Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wana JF natafuta chumba sebule kwa ajili ya mdogo mwangu cha kawaida choo cha nje...bei elfu 70 kwa mwezi ....maeneo ya kuanzia Ubungo kuelekea Kimara along Morogoro Road.....hata elfu 80 sio...
0 Reactions
0 Replies
552 Views
Habarini wakuu, katika maongezi na jamaa yangu mmoja(amewahi kusoma Thailand) aliniambia kwamba Thailand wanatengeneza nguo nzuri sana, kuna mtu pia aliwahi vaa shati kali hapo zamani ni rafiki...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Kiwanja kipo sehemu nzuri sana, Kimeshawekewa bicon tayari Kina urefu wa meter 30 na upana meter 32 Umbali kutoka main road ni meter 150 Kiwanja chote ni tambarare LOCATION: PUGU (majohe) km 2...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu ,natumahi ni wazima wa afya . Kuna ndugu yangu kanipatia tenda ya kutafuta ng'ombe ,ambao wakikaa ndani ya miezi 6 au 12 wanaweza anza kuzaa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Lete 270,000/= NB: kama uijui na maelezo zaidi angalia post yangu iliyopita hii Library ya kukodisha CD - JamiiForums 07163214100 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kuna anayeitaji shamba-kiwanja bado? Mimi nauza shamba/kiwanja 20*20 lipo km3 kutoka kisarawe mjini na mita 20 kutoka barabara kuu ya lami. Nipe 2.5M 0774110001.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shamba la Miti linauzwa, Miti yenye miaka 4,5 na 6 Kati ya ekari 20 hadi 100. Bei ya ekari moja yenye Miti ni Kati ya laki tank hadi milioni tatu kutokana Na umri wa Miti. Miti ipo Njombe Kwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
INAUZWA XIAOMI REDMI NOTE 2 Dual sim Network 4g Storage 16gb Ram 2gb Camera 13mp led flash Selfie 5 Battery 3030 Display 5'5 Simu iko vizuri sana Bei 200000/- Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
564 Views
Wakuu, nahitaji mwenye Binoculars nzuri used tufanye biashara. Mimi niko moshi mjini najua wengi mnaodili na watalii hapa moshi na arusha mnaweza kunisaidia. Kama unayo tuwasiliane hapa hapa au pm...
0 Reactions
4 Replies
846 Views
Kitabu hichi kinalenga mjasiriamali wa kitanzania kinaelezea namna ya kutengeza bidhaa ishirini ukiwa nyumbani mpaka kiwango cha kupeleka sokoni na pia ufugaji wa kuku wa mayai pamoja na kuku wa...
2 Reactions
2 Replies
6K Views
Bagamoyo, Magambani - ukubwa wa 2,346 sqm Kiwanja kinauzwa Bagamoyo mjini.@Tshs.35,000,000 - Dakika cha kutoka ufukwe wa bahari - Kiwanja kina hati. 0752984000
0 Reactions
0 Replies
659 Views
Habari ndugu Kwa mahitaji yote ya nyumba, vyumba, mashamba, viwanja ndani ya Dar ea salaam tafadhali usisite kunitafuta 0659756647 au kujiunga katika group langu iwe ni kwa ajili ya kununua na...
1 Reactions
0 Replies
789 Views
TAI REAL ESTATE AND PROCUREMENT SERVICES. (TREPS) ✍🏽Tunatoa huduma ya UPANGISHAJI wa Nyumba, Frame za biashara na Office. Tunatoa huduma ya uuzaji wa Viwanja, Nyumba, Mashamba, Magari nk...
0 Reactions
4 Replies
880 Views
Viazi miringo vinauzwa vipo mufindi karibu na mafinga,vitaanza kuchimbwa baada ya wiki mbili au tatu kutoka sasa mwezi huu februali, kwa mawasiliano piga simu 0755049741, bei ni maelewano, karibu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kama kuna dalali wa vyumba toka mwanza hasa maeneo ya nyakato meko neshino tuonane
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kiwanja kinauzwa maeneo ya Bunju A Magurumawe, kimepimwa, eneo liko sehemu nzuri (kuna majirani) na sio bondeni, maji na umeme viko karibu, barabara inapitika vizuri! Ukubwa wake...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Natafuta mashine ya kukata majani (garden lawn mower) .... iwe used in good condition ... located in Dar es salaam ....
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Kiwanja kipo karibu na barabara Location: Street: Yange yange Ward: Msongola Destrict: Ilala Region: Dar es salaam 12 km from banana (gongo la mboto) 1.5 km from kivule (frem kumi) 7.5 km...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Budget alfu 90,000
0 Reactions
2 Replies
656 Views
Make : Toyota Model : Athletee Chasis No. : 4GR-FSE Engine Capacity : 2490Cc Colour : Parlour White Transmission : Automatic Mileage : 54k Price : 16 Million Contact : +255 620 33 15 59 In...
0 Reactions
0 Replies
927 Views
Back
Top Bottom