magari ni wababaishaji,ukipeleka hakatai ila anajaza gas basi kesho yake tatizo linajirudia.
Naomba kujua nani BINGWA wa AC za magari hapa jijini Dar hata kama...
Natafuta watu wanaofanya biashara ya mchele sehemu za miji tuweze kufanya biashara ya mchele kama tunaweza kukubaliana niwe nakununulia kutoka kwa wakulima na kuukoboa pamoja na kuugrade na...
Je Unaitaji Mahindi Au Mchele Kutoka Morogoro ? Mahindi Safi Kabisa Kutoka Morogoro Mziha Na Kilindi Tanga Yanapatikana Kwa Bei Nafuuu , Vilevile Mchele Super Kutoka Mukindo , Dakawa , Turiani (...
kampuni ya webtechnology ya kariakoo, wanakuletea ofa kabambe kwa wewe mfanyabiashara unayetaka kununua machine ya receipt EFD. Sasa ukitaka machine huna haja ya kulipa laki 8 yote unaweza...
Wakuu Sina mengi Sana ya kuwachosha nahamia dar nikaanze maisha kwa bahati Mbaya sijui Bei za vyumba vya kuishi na Bei za frame za biashara.
Mwenye uzoefu wa Bei aje anipe Bei zake ili niendelee...
*Kiwanja kinauzwa*
, kipo eneo la MANISPAA YA MOROGORO, KATA YA KIHONDA, MTAA WA NGUVU KAZI, KIMEPIMWA
SQ 800M , sawa na Urefu hatua 40 upana Hatua 20.
*Bei SHS. 3.5M* ,
Kipo umbali wa 1.5km...
Mm ni fundi pancha napatikana mbagara dar natafta mtu wa kushirikiana nae kufanya biashara ya oil za magar na pikipk na tyre service ofisi center nishapata na mtungi ninao na ninauzoefu wakutosha...
☑ Meno kuuma.
☑Fizi kuvimba
☑Meno kuoza
☑Meno kutoboka
☑Harufu mbaya/ganzi
☑Dawa hii inasadia kukausha vidonda na majeraha ya kuungua au kujikata.
☑Pia inag'arisha meno yenye rangi rangi au suka...
Je unataka/una mpango wa kujenga nyumba ya gharama nafuu kwa kutumia vifaa vinavyopatikana hapa nchini na nje ya nchi?Je unahitaji nyumba ambayo baada ya kuijenga gharama za uendeshaji ikiwemo...
Kama Tangazo lilivyo hapo juu nipo tayari kuwasambazia wateja wangu mafuta ya alizet kwa ujazo wa lita tano ikiwa na ubora mzuri kwa wale mliowahi kutumia fresh oil singida ndio hiyo bei ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.