Stories of Change 2021

Shindano la Kwanza - All thematic areas allowed

JF Prefixes:

1 Vote
Sekta ya elimu ni mojawapo ya sekta nyeti sana katika maendeleo ya kila taifa hapa ulimwenguni ikiwemo Taifa la Tanzania. Hili lipo wazi na hakuna wa kupinga kwani zipo ithibati nyingi dhahiri...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Upvote 1
11 Votes
Rejea picha hapo juu (picha kutoka mtandaoni) Hayo ni makubaliano ambayo unahitajika kusaini kabla ya kupokea chanjo, kwamba uko tayari kwa lolote lile litakalo tokea na serekali haito wajibika...
8 Reactions
21 Replies
3K Views
Upvote 11
1 Vote
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoendelea duniani na iliyojaliwa rasilimali nyingi ambazo kama zikisimamiwa na kutumiwa vizuri zitakuza uchumi na kuleta maisha bora kwa...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Upvote 1
1 Vote
I’m endowed with fertile land, precious resources and a creative mind but I am still a product of the Ongoing Racism (POOR). I have not yet been able to stand on my own, appreciate myself and feel...
1 Reactions
0 Replies
264 Views
Upvote 1
2 Votes
Sokwe is a Swahili word which means an ape, chimpanzee or gorilla. To be called a sokwe especially by a White man is a symbol of racism to an African and much attention is paid to such an act. We...
2 Reactions
0 Replies
552 Views
Upvote 2
1 Vote
Hewa ya ukaa ni hewa inayotokana na vitu mbalimbali hasa Shughuli za kibinadamu kama vile viwanda,usafirishaji,uchomwaji misitu na vichaka wakati wa uandaaji wa Mashamba kwa ajili ya kilimo ...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Upvote 1
1 Vote
Ni ukweli usopingika Tanzania kwa sasa tuna wimbi kubwa la vijana wasio na ajira kutokana na mfumo wa elimu kutokuwa rafiki sana kwa vijana kujiajiri, hivyo kupelekea vijana wengi kukata tamaa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 1
9 Votes
UJASIRIAMALI ni mchakato endelevu unao ambatana na Imani juu ya kujikomoa kiuchumi kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine ya juu zaidi. Nchi nyingi duniani hasa mataifa makubwa toka miaka ya 1960...
6 Reactions
21 Replies
3K Views
Upvote 9
17 Votes
Ni jambo gumu sana kuwaelimisha hawa vijana lakini ni lazima tuseme kitu juu yao. Maisha ambayo wanayaishi chuo asilimia kubwa ni maisha yasiyo na mwelekeo bora,japo yanaweza kuwa sahihi kwao...
11 Reactions
17 Replies
3K Views
Upvote 17
10 Votes
UTANGULIZI Ni ukweli usiopingika kwamba, Watanzania wengi wamebarikiwa kuwa na vipaji mbalimbali. Mfano, Utengenezaji wa bidhaa, ubunifu wa vyombo vya kielektroniki, uchoraji, uchongaji, matumizi...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Upvote 10
1 Vote
UTANGULIZI: Tanzania ni miongozi mwa nchi za bara la Afrika zinazopatikana kusini mwa jangwa la Sahara, pia ni miongoni mwa nchi zinazoendelea kiuchumi duniani. Tanzania ni nchi iliyobarikiwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 1
13 Votes
Ni bora kupata 1% kutoka kwenye elfu moja kuliko kupata 50% kutoka kwenye 10 (hapo utaona kwenye 1% utapata 10 na kwenye percent 50% utapata 5. Serikali imeamua kuongeza mapato kupitia miamala ya...
11 Reactions
7 Replies
2K Views
Upvote 13
1 Vote
MADA: MAENDELEO YA JAMII Kwanza kabisa tunapozungumzia maendeleo kwa upana wake zaidi ni like kitendo Cha kuinuka au kuhama kutoka hatua moja kwenda hatua inayofuata au kutoka hatua mbovu kwenda...
0 Reactions
1 Replies
771 Views
Upvote 1
4 Votes
Ndugu wana jukwaa amani iwe juu yenu! Hakika kama tujuavyo elimu imekuwa chanzo cha maarifa tangu kuanza kwa historia ya mwanadamu lakini pia katika baadhi ya vitabu vya imani vimeandika...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Upvote 4
1 Vote
Katika maisha ya kila siku duniani kote kila haachi kupambana ili kuweza kufikia malengo yake na hatimaye kukamilisha ndoto zake kulingana na wakati alonao katika mazingira aliyopo. Mtu huyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 1
2 Votes
Suala kubakwa na kuingiliwa kinyume na maumbile kwa watoto limekuwa likijitokeza Mara kwa Mara hapa nchini. Suala hili linatakiwa kuangaliwa kwa umakini na kutafutiwa mwarobaini wake mapema...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 2
2 Votes
“Tunasema vijana wajiajiri wakati sisi wenyewe wametuajiri wao, kwanini sisi tusujiajiri kwanza alafu tuone kama kujiajiri ni rahisi ndio tuwaambie nao wajiajiri?”,maneno haya yalisemwa na mbunge...
1 Reactions
1 Replies
879 Views
Upvote 2
3 Votes
Wana JF, salaam nyingi. SUMU YA SIMU NA SUMU YA NYOKA: “Naongea na simu”. Siku hizi simu zinatoa sumu kali sana, hadi kuua zinaua. Hebu tulia kidogo, kisha fananisha kidogo simu yako na nyoka...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Upvote 3
3 Votes
Habari zenu ndugu zangu, napenda nianze kwa kumshukuru Mungu kwa uzima anaotupa kila siku. Napenda nishauri kwa uchache sana kuhusu 'Mapenzi' neno pendwa kabisa. Ni kweli mapenzi ni matamu...
2 Reactions
2 Replies
626 Views
Upvote 3
2 Votes
KILIMO ni mchakato wa kulima mazao ya chakula na mazao biashara pamoja na kufuga wanyama.Hapo mwanzo ilifahamika tu kwamba kilimo kinahusisha ulimaji wa mazao pekee lakini kutokana na mabadiliko...
0 Reactions
4 Replies
707 Views
Upvote 2
Back
Top Bottom