Wengi wetu neno dijitali tulianza kulifahamu wakati ule mfumo wa televisheni zetu unahama kutoka analogia kwenda dijitali, neno hili lilipata umaarufu sana lakini ukiuliza maana halisi ya dijitali...
Gari aina ya Suzuki Carry mini bus ipo kwa kazi za masoko hususan wauzaji wa vyombo, vyandalua nk. Lipo Dsm. Kwa anayehitaji kulikodisha tuwasiliane kwa namba 0625806048
Nahitaji kujua wapi nitapata wino au Cutrage ya printer aina Ya DESKJET HP 2050 kwa haraka na kwa bei gani wakuu mwenyekujua anijuze tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
FACEPOZZ OPEN SHOES MANUFACTURES TUNATENGENEZA VIATU AINA MBALIMBALI TUNATUMA MZIGO MKOANI BUREE KWA WALE WATEJA WA MZIGO WA JUMLA.
VIATU HIVYO KWENYE PICHA NI 5000/=TU.WASILIANA NASI 0755213580
Wakuu habari. Natafuta hizo kamba kwa bei ya jumla. Zile pana na ngumu ambazo unaweza kuandika na ikasomeka vizuri bila kufutika kirahisi. Rangi ni bluu au nyekundu. Kama inavyoonekana hapo chini...
INAUZWA
XIAOMI REDMI NOTE 2 Dual sim
Network 4g
Storage 16gb
Ram 2gb
Camera 13mp led flash
Selfie 5
Battery 3030
Display 5'5
Simu iko vizuri sana
Bei 200000/-
Sent using Jamii Forums mobile app...
Habari za leo! Natafuta huduma ya kuchibiwa bwawa la samaki Shambani kwangu. Niko Bagamoyo maeneo ya Kidomole. Kwa mtu yeyote anayetoa huduma hii au kama unamfahamu mtoa huduma hii /kampuni...
Je mna kikundi chochote chenye idadi ya watu kumi (10)? Na kuendelea? Je mnahitaji bima ya afya? Kama jibu ni ndio, njoo inbox tuzungumze
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni WAP hapa dar naweza Zapata wauzaji wa jumla wa handbags za kina Dada km hizi ....kwa being nafuu maana na sisi tunatka ....tupeleke mikoani
Sent using Jamii Forums mobile app
FINESPACE AND BUSINESS CONSULTANCY ni kampuni iliyosajiliwa chini ya sheria za jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyopo maeneo ya BunjuA Vigae Dar es salaam na inatambulika kupitia huduma...
Habari wana jamvi
Nina laki na nusu nashida ya simu smartphone, naombeni mnijuze aina gani ya simu imara naweza kupata kwa bei hiyo hapa kariakoo
Sent using Jamii Forums mobile app
> Tunauza mayai ya kuku wa kisasa tray 1 TSh 8,000. Tray 5 na kuendelea, bei inapoa
> Ndani na nje ya Dar tunatuma ila gharama za usafiri zitakuwa upande wa mnunuzi
•
Tunapatikana Majumba sita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.