Tanzania 2040: Innovating at the Intersection of Technology and Society
Can a nation leapfrog decades of development by harnessing the power of technology? Tanzania is determined to prove that it...
To achieve greatness require individual responsibility as country a whole citizens must be aware of how to act responsible for anything concern growth of the country this include our leader who...
Title: Transformative Potential of Tourism Activities in Kagera Region: A Catalyst for National Economic Growth
Introduction:
The tourism sector in Kagera Region has the potential to...
Ulishawahi kuwaza kuwa taka za jikoni zinaweza kukupatia kipato kima cha chini laki sita kwa Mwezi?
Naam huu ni uhalisia na si kusadikika, kila siku majumbani kwetu tunazalisha taka hususani...
Tanzania ni nchi iliyojaaliwa kuwa tofauti na nchi zingine za Afrika Mashariki na Afrika; kijiografia imebarikiwa kuwa na eneo kubwa la ardhi kutosha kwa kilimo, vyanzo vya maji na bahari yenye...
Vijana ni kundi la watu ambalo lipo kati ya umri wa miaka 18 mpaka 40, hii hutofautiana kwa baadhi ya jamii nyingine.
Kundi hili ndio kubwa zaidi kwenye nchi yetu na linaongezeka kwa kasi kila...
Tanzania ni miongoni mwa nchi za Kiafrika zinazokabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa ajira kwa vijana wasomi wanaohitimu katika taasisi mbalimbali za elimu ya juu.
Utafiti uliofanyika mwaka...
Baazi ya watanzania hawajui haki zako za msingi hata kishelia ila Nina mapendekezo vipi somo la haki za kibinaadam Kwa hapa Tanzania lisiwe miongoni mwao mtaala Wa elimi kuanzia ngazi ya msingi...
SEKTA YA ELIMU TANZANIA BAADA YA MIAKA KUMI.
sekta ya elimu ni sekta muhimu sana katika ukuaji wa maendeleo katika taifa sababu ndiosekta pekee ambayo inazalisha wataalamu mbalimbali ambao...
Mradi wa build better tomorrow (BBT)
Ambao serikari kupitia wizara ya kilimo ulianzisha mwaka 2022/2023
Lengo kuu ni kusaidia vijana kujikwamua kiuchumi kupitia kilimo na ufugaji na kupunguza...
All life depends on water, which is also an essential resource for household, industrial, and agricultural use. The significance of efficient water management in semi-arid areas, where water...
Tanzania Tuitakayo: Kuleta Mawazo Mbadala kwa Miaka 5 hadi 25 Ijayo
Tanzania, nchi iliyobarikiwa na rasilimali nyingi na utajiri wa tamaduni, inakabiliwa na changamoto na fursa nyingi katika...
Nashiba nikionja ni Kila natapika!!
Namshukuru aliye asili yangu Kwa pumzi na uweza wangu wa kupata na Kutoa taarifa Kwa jamii ya watanzania.
Nyumba yangu imejengwa msingi tu,Haina Kuta,haija...
UTANGULIZI
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika moja ya hotuba zake aliwahi kunukuliwa akisema kwamba “Dhima kuu ya elimu ni kuleta uhuru wa kifikra miongoni mwa watu, uhuru wa kifikra ambao...
Mizigo ya Kodi katika Nchi Zinazoendelea
Nchi nyingi zinazoendelea huweka kodi za juu za kampuni na viwango vya VAT, zikiwa na lengo la kupata fedha kwa ajili ya huduma za umma na miundombinu...
Everyone has a dream, whether big or small but i surely means something to the dreamers. These dreams sometimes defines our hopes and expectations for what we want to achieve and heights we want...
UTANGULIZI
Serikali imeanzisha kampeni ya kupambana na usugu wa madawa na tiba za kiholela kwa wananchi kupitia kampeni iitwayo HOLELA HOLELA ITAKUKOST. Hii kampeni ni nzuri kwa jamii na ina...
UTANGULIZI
Ugonjwa wa shinikizo la juu la damu umekuwa ugonjwa unaoongoza kuathiri watu miongoni mwa magonjwa yasiyokuwa ya kuambukizwa. Kwa takwimu za mwaka 2024 zilizotolewa na Journal of Human...
Kama taifa sasa tunashuhudia kumea kwa matabaka ya chuki kati ya jamii na watu wenye itikadi kali dhidi ya wengine ambao wanaonekana kuwa inferio ndani ya nchi yao.
Wananchi ambao wanaonekana...
Niwazi ya kuwa serikali iko mbioni kwa hali na mali kuhakikisha kuwa wananchi na watanzania wote wanakuwa sehenu na maendeleo na utatuzi wa changamoto katika jamii
Ukuwaji wa democrasia nchini na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.