Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

JF Prefixes:

2 Votes
UTANGULIZI Kumekuwa na changamoto kubwa sana katika sekta yaAfya hususani kitengo chakusafirishia wagonjwa kwa kutumia Ambulance, hii ni kutokana na gharama ya usafirishaji kuwa juu zaidi na...
0 Reactions
0 Replies
132 Views
Upvote 2
3 Votes
KWANZA AWALI YA YOTE NAMSHUKURU MUNGU KWA AMANI NA NEEMA ALIYOTUPA SISI KAMA TAIFA LAKINI YAFUATAYO NI MITAZAMIO YA MIAKA 5 HADI 25 NTAKAYOCHANGIA;- 1. Kulingana na mtazamo wangu miaka ijayo...
0 Reactions
0 Replies
163 Views
Upvote 3
2 Votes
Tukisema mtoto ni taifa la kesho iwe Ina maanisha Kwa vitendo Kwa wadau wazazi mpka serikali yenyewe. Ifike mahali wataalam waafya watoe masomo ya mlo kamili Kwa kina mama wajawazito wapo kliniki...
0 Reactions
0 Replies
149 Views
Upvote 2
2 Votes
Utangulizi "Tanzania Tuitakayo" ni kauli mbiu inayolenga kuleta mabadiliko chanya kupitia mijadala na fikra bunifu kwa ajili ya mustakabali wa nchi yetu. Katika kipindi cha miaka 5 hadi 25 ijayo...
0 Reactions
0 Replies
350 Views
Upvote 2
3 Votes
Maendeleo ni Jambo linalohitaji Jitihada kubwa na jumuishi katika Sekta Muhimu kama vile ELIMU, UTALII, VIWANDA, AFYA, SAYANSI NA TEKNOLOJIA Kwa Uhakika Suala la maendeleo ni mchakato wa muda...
0 Reactions
0 Replies
246 Views
Upvote 3
1 Vote
Tanzania Ijayo bila Watoto wa Mtaani: Mwelekeo Sahihi wa Kitatuzi Kadiri siku zinavyokwenda idadi ya watoto wa mtaani inazidi kuongezeka. Ongezeko lao linatishia mustakabali wa nchi kwa sababu...
0 Reactions
0 Replies
153 Views
Upvote 1
2 Votes
Mfumo Mbovu wa Elimu: Kikwazo Kikuu kwa Maendeleo ya Tanzania Elimu ndio kitovu cha maendeleo katika Nyanja zote za Maisha katika nchi na Maisha binafsi ya mtu, kwa bahati mbaya mfumo ambao...
0 Reactions
0 Replies
306 Views
Upvote 2
1 Vote
Ni Mara Kadhaa tumekuwa tukishuhudia jitihada za Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Katika kuhakikisha huduma bora kwa Wananchi wake kwa Kupitisha Bajeti ambayo kila mwaka inaongezeka...
0 Reactions
0 Replies
105 Views
Upvote 1
3 Votes
Tanzania Tuitakayo: Maono ya Kibunifu kwa Miaka 25 Ijayo Utangulizi Tanzania, nchi yenye utajiri wa maliasili, tamaduni mbalimbali, na watu wenye bidii, ina fursa kubwa ya kufanikisha maendeleo...
1 Reactions
0 Replies
201 Views
Upvote 3
477 Votes
Kasoro ya kuzaliwa ni mabadiliko ya kimuundo ambayo yapo wakati wa kuzaliwa yanaweza kuathiri ukuaji na utendaji wa mtoto. Kwenye nchi yetu uchunguzi uliyofanyika mwaka 2015 kwenye Hospital ya...
124 Reactions
28 Replies
5K Views
Upvote 477
1 Vote
Najivunia sana nchi yangu Tanzania kuwa ni kubwa barani Afrika, ikiwa imesheheni tunu nyingi kama vile ardhi yenye baraka nyingi, utalii, uvuvi, kilimo, viwanda, na sekta nyingi zaidi. Licha ya...
0 Reactions
0 Replies
152 Views
Upvote 1
3 Votes
Uzalendo ni hali ya mtu kuipenda nchi yake kiasi cha kuifia alisikika mtu alisema. Ukarimu na amani ni sifa kadhaa zinazoskika Kwa watu wa njee juu ya nchi yangu Tanzania. Kilio changu katika...
1 Reactions
0 Replies
123 Views
Upvote 3
7 Votes
TANZANIA MPYA: KUANZISHA CHUO MAALUMU KITAKACHOTOA TAALUMA KWA DADA WA KAZI ZA NYUMBANI. Ni wazi kuwa Viongozi wakubwa wa serikali walioko madarakani na waliomaliza muda wao wengi wao walilelewa...
2 Reactions
4 Replies
280 Views
Upvote 7
6 Votes
UTANGULIZI. Utawala bora ni nyenzo muhimu katika maendeleo ya kiuchumi, kidemokrasia, kijamii na hata maandeleo ya mtu mmoja mmoja. Utawala bora ni zoezi la viongozi katika ngazi zote kusimamia...
1 Reactions
1 Replies
206 Views
Upvote 6
5 Votes
Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa wa rasilimali na vipaji. Katika miaka kumi hadi kumi na tano ijayo, tunaweza kutumia ubunifu kama kichocheo cha maendeleo endelevu na kujenga taifa lenye...
1 Reactions
1 Replies
179 Views
Upvote 5
1 Vote
Miundombinu hurahisisha utoaji wa huduma kwa jamii Jamii inahitaji miundombinu bora ya barabara, maji, umeme, reli, hospitali, shule nk. Serikali imejitahidi sana kujenga miundombinu ya kutolea...
0 Reactions
0 Replies
96 Views
Upvote 1
2 Votes
Kama raia wa Tanzania mwenye kipato cha kawaida au cha chini, kumiliki ardhi au nyumba ni mtihani mgumu unao hitaji maarifa mengi na hesabu kali. Kadri siku zinavyo zidi kusonga, bei ya ardhi...
1 Reactions
0 Replies
257 Views
Upvote 2
2 Votes
MTANZANIA MWENYE TANZANIA TUITAKAYO Je, ni nani mwenye Tanzania tuitakayo? Ndugu msomaji, natamani tuzungumzie kwa pamoja suala la Tanzania tuitakayo. Leo hii utakubaliana na mimi kuna...
1 Reactions
0 Replies
162 Views
Upvote 2
5 Votes
Ili Tanzania ya sasa na ijayo iweze kukabiliana na kuondoa tatizo la kuporomoka kwa thamani ya shilingi na uchumi kwa ujumla pamoja uhaba wa fedha za kigeni, ni vema sisi kama Tanzania tuchague...
1 Reactions
1 Replies
135 Views
Upvote 5
3 Votes
Tanzania ni moja ya nchi ambayo haiwezi kukwepa matumizi ya sayansi na teknolojia katika kuendeleza uchumi wake. Taasisi za umma zinaongoza kwa kuwa na huduma isiyoridhisha kwa upande wa...
1 Reactions
1 Replies
189 Views
Upvote 3
Back
Top Bottom