Habarini wapendwa,natafuta sehem ambayo naweza lipia kwa kuweka kibanda changu cha biashara,lakini liwe eneo lenye watu na lenye biashara na liwe dar es salaam ! Nitashukuru,mwenye idea pls...
Nyumba ina wiring, gypsum kisasa,Aluminium windows, tiles, vyoo viwili ndani vyumba vya kulala 3,kitchen,sitting room, Ina miundombinu ya maji ndani,ina kisima cha maji baridi ya kunywa,Ina chumba...
jipatie sabuni nzuri za shaza
sabuni ambazo zitakusaidia kuondokana na matatizo ya chunusi za muda mrefu na hata alama nyeusi nyeusi,pia hufanya ngozi kuwa soft na ya kupendeza nauza kwa bei ya...
Specifications
Memory 32 GB
Unapewa na charger.
Simu bado mpya kabisa ipo katika hali nzuri.
Napatikana Mbezi mwisho DSM
Bei ni 680k.
Mawasiliano 0717916063
Kwa watumishi wa umma Jipatie mkopo chapchap ndani ya masaa 24 kiasi chochote kuanzia laki 1 na kuendelea
Mawasiliano: 0769467795
0684296454
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni machine ya kisasa inayo Fanya kazi ya kuprint matishert, mikoba, mizura na kofia. Inafanya kazi nzuri sana
Changamkia fulsa na umake money, km upon serious nchek kwa namba 0763208101 tufanye...
Hii ni mashine inakatakata mhogo mbichi vipande vipande kama slesi za mkate kwa kipimo unacho set. Kipimo kinachotakiwa sasa hivi ni sentimeta moja ya unene wa mhogo.. Baada ya hapo vipande vile...
Kiwanja kipo karibia na ziwani yaani kwa kifupi ni beach plot. Ukubwa ni heka 4.
Wamesha survey lakini hakijapimwa hivyonukinunua waweza omba kupimiwa
bei 16m
kwa maelezo zaidi ni pm
Welcome jr supplier ni wauzaji wa mchanga wa mtoni super kwa kujengea kwa bei ya jumla na rejareja tunapatikana mpiji river contact 0657710078
richbalele@gmail.com
Wakuu Nawaslimu kwa mpigo popote mlipo mnapolijenga taifa.
Mie ni mtaalam wa masuala ya fedha kwa kiasi chake, nimetengeneza spreadsheet template ambayo inawezesha ku-manage/track bidhaa/stock...
XIAOMI REDMI NOTE 2 DUAL SIM
Network 4g | Display 5'5
Storage 16gb | Ram 2gb
Camera 13mp | Selfie 5
Battery 3030
Simu iko vizuri sana
Bei 120000/-
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani ninataka kufungua bakery nimepata changamoto ya vifungashio kwa yeyote anayefanya biashara hii ya vifungashio anitafute ninashida hiyo sana kwa sasa
Naomba sana msaada wenu asanteni
Wakuu,mambo vipi! Mimi ni Mtaalamu wa Computer, Nina Bachelor Degree in Computer Science. Nipo Dar Es Salaam. Kwa sasa Ninafundisha kwenye Chuo kikuu kimojawapo hapa Dar.
Ninafundisha MTU mmoja...
Jipatie
Tv nch 32 Philips flat screen
280000
Tv nch 21 Philips chogo
110000
Sabowfer
Sea piano
50000
Ps 3 super slim
320000
Ps 2
110000
Sent using Jamii Forums mobile app
Intel celeron CPU B820 1.70GHZ
BRAND: Samsung
HDD:350 GB
RAM:2GB
BATTERY:2HRS
Tatizo: left click yake inasumbua kidogo
Bei:nakaribisha offer zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.