Mega Projects in Tanzania

MTANDAO wa miundombinu umekuwa ukifananishwa na mishipa ya damu katika mwili wa binadamu. Kama ambavyo mishipa ina kazi ya kupeleka damu katika kila kiungo cha mwili, miundombinu ina umuhimu...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Maendeleo ya ujenzi wa reli ya kisasa kwa kipande cha awamu ya pili Morogoro -Makutopora Singida wazidi kunoga umefikia zaidi ya 15% , ujenzi huu unaambatana na ujenzi wa Mahandaki 4 yatakayokuwa...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
MABORESHO ya miradi ya reli ukiwamo wa Uboreshaji wa Reli ya Kati (TIRP) ya Dar es Salaam-Isaka wa kilometa 970 ni mikakati ya kufi kia malengo ya nchi kujitosheleza kwa miundombinu ya reli. Hivi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii ndio design mpya ya flyover ya ubungo. Chini kabisa.. magari yote yanayo badilisha njia. Daraja la kwanza.. mavari yote yanayo toka kimara kwenda mjini pamoja na mwendokasi. Daraja la pili...
7 Reactions
41 Replies
13K Views
Mradi wa Umeme wa maporomoko ya Mto Rusumo uliopo mpakani wa Tanzania na Rwanda, unazishirikisha Nchi tatu za Tanzania, Rwanda na Burundi unaendeshwa kwa mkopo Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo...
5 Reactions
12 Replies
5K Views
SERIKALI imeonyesha kuridhishwa na utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji uliogharimu shilingi bilioni 520 unaotekelezwa katika halmashauri ya jiji la Arusha kwa lengo la kuhudumia wananchi. Hayo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tanzania has announced that financial deals for the construction of the second phase of the standard gauge railway (SGR) are close to be finalised. The Minister for Finance and Planning, Dr...
4 Reactions
46 Replies
6K Views
Benki ya Maendeleo ya Afrika – AfDB imeridhishwa na kasi ya maendeleo ya mradi wa Kituo cha kupoza umeme cha Zuzu kinachofadhiliwa na Benki hiyo kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimepita pale mbezi naona pilika pilika ukuta unainuliwa. Watalaam wengi walishauri kwa kuwa mbezi kuna nafasi kubwa pangejengwa exchange kubwa itakayo saidia magari yote toka kwa msuguli , na...
9 Reactions
23 Replies
8K Views
Ujenzi wa Gati jipya Bandari ya Mtwara ambalo litakuwa na urefu wa mita 300 sawa na urefu wa viwanja vitatu vya mpira wa soka.
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASA) wametia saini mikataba wa miradi mikubwa sita ya usambazaji maji kwa mkoa wa Dar es Salaam na Pwani wenye thamani ya Bilion 114.5. Utiaji huo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Baadhi ya Watalaam wanaoshirika ujenzi wa Reli ya Kisasa, SGR kutoka Tanzania na Kampuni ya Ujenzi ya Yapi Merkezi wakishuhudia zoezi la uunganishwaji wa reli ya Kisasa katika ziara ya Wakuu wa...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Dar es Salaam (Dar) (from Arabic: دار السلام‎ Dār as-Salām, "the house of peace"; formerly Mzizima) is the former capital as well as the most populouscity in Tanzania and a regionally important...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wananchi walikuwa na matumaini ya kuingia mkataba wa kulipwa hela kila baada ya miezi mitatu kwa ajili ya kukodishia ardhi yao kwa kampuni ya JACANA/Strandline Resources inayotaka kufanya mradi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wote tunatambua kwamba serikali ina mpango wa kuacha kutumia mafuta kuzalisha Umeme na kuanza kutumia Maji na Gesi asilia ...kama wewe ni mfwatiliaji mzuri basi utakuwa unajua mitambo ya umeme ya...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
JENGO la tatu la abiria (Terminal III) katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam linatarajiwa kutengeneza ajira lukuki, zikiwamo 245 za moja kwa moja...
4 Reactions
53 Replies
8K Views
Cruise terminal ...ni jengo liliojengwa pembezoni mwa bahari lenye uwezo wa kuhudumia cruise ship..hizi cruise ship husafirisha sana watalii kutoka maeneo mbali mbali duniani ..na hutia nanga...
4 Reactions
1 Replies
2K Views
TAZARA FLY OVER katika Muonekano Mpya ikiwa katika hatua za Mwisho kukamilika. ... Huyu Ndiye MAGUFULI anayechukiwa na kikosi cha Wapiga dili, Vibaka na Misheni town, wakwepa Kodi n.k ... Huyu...
27 Reactions
173 Replies
24K Views
Kesho ni siku rasmi ya Wizara ya Nishati kuwakabidhi makampuni Arab Contractors na Elswedy Electrics eneo la Striegler's Goege kwaajili ya ujenzi wa bwawa la umeme litakalotoa MW 2115 kuanza rasmi...
8 Reactions
67 Replies
10K Views
Back
Top Bottom