Stories of Change 2023

Awamu ya Tatu. Maudhui yanayolenga kuchochea mabadiliko chanya na kupelekea kuwepo kwa Uwajibikaji au Utawala Bora

JF Prefixes:

0 Votes
UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA: MSINGI WA MCHAKATO WA KATIBA MPYA TANZANIA KWA MASLAHI YA UMMA Utangulizi Katiba ni waraka muhimu unaounda misingi ya utawala na uongozi wa nchi. Mchakato wa...
0 Reactions
0 Replies
429 Views
Upvote 0
0 Votes
Huezi kuizungumzia Afrika, pasipo kutaja Mlima mrefu zaidi, Mlima Kilimanjaro upatikanao nchini Tanzania. Huezi zungumzia Afrika, pasipo kuitaja Serengeti, hifadhi iliyopo nchini Tanzania na...
0 Reactions
0 Replies
308 Views
Upvote 0
0 Votes
UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA: KUINUA MUSTAKABALI WA VIJANA KUPITIA AJIRA Utangulizi Tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana ni changamoto kubwa inayokabili jamii nyingi duniani. Vijana wengi...
0 Reactions
0 Replies
440 Views
Upvote 0
0 Votes
UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA KATIKA KUMALIZA MGOGORO WA MKATABA WA BANDARI NCHINI TANZANIA Utangulizi Katika juhudi za kukuza maendeleo ya kiuchumi na kijamii, serikali na taasisi za umma...
0 Reactions
0 Replies
294 Views
Upvote 0
1 Vote
YALIYOMO 1.0.KICHWA 2.0. UTANGULIZI 2.1. Jinsi gani BINADAMU anachangia kuharibu mazingira kwenye matumizi ya nishatii nchini 2.1. maelezo mafupi kuhusu zao la mama Tanzania, Africa Mashariki na...
1 Reactions
1 Replies
473 Views
Upvote 1
1 Vote
Mwaka huu unatimiza miaka 59 tangu kuundwa kwa muungano kati ya nchi mpya zilizokuwa huru za Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964. Ulikuwa ni wakati wa matumaini, baada ya kujikomboa kutoka kwa...
1 Reactions
1 Replies
208 Views
Upvote 1
3 Votes
Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na kilio juu ya kuwepo kwa udhaifu mkubwa wa kiusalama kwenye tovuti nyingi na mifumo mingine ya TEHAMA ya taasisi za umma. Ni mara nyingi tu yametokea matukio ya...
1 Reactions
1 Replies
357 Views
Upvote 3
2 Votes
UTANGULIZI Kwa mujibu wa Ibara ya 4 ya Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, mamlaka ya nchi imeundwa na mihimili mitatu ambayo ni serikali,mahakama na bunge, na kila mmoja...
1 Reactions
1 Replies
464 Views
Upvote 2
3 Votes
Kama zilivyo taratibu za utendaji kazi wa Idara ya Usalama wa Taifa, uliletwa mpango wa kuongeza nguvu kazi katika Idara ya Usalama, hatua hii ilitokana na kushamiri kwa matukio ya ugaidi na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Upvote 3
0 Votes
Demokrasia shirikishi maana yake ni demokrasia tulivu, ambamo ngazi zote za uraia ni washiriki hai katika maamuzi yote makubwa yanayoathiri siasa Kwa rahisi zaidi masharti, yote ni kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
179 Views
Upvote 0
1 Vote
Utangulizi Kilimo na uzalishaji wa bidhaa za mifugo ni sehemu muhimu ya uchumi wa Tanzania, ikiwapatia kipato watu wengi na kuchangia kwa kiasi kikubwa kwenye Pato la Taifa. Hata hivyo, kutokuwa...
0 Reactions
0 Replies
357 Views
Upvote 1
1 Vote
Utawala wa sheria ni neno la kawaida linalotumiwa na wanasheria, wabunge na watu wa kawaida. Utawala wa sheria unamaanisha tu kwamba lazima kuwe na uchunguzi na vipimo/ukiasi katika jamii yoyote...
0 Reactions
0 Replies
344 Views
Upvote 1
0 Votes
UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA KATIKA KUIMARISHA USAWA WA KIJINSIA Utangulizi Usawa wa kijinsia ni moja ya malengo muhimu katika kuleta mabadiliko chanya katika jamii na kuimarisha taifa kwa...
0 Reactions
0 Replies
306 Views
Upvote 0
1 Vote
Mkataba wa hivi majuzi wa Tanzania unaoipa DP-World yenye makao yake Dubai udhibiti maalum wa Bandari ya Dar es Salaam umezua utata wa kitaifa kuhusu uwajibikaji na utawala bora wa rasilimali za...
0 Reactions
0 Replies
452 Views
Upvote 1
0 Votes
Utawala Bora na Ujenzi wa Taasisi Imara kwa Maendeleo ya Taifa Utangulizi Maendeleo endelevu ya taifa ni lengo kubwa linalopatikana kupitia utawala bora na ujenzi wa taasisi imara. Taifa lenye...
0 Reactions
0 Replies
353 Views
Upvote 0
0 Votes
Utawala ni istilahi ya zamani ambayo imekuwa ikitumika katika ustaarabu wote wa wanadamu. neno ‘utawala’ lina maana na matumizi mbalimbali. Walakini, kwa maneno rahisi utawala ni "mchakato wa...
0 Reactions
0 Replies
209 Views
Upvote 0
0 Votes
UWAJIBIKAJI WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUIMARISHA DEMOKRASIA NA UTAWALA BORA Utangulizi Vyombo vya habari vina jukumu muhimu katika kukuza demokrasia na utawala bora katika jamii. Uwajibikaji wa...
0 Reactions
0 Replies
515 Views
Upvote 0
0 Votes
Moja kwamoja nianze kuelezea ninachotaka kuzungumzia, kama kichwa cha habari kinavyosema Upotevu wa Maji. Huu upotevu wa maji ninao uzungumzia ni ule unaotokana na kuvuja kwa mabomba ya maji...
0 Reactions
0 Replies
421 Views
Upvote 0
0 Votes
UTAWALA BORA NA KUPAMBANA NA RUSHWA KWA MAENDELEO YA KIJAMII NA KIUCHUMI Utangulizi Utawala bora na kupambana na rushwa ni masuala muhimu sana katika kuleta maendeleo ya kijamii na kiuchumi...
0 Reactions
0 Replies
480 Views
Upvote 0
0 Votes
Utangulizi Rasilimali za taifa ni tunu muhimu ambazo zinapaswa kutumiwa kwa manufaa ya wananchi wote. Kwa miongo mingi, suala la uwazi na uwajibikaji katika matumizi ya rasilimali za taifa...
0 Reactions
0 Replies
385 Views
Upvote 0
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…