Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Hi ladies karibu katika page yetu na duka letu uweze kujipatia vitu bomba kama viatu aina zote kama flats , vya mtoko, heels na simple aina zote pia kuna urembo kama saa, pete, hereni na bracelate...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama uko kwenye ndoa hujabahatika kupata mtoto na umepima hospitali wewe na mke wako mko vizuri tu nataka niwasaidie, sitaki ata shilling kumi ya mtu, nikikuomba hela jua mimi muongo ila nachokata...
0 Reactions
5 Replies
842 Views
Habari, Tunaunda na kufunga system ambayo itaweza kutambua route ambazo gari yako imefanya kwa siku au mwezi. Kupitia system hii utaweza *kujua route ambazo gari yako imefanya kwa siku au mwez...
0 Reactions
0 Replies
575 Views
ARUSHA ARUSHA This week ni zamu ya arusha unaletewa hizi earphone mpaka ulipo bureee weka order yako sasa Kama upo arusha na unahitaji hizi earphone mwisho wa kuweka order ni leo jioni Zimebakia...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Codelab Technologies Call us (0768 108 131) Micro-finance Software ni software kwajili ya makampuni ya kukopesha (micro-credit/micro-finance companies) software hii itaiwezesha kufanya...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari zenu waheshimiwa, Naomba kuuliza kama kuna yeyote anajua mahali pa uhakika ambapo nitaweza kupata mayai ya kisasa kwa bei ya jumla. Ntakua nachukua tray za kutosha. Shukran sana wakuu!
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Mbezi, Dar es Salaam, Tanzania... Naitwa Enock, napatikana Mbezi mwisho (Mbezi ya Kimara), mimi ni fundi wa kutengeneza sofa kwa bei nafuu. Napokea oda kwa anayehitaji. Nyote mnakaribishwa...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
At 13,000,000 yaani bei ya kiwanja .unaezeka na kuanza maisha Umeme na maji mlangoni Call 0626 600 000 or WhatsApp
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Afrotech ni wataalamu wa matengenezo na maboreho ya mashine za maofisni na stationary Tunapokea oda na tender za services kwa Dar es salaam Ukiwa Kama mdau ambaye unaweza fanikisha tenda au...
0 Reactions
1 Replies
801 Views
stand ya tv elfu 35 tu jiko la gass lina gass full elfu 45 kabati languo laki na 40 ni mchina tv aina ya singsung inch 21 almost new laki na 30 kwa maelezo mapatano plz wasiliana na hii namba ili...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Bajeti yangu laki nane, Niuzie pikipiki ya mchina kama unayo. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
813 Views
Shamba / Eneo linauzwa hekari 8. Lipo Wilaya : Kisarawe Kata : Msimbu Kijiji : Mwanzo Mgumu Kuna mto wa msimu unapita mpakani mwa shamba Kutokea chanika stand nauli ya daladala ni Tsh 2000 mpaka...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Karibuni dagaa wa kukaanga Napatikana mwanza. Nnje ya mkoa wa mwanza natuma Ndani ya mwanza utaletewa popote ilipo kianzia paketi 10. Leja leja 1000 500 Jumla 900 400 Ndoo ya kilo ishirini...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunaunda na kudesign vifaa mbalimbali vya ki-electronics kama vifuatavyo AUDIO -Music boosters for Home or Concert -Music boosters for car. ELECTIC PROTECTORS -Voltage regulators -Low voltage...
0 Reactions
0 Replies
577 Views
Habari wadau. Natumaini wote wazima tunapambana kutafuta mkate. Dhumuni langu ni kutangaza sehemu ya biashara barabarani kabisa eneo la Buyuni - Taliani (kuelekea chanika). Nakodisha eneo bure...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Weka oda zako mapema ,Tunapatikana mwanza Kwa mawasiliano zaidi njoo pm Karibuni Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
873 Views
Nazi zinauzwa kwa bei ya 400 kwa kila nazi, zipo takribani nazi 250. Zipo Vikindu Mkuranga. Pm kama unahitaji Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
927 Views
Ram 3GB gb | Storage 32gb Dual Camera 13mp +5mp Selfie 8Mp | Fingerprint sensor Imenyooka sana Price 250000 /- Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
561 Views
Ninauza Panasonic camera DMC-GH2 (hacked) hack has a higher bitrate 176mbit ambayo ni professional video quality.kwa hiyo unahitaji uwe na memory card iwe na high speed write kwa ajili ya video...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Kwa bati imara na Bora karibu katika kiwanda Cha Yalin global limited kwa Bei nzuri ,bati za vipimo kwa saizi yoyote zinapatikana ,tunapatikana tabata matumbi jirani na kampuni ya usangu. Sent...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Back
Top Bottom