Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

JF Prefixes:

3 Votes
Kuendeleza uchumi wa bluu wa Tanzania kwa miaka 25 ijayo, inaweza kufanyika kupitia miradi mbalimbali: 1. Uvuvi Endelevu: Kuanzisha na kutekeleza sera za uvuvi zinazolenga uhifadhi na matumizi...
0 Reactions
0 Replies
168 Views
Upvote 3
7 Votes
MAMABO MATATU MATATU YATAKOIBADILI TANZANIA NA KUPATA NDANI YA MIAKA 10 TU TANZANIA NITAKAYO. Tanzania ni nchi tajiri ambayo inapsawa kuwa mbali sana kiuchumi na kuiingiza kwenye nchi tajiri...
2 Reactions
0 Replies
179 Views
Upvote 7
3 Votes
Kuendeleza uchumi wa bluu wa Tanzania kwa miaka 25 ijayo, inaweza kufanyika kupitia miradi mbalimbali: 1:Uvuvi Endelevu: Kuanzisha na kutekeleza sera za uvuvi zinazolenga uhifadhi na matumizi...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
Upvote 3
16 Votes
Salamu; Moja ya sekta nyeti inayogusa kila mwananchi ni sekta ya Afya, lakini ndio sekta isiyojitosheleza zaidi kwa miaka mingi hususani maeneo ya vijijini.Natambua juhudi za Serikali za awamu...
1 Reactions
4 Replies
338 Views
Upvote 16
6 Votes
🌐Utangulizi, Mafanikio katika sekta ya Afya katika kukabiliana na kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi, mama na mtoto kumepelekea baadhi ya mataifa mengine ya Afrika kuja kujifunza nchini. Hayo...
0 Reactions
2 Replies
207 Views
Upvote 6
4 Votes
Dunia inakua kwa kasi na mabdiliko mengi yanatokea katika nyanja mbali mbali, nasi kama Tanzania tunahitaji UWEKEZAJI katika baadhi ya sekta ili tuweze kuendana na kas ya mabdiliko, kwa upande...
0 Reactions
2 Replies
173 Views
Upvote 4
4 Votes
MIKAKATI KUFIKIA MAENDELEO ENDELEVU TANZANIA MWAKA 2025 USIMAMIZI WA RASILIMALI ( rasilimali watu, rasilimali fedha na maliasili zetu ) NA UADILIFU . Swala la rasilimali watu, kwa sasa...
0 Reactions
2 Replies
198 Views
Upvote 4
4 Votes
Kwa kufikia Tanzania bora zaidi katika elimu ndani ya miaka 5 hadi 25, tunahitaji kuchukua hatua za maana. Tuanze na kuimarisha mfumo wa elimu kwa kuzingatia mambo yafuatayo: Uwekezaji katika...
0 Reactions
1 Replies
241 Views
Upvote 4
4 Votes
Kwanza kabisa ili kuifikia Tanzania tu itakayo Tanzania yenye mafanikio kiuchumi, kisiasa na kijamii tunatakiwa kuangalia namna ya mawazo, au vile tunavyopanga vinaweza kutimizwa. Tunapaswa...
2 Reactions
1 Replies
223 Views
Upvote 4
4 Votes
Overview Tanzania has many natural resources and cultural heritage, so it is confident enough to be a center of prosperity and development in future years. The phrase "Tanzania Tuitakayo” sums up...
0 Reactions
1 Replies
812 Views
Upvote 4
5 Votes
Tanzania tuiitakayo ni nchi yenye maendeleo makubwa zaidi ya watu katika ukanda wa Afrika mashariki. Itakayoweza kuondoa kabisa umasikini na kupunguza utegemezi wa misaada na mikopo. Hii ni...
0 Reactions
0 Replies
403 Views
Upvote 5
5 Votes
Viongozi wetu wamekuwa wakifanya mabadiliko mbali mbali katika sekta hadhimu ya elimu,mabadiliko hayo kwa namna fulani tumeona yakileta matokeo mazuri. Pia matokeo hayo ni jitihada...
0 Reactions
1 Replies
165 Views
Upvote 5
5 Votes
Mapendekezo ya mabadiliko katika utaratibu wa uendeshaji wa mashauri yaliyo mahakamani. Watu wote wa kada mbalimbali, wa jinsia zote, wakubwa kwa wadogo wana haki sawa mbele za Mungu ambaye ndiye...
1 Reactions
3 Replies
373 Views
Upvote 5
4 Votes
Utangulizi Nchini Tanzania, kuna changamoto kubwa ya upatikanaji wa taarifa muhimu inayosababishwa na mtawanyiko wa taarifa katika vyanzo tofauti na ukosefu wa jukwaa moja linalounganisha taarifa...
1 Reactions
3 Replies
286 Views
Upvote 4
5 Votes
UKIMWI Unatibika Endapo Tukia na Teknolojia ya Kisasa Katika Sekta ya Afya UKIMWI, ambao unasababishwa na virusi vya ukosefu wa kinga mwilini (HIV), umekuwa tatizo kubwa la kiafya duniani kwa...
1 Reactions
2 Replies
479 Views
Upvote 5
2 Votes
UTANGULIZI: Navipongeza vyombo vyote vya Habari ambavyo vinaendelea kuwa wabunifu katika kurusha matangazo/maudhui mbalimbali ili kuhabarisha jamii kwa kujumuisha mtindo wa tafsiri kwa ALAMA ili...
1 Reactions
1 Replies
244 Views
Upvote 2
2 Votes
Ili kuharibu taifa lolote, anza kwa kuharibu mfumo wake wa elimu. Mfumo wa elimu wa Tanzania kwa sasa unawaandaa vijana kuwa wafanyakazi wa serikali au taasisi binafsi, jambo ambalo limepelekea...
2 Reactions
1 Replies
207 Views
Upvote 2
2 Votes
Nchini Tanzania, serikali inatoa kondomu bure ili kuhamasisha ngono salama na kupambana na kuenea kwa virusi vya UKIMWI. Hata hivyo, hedhi, ambayo ni hali ya kibiolojia isiyoepukika kwa wanawake...
1 Reactions
4 Replies
274 Views
Upvote 2
2 Votes
Zaidi ya 70% ya WaTanzania wanaishi vijijini ambako kuna maeneo mengi yenye rutuba za kuwawezesha kulima hivyo kupelekea waTanzania wengi wa kipato cha chini na kati kujikita katika shughuli za...
1 Reactions
2 Replies
191 Views
Upvote 2
2 Votes
Tanzania Tuitakayo: Miaka 5-25 Ijayo Katika kipindi cha miaka 5 hadi 25 ijayo, Tanzania inakusudia kuwa taifa lenye ustawi mkubwa, usawa wa kijinsia, na huduma bora za afya. Ili kufanikisha...
1 Reactions
2 Replies
252 Views
Upvote 2
Back
Top Bottom