Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Wanabodi. Naomba mwenye list za ajira mpya zilizo tangazwa na nhc. Anisaidie kuweka hapa kwa ajili ya kuanza kusaka magazeti.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
If you hold a Bachelor Degree in Finance or Accounts with CPA, then PM me.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
hey najua kuna makabila yanafaidi hii nchi, kama shemeji zangu wa KIBOROLONI, NA BIHARAMULO....... sasa na mimi MMAKONDE wa NEWALA nataka kazi hiyo ya UAFSA PESA.. wa mangi.... mfano...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
  • Closed
Wadau wa jamii forum cha kushangaza serikali imechagua wanafunzi 6 wa shahada ya uwalimu katika chuo cha makumira kati ya watu 400 kweli ni umakini
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa wasiofahamu, Paprika ni zao kama pili pili isiyokali. Tafadhali kwa walioko Dar, fanyeni mini-survey pale kariakoo kuuliza kwa wahindi na wapemba. Mwaka jana walitafuta sana lakini wakakosa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakubwa kwa wadogo hebu nisaidieni, kwa nini inapofika mwajiriwa anadai haki yake huwa inakuwa ngumu sana kwa mwajiri kukubali kulipa madai ya mwajiriwa ata kama ni haki yake??? Hebu naombeni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau zile nafasi walizo tangaza precision air kama: cabin crew na deadline ilikuwa tarehe 30 APRIL 2012,vp wameshaita watu kwa ajili ya interview? Msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wakuu. Sikujua hii post niweke wapi. Kama mtaona humu nimekosea...mezea! Nina swali la muhimu sana kwangu litakalo nisaidia kufanya maamuzi magumu. Ni vipi upatikanaji wa part time jobs...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Natafuta kazi (IT TECHNICIAN) Mimi ni Kijana wa Kitanzania natafuta kazi kama IT Technician. Nipo very simple and easy to learn hata kwenye Hard working Environments namudu vizuri Mshahara siyo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
We are a fast growing player in the Construction and Engineering sector and we are seeking to fill the position of Finance Manager. Reporting to the Chief Executive Officer, the job holder will...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nation Media Group is the largest independent media house in East and Central Africa with operations in print, broadcast and digital media. It attracts and serves unparalleled audiences in...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Purpose: To provide HR and Administrative support to the RedR, Nairobi office Responsible to: Programme Support Manager Location: Nairobi, Kenya Position type: Full-time position open to...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Start Date: ASAP Location: Nairobi Innovations for Poverty Action (IPA) Kenya is a branch office of an international nonprofit research organization directed by leading development...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Background / General description The Bank's Africa Region is committed to working with client governments, the private sector and civil society in Africa, as well as its development partners, to...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wadau, Kuna ndugu yangu anatafuta kazi ya udreva wa kuendesha gari ya mtu binafsi,kampuni,serikali,gari ndogo au kubwa. Ana leseni ya udreva, cheti cha VETA, na uzoefu wa miaka 2. Mwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
jamani wana jukwaa na wakaribisha katika mkutano wa injili katika viwanja vya biafra ,pamoja na mafundisho yanayotolewa pia watumishi wa MUNGU wanaombea vijana tupate ajira na tujitegemee ,mimi...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Wanajamvi wengi wetu tunaotafuta kazi siku ya interview hasa hasa oral ndio siku ya red carpet... Unapiga pamba unayoiaminia yaani unavunja kabati kwa kiswahili cha mtaaa... Suti, tai, saloon kwa...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
maana hiyo competition balaa, kazi elf 2 tu bt waombaj zaid ya milion 2..alafu vijitu vikawa vinasema eti tukikosa tukaoge baharini..MUNGU NIBARIKI MIMI, BARIKI WAOMBAJI WENGINE, MUNGU BARIKI...
3 Reactions
25 Replies
7K Views
Kulikuwa na Bandiko hapa la kazi mgodini Songea,sasa kwa baadhi ya watu walioomba wameambiwa shortlist inaandaliwa na vigezo vya kuingia kwenye shortlist inahitajika utume Tsh Laki 6 (600,000)...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Jamani enbu mwenye data atuambie ukiacha mshahara TRA hua wanatoa allowances gani kwa employees wake?
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…