Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
UFUTA UFUTA UFUTA Ufuta kilo moja shilingi 2,900/= Zimebaki tani 20, Dar es Salaam. (Zinauzwa zote kwa pamoja) Karibuni sana. 0659890000 fmlyimo@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kutana nasi kwa matatizo ya gari yako kwa injector pump and nozzels 0789621377 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
970cc Seat 5 Mafuta Petrol Na Imelipiwa kila kitu. Manufactured 2005 BEI ; 3.9M Kwa mawasiliano zaidi 0767833496(Call) 0622111186(Whatsap) Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina mashine ya selcom ipo tu ndani baada ya kufunga kiofisi changu cha tgo pesa bdo mpya tu kwa anaehitaji mawasiliano 0716686118 na 0692928928 naiuza 450,000
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimeamua kutengeneza njia haijalishi gharama yake. I'm ready! I'm ready! I'm ready! Dunia Uwanja wa Fujo. Ni heri kufanya fujo zangu kisha nijiondokee. Haijalishi njia ya kuondoka kwangu. Hakika...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wadau kama kuna mwenye gari analiuza tuwasiliane haraka. Town trip car, ndogo gharama isizidi 5m,engine isiwe ilishawai kuguswa kwa namna yoyote ile. Namba D itakuwa vizuri zaidi. Sent using...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nauza juice dispenser, ina bucket 2 kila moja ina ujazo wa lita 18. Ipo vizuri, haina dosari yoyote. Bei ni TSh. 650,000/=. Serious buyers you are welcome!. Contact: 0653 118 453. Nipo dar...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu za saa hizi. Kwa mwenye uzoefu nilikuwa nauliza gharama za ngalawa hotel and resort zanzibar. Maana nafunga ndoa mwezi ujao nataka kwenda kufanyia honeymoon pAle
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Napangisha Chumba cha biashara nipo mbeya soko la sido bei ni nafuu na kimekamilika Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunatafuta wahudumu kwaajili ya Pub yetu iliyopo wilaya ya Nkasi mjini Namanyere wanaotakiwa ni wasichana wasiozidi umri wa miaka 30 tunatoa huduma ya chakula na malazi kwa Wahudumu wetu! Kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Voda ni zile za double accounts (ya akiba na ya kazi). Siuzi moja moja, Nauza zote 4 kwa jumla bei 670000 (laki 6 na elfu sabini). Pia utapata offer ya simu 2 ndogo(hazina charger) za button bure...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
tunauza na kusabaza rollers za resits #supermakets #petrol stations #incotex mashines #max malipo #betting mashines ......karibuni..... contact:0625610343 whatsup:0762289598...
0 Reactions
1 Replies
721 Views
Naomba kujua nini kazi ya hki kifaa maana cjaelewa ila najua kinatumika kwnye decoder ya explore na nimeona sehemu kimefungwa hki kifaa na fundi ametumia LNB ya kawaida na co smart LNB km...
0 Reactions
2 Replies
645 Views
Habari Wana JF Hivi naweza nikapata kiwanja Cha million 15 Kawe? Maana Kinyerezi pamenishinda Bei za viwanja zipo juu mno kule
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ina miezi 6 ina kitabu chake na CD inatumia wino wa unga na ina print mpaka A 3 kwa MWENYE uhitaji 0769009759 IPO iringa na haijawahi kusumbua kwa lolote, Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
825 Views
Habarini, Kuna kaka yangu ana viazi vitamu kama ekari 8 hivi na vinakaribia kukomaa ili vichimbwe. Tunatafuta masoko ya viazi vitamu kwa mikoa ya Lindi na Mtwara. Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Natumai mpo mnaendelea na ujenzi wa Taifa. Umeme imekuwa ni tishio hasa pale inapofikia muda wa kupika. Usihofu suluhisho limepatikana, Majiko ya kisasa kabisa yanayotumia tekinolojia ya...
2 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu! Natafuta laptop ninunue yenye sifa hizi kama upo Arusha au Dar ani pm. Iwe na.... >>500GB Hard disk >>4-8 RAM >>Processor intel i5 to i7 >>Life Battery ianzia 3Hrs kuendelea >>Iwe imetumika...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Ndugu zangu, Salaam!! Nipo ktk hatua ya kupiga plasta nyumba yangu. Na kwa kuwa nina fedha kiasi kidogo nimeamua kuanza kupiga plasta kuta za ndani, na baadae nitamalizia upande wa nje...
0 Reactions
49 Replies
39K Views
Sim bado IPO vizuri haina shida Ram 4gb Internal 64gb Fingerprint clean na 4g No 0714018677 Location Dar kimara mwisho Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Back
Top Bottom