Wakuu ni siku ya pili leo nashindwa kuona picha zilizotupiwa JF za matukio mbalimbali. Natumia Nokia Asha 200 na kabla ya hapo nilikuwa nazipata bila shida. Nikiingia mitandao mingine kama...
hiv jaman kwann satellite dish hazitangazwi kaa mbadala wa wasioweza kulipia ving'amuzi, maana nijuavyo satellite dish zinashika local chanels. au ipoje msaada maama hata mie nina mpango na dish...
Habar wana jamvi
Naomba msaada kwa yeyote anae fahamu free thin client software, nimejaribu kuinstall open thin client but napata error so kama kuna mtu anajua nyingine plz help!
Natanguliza...
Wakuu naomba mnisaidie kusolve hili tatizo linalonisumbua mara kwa mara kwenye connectify dispatch maana nimejaribu njia zote bado ngoma nzito.
Tatizo lenyewe nikwamba ukishainstall hiyo program...
Habari wanajamii.
Nimenunua dish la zuku na kwenda kufunga kijijini kwetu kutokana na maelezo niliyopatiwa na wakalaila bado cjafanikiwa leo nipo mjini nimeambiwa maelezo hayakua sahihi na jamaa...
Kila nikiwasha mashine yangu kuna programs zinastart tena zingine hata cjui zilitoka wapi kwani sikuziinstall mfano ni "marketresearch" ambayo huanza kuinstall everytime nawasha mashine na siku...
wakuu naweza pata wapi idm yenye full verson nimejaribu kuinunua torrent lakini inaniambia nifanye registration sielewi kiukwel.... hiyo ni moja then kama mtu anaweza akanitatulia tatizo la...
Ohhh Nime-release hii program leo karibuni tena:
Summary: This tool helps you to lock your PC when you don't have to shut it down. You can lock for defined time or resume by entering password...
Wakuu, kuna modem ya airtel ilikuwa inafanya kazi vizuri tu, mara ikawa ukiiplug na kutaka kuconnet inaleta msg kwamba device is already in use or is not configured propery.
Shida ni nini...
najua wapo wataalamu wa aina mbalimbali humu jamvini naomba anijuze kuhu matumizi ya kitaalamu pamoja na tofauti zake
1.iphone
2.smartphone
3.tablet
Si unajua tena sisi ni wakule mwakaleli!
Windows cannot Install required files.Make sure all files required for installation are available,and restart installation. Error code:0x80070522.
Maelezo:
Ninapata message hii ninapotaka ku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.