Wakuu kwanza natanguliza salamu kwa member wote humu jukwaani.
Kama inavyojieleza kwenye kichwa cha habari ni kuwa laptop yangu aina ya dell inspiron 1000 ilizimika ghafla jana usiku muda mfupi...
Wadau nimebambikwa simu ya mchina (Samsung galaxy S4)....mwanzoni ilikuwa inawaka vzuri kama samsung S4 lakin kwasasa inawaka ikionyesha ni Media Tek- android....
Pia imekuwa slow sana + kuganda...
Naomba msaada wa-kiushauri kwa mtaalam wa kutumia camera
1. Ni kamera ya megapixel ngapi inayoweza kuchukuwa picha yenye ubora kwa umbali wa mita 50?
2. Ni aina gani iliyo bora?
3. Ni bei gani na...
Dah hike ni zaidi ya whatsapp kwa feature hizii-unaweza kutuma file zimaa na contents zake ila zisizid mb100-unaweza kutuma video ya mb100 sio kama whatsapp mb16 tuu, hadi muvi unaweza kuituma...
Waungwana Naombeni kujua ghrama za vin'gamuzi vya DSTV HD decoder hapa Tz.Je,kuna gharama za ziada katika malipo?Kuna Model aina ngapi sokoni? na ipi ni ya bei ya chini?
Msaada wana It natumia tecno p5 sasa kuanzia jana sipati internet inaniandikia 'unfortunately massanger stoped. Sasa sijui nimekolofisha wapi? Naomba msaada wenu
IPHONE 6 PLUS NA KASHFA YA BENTGATE
By Mwandishi Wetu
16:37
0 comments
iPhone, Mwanzo, Simu, Uchambuzi Wetu
iPhone 6 Plus jinsi inavyopinda
Amini usiamini Apple bila ya kukusudia...
Awali nilizungumzia kwamba siamini kwamba iPhone 6 Plus inaweza kuvunjika kwa kuiweka mfuko wa mbele bila ya kuikalia, na kueleza kwamba mwenyewe nimefanya jaribio hilo. Niliweka wazi kwamba the...
Naomba mtu anielekeze jinsi ya kuunlock sony ericsson w890i nimepewa na mzungu na nikiweka line inaandika INSERT CORRECT USIM... NATANGULIZA SHUKRANI WAPENDWA
Wanajukwaa wezangu, natumia I pad 64GB ambayo nimenunua kwa rafiki yangu flani ila imekuja na OS version 5.1.1 ambayo haisupport baadhi ya application hivyo naomba Msaada namna ya ku upgrade kwa...
Ninafanya programming ya devices hasa custom made devices ( zile ambazo mtu wa electronics anatengeneza mwenyewe from scratch, mfano barcode reader etc). ready-made devices nyingi huja na software...
Habari zenu. Mimi ni Mwl wa shule ya msingi ya hapa dar es salaam. Namba kuuliza je kuna shirika au taasisi inayosaidia kutoa compyuta walau used au kutengeneza bure program za database ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.