Sifa za hiyo laptop ni
1. HDD kuanzia 500GB nakuendelea
2. Processor core i 5 gb 2.5 nakuendelea
3. RAM 4gb na kuendeleza
4. Display 15"
5 iwe na DVD ROM
6.iwe na uwezo wa kusapoti wifi na...
AM standard cleaning team ni kampuni ya usafi iliyosajili iyojishughulisha na maswala ya usafi katika mkoa wa Arusha na Viunga vyake.
Tunatoa huduma zifuatazo;
•usafi wa nyumbani - kama vile...
NAUZA
MICROSOFT SURFACE RT 8.1
Inter core i5-3317u CPU 1.70ghz
Touch screen
Ram 4gb
Ssd 64gb
Camera
Os Windows 8.1
Condition used
Location Upanga
Bei 450000
Sent using Jamii Forums mobile app
Tairi safi kabisa ajitumika hapa Bongo gari imefika bandarin ikavuliwa zote nne
Bei 140,000 kwa zote
Call 0673263071 zipo posta mpyaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wananzengo, kama unauza ipad used iwe na hali nzuri tafadhari waailiana na mtu anahitaji kwa udi na uvumba, iwe na hali nzuri saaaana ikiwa na inatumia line itapendeza sana.
Sent...
Viwanja hivi vipo Kigamboni- Kimbiji jijini Dar es Salaam, mita 500 kutoka baharini. Kutoka Kigamboni mpaka viwanja vilipo ni umbali wa Kilomita 38 ambao ni sawa na umbali wa kutoka Posta Mpya...
Naomba mwenye kujua mkoa ambao maboga yanapatikana kwa wingi anijulishe nipo arusha.
Pia ningependa kujua kilo ni sh ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana Mtanzania ni dereva na fundi mechanical, nina uzoefu wa kutosha kwenye udereva na ufundi nimesoma chuo cha NIT udereva na chuo cha ufundi VETA
Niko tayari kufanya kazi popote...
Kasuku ni app inayoweza kukusaidia katika biashara yako kwan itakua rahisi wateja wako kukupata na pia kwa mteja inamrahisishia kupata number mbalimbali za kampun office,kusajili biashara yako...
NYUMBA INAUZWA
DESCRIPTION:
Ni nyumba ya vyumba vitatu kimoja ni master room,pia ina dinning,sitting,public toilet na parking
Eneo lina sqm 2000 zikiwa zimegawanywa sqm 1ooo kwa ajili ya makazi...
Naomba kujua wapi ninaweza pata kwa hapa Dar es salaam, spare parts za Gari VOLVO XC 90, nahitaji wind screen na engine mounting zote(used or new). Thanks
0717696688, my Number
Naomba msaada wa kufahamu wapi nitapata spare parts za Mitsubishi. Nahitaji Engine valve na gasket kit yake. Kwa kuwa nimekata sylinder head nahitaji hizo valve zimepinda baada ya timing belt...
Kwa wale wakazi wa arusha karibuni snaa mjipatie mayai halisi yenye ubora, mayai haya ni kutoka kwa kuku ambao wanajitaftia chakula mwenyewe hivyo yanavirutubisho halisi kabisaa
Trai moja ni sh...
Dinner table na viti vyake 6 inauzwa.
Imetengezezwa kwa mbao halisi za Tz na sio mchina.
Ukihitaji unaweza ukanicheki PM kwa mawasiliano.
Ipo Ubungo
Bei ni 350,000/-
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.