Mkutano wa mwezi wa wanachama wa kampuni ya Namaingo business agency ltd
Makao makuu ya kampuni yako ukonga ambapo pamoja na mambo mengine wakijadili maendeleo ya uwekezaji wao wa miradi ya...
Habari wadau wa MM,
Nauza Monitors za Dell 17" zipo nne.
-Kila Monitor ina VGA na Power Cables.
-Kila Monitor Nauza Tsh 40,000/=
Ukichukua Zote Nne Utanipa 150,000/=
Napatikana Njia panda ya...
Ndugu mimi ni dereva naitaji gari kwajili ya uber na hesabu yangu ni 180,000.
Tuwasiliane kupitia 0718221009
0744952984
Sent using Jamii Forums mobile app
Chumba Choo Sebule na Jiko. Ina Luku yake, Maji ya dawasco Masaa 24, ndani ya fensi na Parking IPO.
Nyumba ipo Mbezi Beach, Bei ni Tshs 280,000/Mwezi.
0686648630
Sent using Jamii Forums mobile app
TUNAUZA KIWANJA GOBA KULANGWA
Kipo Umbali Kilomita 1.5 Kutokea Barabara ya Lami ya Goba/Madale Jirani na Shule ya Msingi " Future Kings "
Kina Sqm 500 ( Mita 25 Kwa Mita 20 )
Kiwanja Kimepimwa (...
Nataufa tiles za kutoka Spain kwa bei nafuu. Ni maduka gani nawezaa kupata kwa Dar es salaam?
Ninaposema bei nafuu sisemi tiles za hovyo bali najua wafanyabiashara wanatofautia bei. Wapi wanauza...
Wadau ninatafuta chumba cha kupanga hapa MBEYA mjini. kiwe na umeme, maji na kiwe jirani na usafiri wa daladala na au bodaboda. Kwa yeyote mwenye taarifa husika, tuwasiliane namba 0762959725
Habarini wadau,
Kama heading ilivyojieleza, nahitaji tractor la kukodi kulimia hapa Dar. Kama kuna mtu anayefanya biashara hiyo please naomba mawasiliano yako, au kama kuna mtu mnamjua anafanya...
Kama kichwa kinavojieleza hapo juu...Mimi ni mgeni hapa Iringa na nnatafuta chumba cha kupanga, kiwe single, mwenye nyumba asiishi hapo, kiwe na umeme maji sio lazima, bei kiwe 20000...ambaye yupo...
Najua wengi wetu watanzania ni wajasiria mali wafugaji
Hivo basi kwa wale wenye ndoto za ufugaji wa kuku
" Kiungay crossing pure bread " tunapenda kuwaaarifu kuwa tunao vifaranga kuanzia siku...
Bei rahisi Laki5 na50 tu.
Wale wauza samaki wabichi, Biashara ya vinywaji n.k . Jipatie kwa bei nafuu sana.
Piga au sms 0653 85 47 97
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale wanaohitaji kujifunza masuala ya ususi na urembo yani kujifunza kusuka nywele aina mbalimbali kama yebo yebo,kukroch,kizip,nanasi na nyingine nyingi,pia jinsi ya kupaka makeup,kutengeneza...
One one animal feed
Wazalishaji wa chakula bora chakuku wa nyama na mayai
Tunapatikana chamazi mfenesini mbangala
Bei
Starter pellet 59000 kg 50
Grower pellet 57000 kg 50
Finisher pellet 54500...
UNANGOJA NINI JIUNGE NA ETERNAL INTERNATIONAL KWA MATIBABU YA AFYA YAKO
Unangoja nni kupima afya yako. jiunge nasi uwe mwanachama wa ETERNAL INTERNATIONAL kma utapenda maana hailazimishwi ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.