Stories of Change 2021

Shindano la Kwanza - All thematic areas allowed

JF Prefixes:

6 Votes
Kama umekua katika familia ya Kiafrika hasa ya kitanzania kupigwa pale unapofanya kosa kumekuwa ni Jambo la kawaida. Mzazi anaweza kutumia fimbo, mikanda, au kukurushia kikombe, sufuria au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 6
1 Vote
Moja kati ya changamoto inayowasumbua wajasiliamari chipukizi ni kushindwa kutambua kutambua namna bora ya kukuza biashara/kampuni zao na kuwa zenye mafanikio makubwa. Wengi wao hushindwa...
1 Reactions
0 Replies
281 Views
Upvote 1
5 Votes
Siku zote kinachotufanya tushindwe maishani, ni ile tabia kujiona mdogo na hivyo huwezi kufanya chochote. Pale unapojichukulia kuwa wewe ni mdogo, huna sifa, ni dhaifu, na huwezi kufanya Jambo...
1 Reactions
0 Replies
430 Views
Upvote 5
1 Vote
Moja kati ya changamoto inayowasumbua wajasiliamari chipukizi ni kushindwa kutambua kutambua namna bora ya kukuza biashara/kampuni zao na kuwa zenye mafanikio makubwa. Wengi wao hushindwa...
1 Reactions
0 Replies
370 Views
Upvote 1
4 Votes
Habari zenu wana JamiiForums? Natumaini mpo wazima..? Poleni na tozo za miamala. Leo nawaletea andiko linaloelezea vyeti vya utafutaji kitaani. Yaani huku vyeti unakua navyo katika kichwa chako...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Upvote 4
9 Votes
Habara za siku wa ndugu..? Napenda kuwapa haka kaandiko tena tujifunze kidogo kupitia maendeleo ya wenzetu wa bara ulaya. Andiko hili litaangazia baadhi ya mapinduzi yaliyotekelezeka kule ulaya...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Upvote 9
3 Votes
Napenda Kuihusia nafsi Yangu kama ninavyokuhusia wewe hapa Leo. Kwenye maisha yako ya sasa unayoishi leo,na utakayoishi kesho,keshokutwa na Milele Usije ukaamini MTU. Usiamini mtu wa Aina yoyote...
1 Reactions
2 Replies
920 Views
Upvote 3
1 Vote
"Fahari ya kijana ipo katika nguvu zake na uzuri wa mzee ni kichwa chenye mvi (Mithali 20:29)." Tambua kuwa ujana huishi katika maono na uzee katika kumbukumbu. Yote haya yako chini ya WAKATI...
1 Reactions
0 Replies
670 Views
Upvote 1
1 Vote
Hivi tumewahi kuchukua sekunde zetu chache kutafakari namna watu wanayaishi maisha ya hatari na ya kutisha siku hizi? Namna watu wanavyouana kinyama kwa sababu ya mapenzi, mali za urithi...
1 Reactions
0 Replies
960 Views
Upvote 1
1 Vote
Muelekeo wa uchumi na tozo (uchumi kipofu) Ebu tukae tulizungumze hili kwanza, Kinachoendelea Julai 1, 2021 serikali ilitangaza ongezeko la shilingi mia kwa kila lita moja ya mafuta. julai...
1 Reactions
0 Replies
758 Views
Upvote 1
1 Vote
Kwa zaidi ya miaka kumi wananchi wa kata ya Makowo iliyopo Mkoani Njombe, wamekuwa wakiishi bila kupata huduma stahiki za Afya kutokana na kukosekana kwa miundombinu rafiki katika kata hiyo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 1
2 Votes
Nyumba iliyo karibu kusombwa na Bahari, kijiji cha Mdimni wilayani Mkuranga. Na Mwandishi Wetu Maisha ya wakazi wa Kijiji cha Mdimni kilichopo wilayani Mkuranga katika Mkoa wa Pwani, yapo...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 2
1 Vote
Neno Demokrasia linamaanisha utawala wa watu (chanzo ; kamusi huru). Ili demokrasia iwepo wanahitajika watu wenye kuanzisha utawala wao ambao utawaongoza kwenye nyanja mbalimbali katika jamii...
1 Reactions
0 Replies
538 Views
Upvote 1
1 Vote
Mataifa mengi duniani yamekumbwa na msukumo wa nje na hata wa ndani wa kuleta mabadiriko katika uongozi wa uma. Na madai ya kuataka mabadiriko yanatoka katika vyanzo mbalimbali ikihusisha Wananchi...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 1
1 Vote
Change is Permanent. Scholars aver; nothing is permanent except change. The only constant is change. Change is the only constant. Change alone is unchanging: thus, “Change is constant" means that...
1 Reactions
0 Replies
438 Views
Upvote 1
11 Votes
Asubuhi ya jumatatu ya tarehe 26 Julai 2021 ilinikuta nikiwa kwenye ufukwe wa Coco,macho yangu yalikuwa yanaitazama fukwe hiyo maarufu nchini huku upepo mkali ukivuma kutokea baharini,meli na boti...
6 Reactions
20 Replies
3K Views
Upvote 11
3 Votes
Neno Tozo kwa siku za hivi karibuni limekuwa kama wimbo unaoimbwa na kila mtanzania wa kila hali, hivi sasa tozo za maiamala ya simu hata tozo za majengo ni jambo la kuumiza na selikali imetoa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Upvote 3
1 Vote
Niliwahi kuja na andiko humu nikionesha huzuni yangu juu ya Kiongozi mmoja wa juu tena mwenye hadhi ya Udaktari aliyekuwa anaithibitishia Jamii kwamba kuna Mama kutoka eneo moja la nchi aliyekuwa...
1 Reactions
0 Replies
783 Views
Upvote 1
1 Vote
Na Elivius Athanas. 0745937016. Neno "Rushwa" linaweza kuelezwa na kufafanuliwa kwa tafsiri tofauti tofauti, lakini tafsiri rahisi na nyepesi ya neno rushwa, ni kitu au fedha inayotolewa kwa mtu...
1 Reactions
1 Replies
499 Views
Upvote 1
3 Votes
[emoji625]Mtu yeyote anapokuwa kwenye mitandao ya kijamii hufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kutafuta, (Search) kupenda (like) au kusambaza (Share or Repost) kupakia ( upload) taarifa mbalimbali...
3 Reactions
0 Replies
748 Views
Upvote 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…