Stories of Change 2023

Awamu ya Tatu. Maudhui yanayolenga kuchochea mabadiliko chanya na kupelekea kuwepo kwa Uwajibikaji au Utawala Bora

JF Prefixes:

7 Votes
UTANGULIZI. Ninashauri uundwe mfumo maalumu utakao beba taarifa zote muhimu za wananchi kuanzia pale mtu anapozaliwa mpaka kufariki. Mfumo huu uwe wa kielektroniki utakaosimamiwa na mamlaka...
5 Reactions
45 Replies
3K Views
Upvote 7
3 Votes
Tunachukua hatua kubwa kuelekea hatua endelevu .pamoja tunaweza kufanya tofauti.Leo tunapoisherehekea siku hii maalium, Hebu tutafakari juu ya uzuri na umuhimu wa ulimwengu wa asili unaotuzunguka...
0 Reactions
1 Replies
644 Views
Upvote 3
6 Votes
Mwanangu usipofanya hii homework kesho darasani utamfanya mwalimu ashindwe kuelewa aanzie wapi kupima uelewa wako.Somo lenyewe ni aina za matunda mbalimbali. Na hapo tulikuwa tumenunua...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Upvote 6
5 Votes
Changamoto za Upelelezi ,dhana duni za kutunzia ushahidi,kutokuwajibika kwa baadhi ya polisii na mahakama na kushindwa kuyalinda maeneo yalipotokea matukio kwa ajili ya ushahidi ni baadhi ya...
2 Reactions
2 Replies
828 Views
Upvote 5
3 Votes
Msingi wa kikatiba wa maliasili ni usemi unaotumika kuelezea jambo ambalo mambo yanayohusu maliasili yanashughulikiwa chini ya katiba ya nchi. Kiwango cha mgawanyo kinaanzia katiba moja hadi...
1 Reactions
3 Replies
942 Views
Upvote 3
2 Votes
Ingawa watoto wanatofautiana kimalezi kulingana na maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya eneo husika .Watoto wetu wanakua katika enzi ya kidijitali. Wapo ambao wanatumia vifaa kwa kila kitu, kuanzia...
0 Reactions
1 Replies
528 Views
Upvote 2
2 Votes
CAG, hufanya ukaguzi wa thamani ya fedha kwa mujibu wa kifungu cha 28 cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma ya mwaka 2008 (na marekebisho ). CAG hana mamlaka ya kutoa Hati ya Ukaguzi, bali hutoa...
1 Reactions
2 Replies
428 Views
Upvote 2
4 Votes
KATIBA Ni sheria kuu au sheria mama ya nchi, kutokea humo zinazaliwa kanuni zote sheria zote na taratibu zote. kwa msingi huo katiba ni msingi mkuu na muongozo wa nchi unaotoa muongozo wa namna...
2 Reactions
4 Replies
908 Views
Upvote 4
1 Vote
Wakazi wengi wa mikoa tofauti tofauti nchini Tanzania wamekuwa wakilalamikia Shirika la Ugavi Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kuwacheleweshea kuwafikishia huduma za umeme katika maeneo yao llicha ya...
1 Reactions
2 Replies
881 Views
Upvote 1
2 Votes
Jukumu muhimu la vyombo-vya-habari nchini Tanzania ni kuwawezesha Watanzania kujiona wamoja na kama mali ya taifa la pamoja. Vyombo-vya-habari vinaweza kukuza utaifa na demokrasia-ya-watu kupitia...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Upvote 2
16 Votes
Picha: Swahilitimes UTANGULIZI Mara nyingi sana mataifa maskini yamekopa kwa mataifa yenye uwezo lakini hatukuwahi kuona nchi tegemezi zikijikwamua katika hali zake duni za kiuchumi kupitia...
8 Reactions
11 Replies
2K Views
Upvote 16
5 Votes
MUHIMU KWA WAKINA MAMA WOTE WALIO KATIKA UMRI WA KUZAA KUTUMIA VIDONGE VYA FOLIC ACID MIEZI 3 KABLA YA UJAUZITO ILI KUZUIA ZAIDI YA MAGONJWA 100 IKIWEMO MGONGO WAZI NA KICHWA KIKUBWA. FOLIKI ASIDI...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Upvote 5
40 Votes
Mfalme Leopold Philippe, nina uhakika yupo kuzimu, meza moja na Henry Morton Stanley. Wanapokaa, unaliona pembe la kushoto la shetani kiangavu zaidi. Najua watakua wanacheka. Ndio, kuna moto...
35 Reactions
17 Replies
2K Views
Upvote 40
5 Votes
UTANGULIZI. Serikali imekuwa ikikumbwa na ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma ambapo ubadhirifu huu unasababishwa kwa kiwango kikubwa na maamuzi mabovu yanayofanywa na wizara ama taasisi zake kwa...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Upvote 5
11 Votes
Mara zote mshindi mtarajiwa wa shindano la 'stories of change' huwa anafahamika. Na mshindi huyo huwa habadiliki hata mara moja, labda kwa mtu asiye na macho ya rohoni. Sifa zake ni rahisi tu...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Upvote 11
55 Votes
Itakua 2030, Greta Thurnberg ataenda kuandamana Riksdag kupinga mabadiliko ya tabia nchi. Itafika 2050, kamati ya Nobel itampatia tuzo ya mafanikio ya maisha kwa kubakiza dunia chini ya 3.5°...
54 Reactions
35 Replies
2K Views
Upvote 55
2 Votes
Mbinu za Ufanisi za Kuondokana na Mikataba Mibovu Tanzania Mwandishi: MwlRCT I. Utangulizi Tanzania imekumbwa na janga la mikataba mibovu, likisababisha hasara kubwa kwa uchumi na jamii. Takwimu...
1 Reactions
6 Replies
639 Views
Upvote 2
6 Votes
Utangulizi Uchumi wa Buluu ni nini? Kwa mujibu wa Benki ya Dunia (“World Bank”), Uchumi wa Buluu ni “Matumizi endelevu ya rasilimali za bahari kwa ajili ya ukuaji wa uchumi, kuboresha shughuli za...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Upvote 6
15 Votes
Hisa ni nini Hisa ni sehemu ya umiliki katika kampuni. Kwa kumiliki hisa, mtu anakuwa mwekezaji katika kampuni na anapata haki za kifedha na kisera katika kampuni hiyo. Kuwekeza katika soko la...
9 Reactions
11 Replies
3K Views
Upvote 15
7 Votes
Nakumbuka ilikuwa ni mwaka 2007 nilipopata ajira ya kudumu ya ualimu baada ya kuhitimu mafunzo ya astashahada ya ualimu kutoka chuo kimoja maarufu kilichopo wilayani Muleba.Nakumbuka nilipangiwa...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Upvote 7
Back
Top Bottom