Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Poultry cage nipples kwa ajiri ya kunyweshea kuku maji, incubator ndogo za mayai 48 na mayai 96. Na spare za incubator. Tupo machinga complex 4th floor,kkoo dar es salaam. Contacts. +255 657 705...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari ndugu kwa mahitaji yote ya nyumba,vyumba,mashamba,viwanja ndani ya dar ea salaam tafadhali usisite kunitafuta 0659756647 au kujiunga katika group langu iwe ni kwa ajili ya kununua na hata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
*Baada ya kufanya vizur sana kwenye ulimwengu wa simu tumehamia kwenye automobile tunatisha na bei zetu ni sawa na bure* Mitshubish gdi safi inatembea safi 3.5milion pasho laki na nusu Raum new...
1 Reactions
67 Replies
11K Views
Wandugu habari za jioni. Naomba msaada wa kupata soko zuri la vitunguu au kama utakuwa mmoja wa wanunuzi basi tafadhali tuonane inbox. Vitunguu viko hedaru. Asanteni Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndugu mimi ni dereva naitaji gari kwajili ya uber na hesabu yangu ni 180,000. Tuwasiliane kupitia 0718221009 0744952984 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
959 Views
Wasalaam wakuu, Naomba kwa wenye uzoefu na kampuni za kukodi tractor, excavators pamoja na vifaa vya kupalilia (weeding machines) anisaidie. Mimi nipo dar es salaam ila shamba liko mkuranga...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii ni kuwajulisha watu wote wenye nia,kwamba atimayr madarasa ya kuogelea yanaenda kukimbiza Dar es salaam madarasa ufanyika jumatatu adi jumapili kila wiki. Tunafundisha watoto na watu...
0 Reactions
3 Replies
873 Views
Mayai ya Kisasa yanapatikana kwa wingi Jumla na rejareja ( Jumla ni kuanzia trei 70). Tuma meseji kwenye inbox tuwasiliane. Jumla 7000 -7500 kwa tray, 8000 bei ya rejareja
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba kwa anayejua, anijulishe wanakopatikana hao wauzaji. Nipo Tabata Bima.
1 Reactions
18 Replies
8K Views
Habari wakuu, Printer aina ya HP Deskjet 1510 inauzwa. Inafanya kazi zifuatazo 1.Print 2.Scan 3.Copy Ipo katika hali nzuri Haina tatizo yoyote isipokuwa Color zote zimeisha Bei ni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za saa hizi wakuu, Nauza eneo langu lipo Manispaa ya Singida Kitongoji cha Kititimo, Kilometa 4 kutoka mjini Eneo lina ukubwa wa 20 kwa 40, bei milioni moja na laki mbili. serious buyer...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Viwanja vilivyopimwa kwa makazi na biashara vinauzwa Tegeta Wazo Hill plots available Tsh 25,000 per Sqm......6 km from main road Vikawe plots available Tsh 16,000 per sqm......3km from main...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Make : Toyota Model : gx 100 Engine Capacity : 2500 Year : 1999 Colour : white Pasengers : 5 Price : 4 Mil Contact : +255 684 223374
0 Reactions
0 Replies
539 Views
Habari za humu, nimehitimu chuo kikuu na kupata Bachelor's Degree of Arts with Education huku nikijikita katika masomo ya English na Kiswahili. Natafuta shule ya kufundisha masomo tajwa!, Iwe ya...
0 Reactions
1 Replies
631 Views
Wakuu Generator zinauzwa bei poa. 1.5kva. Tsh.350,000 2.5kva. Tsh.550,000 3kva. Tsh.750,000 5kva. Tsh.1,250,000 5kva Diesel eng Tsh 2.2m 10kva Diesel eng Tsh.8m ZOTE NI MPYA. Aina ya...
1 Reactions
80 Replies
32K Views
Wakuu habarini za asubuhi? Naomba kufahamishwa kati ya homebase na pinetech fridge ipi ni nzuri na imara,,,natanguliza shukran
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau , Nataka kuanzisha biashara ya chakula , sasa natafuta mahali ambapo naweza naweza kupata masufuria makubwa yenye uwezo wa kuchukua lita 15 , 20 , 30 na kuendelea za maji. Naomba...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari za mihangaiko wanajukwaa, bila shaka MKO Salama na ni Jambo la Kumshukuru Mungu kwa nafasi hiyo. kama kichwa cha habari kinavyojieleza toka hapo juu, tunauza pump za maji(surface and...
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Habari wakuu. Simu aina ya NTTdocomo Samsung Note 2 inauzwa. Ni Line 1 Ina 32GB Ni Mpya imetumika Wiki 3. Box, Chaji, Headphone zake zipo pamoja na Risiti ukihitaji. Inauzwa 220,000/=...
0 Reactions
0 Replies
465 Views
...Habari ndugu Designer anaye weza tumia Adobe Illustrator au Adobe Indesign anahitajika kwa ajili ya partnership Awe mwenyeji wa DSM au DOM namba zangu ni 0759158357 Tuwasiliane Sent using...
0 Reactions
0 Replies
376 Views
Back
Top Bottom