Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
natafuta mtu mjuvi wa website design na graphics hapa dar anipe darasa!!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Welcome to the Fix it Solution Center Find automated solutions for your issues Select a problem area...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
msaada wana jf kila ninapo update windows ina fail ina nipa error 80244022 natumia windows 7 je nifanyeje ili hii error iondoke?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Got this from eThinkTankTz Copyright infringement lands technician in the dock A TECHNICIAN with Sunrise Computers, Msabaha Salu (26), was on Thursday brought to the Kisutu Resident...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
naomba yeyote anayeweza kunisaidia jinsi ya kuweza ku-install TTPod {application/software ambayo inaweza ku play lyrics za wimbo unapo play miziki ya kizungu kwenye simu} mi natumia nokia 5320...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu? Mimi ni mtaalamu kiasi wa computer, nina min laptop ya samsung n220plus ambayo imekufa display yake, nahitaji kuibadilisha, tafadhali naombeni maelezo yenu maana sijawai badilisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
nawapa heshima yenu,wataalam.web camera ya laptop yangu(toshiba pro satelaite l300)natumia window 7 ultimate imegoma kufanya kazi gafla!nitashukuru.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
What Makes a Password Stronger With concern about hackers, tools for remembering so many codes; no more pet names or 123456. For all its benefits, the Internet can be a hassle when it comes...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WAKUU MAJUZI HAPA TULIISIFIA SANA INTERNET YA VODACOM YA 30 BOMBA COZ SPEED YAKE ILIKUWA NA KASI SIO KIDOGO KIASI KWAMBA NILIDOWNLOAD ZAIDI YA 100GB NDANI YA MWEZI MMOJA...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
naomba yeyote anayeweza kunisaidia jinsi ya kuweza ku-install TTPod {application/software ambayo inaweza ku play lyrics za wimbo unapo play miziki ya kizungu kwenye simu} mi natumia nokia 5320...
0 Reactions
1 Replies
806 Views
Nina nokia E50, nahitaj kudownload facebook chat, ile inayoonyesha walio online,na kuchat bla kurefresh. Nimejaribu nmeshindwa,msaada w link. Nawasilisha.
0 Reactions
1 Replies
802 Views
Jamani kama kuna mtu anayefahamu jins ya kuchakachua kas per sky naomba atusaidie
0 Reactions
3 Replies
1K Views
This Tutorial will show you how to get Firefox running fast 1. Enable pipelining Browsers are normally very polite, sending a request to a server then waiting for a response before continuing...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu naomba mniwezekshe kupata call back kwenye cmu yangu ya wimbo wa Hello -Husein machozi ft Maundo Zorro. Ni wapi wanatua huduma hii? nimejaribu ku-google kachumbali flavour naona hawako online.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau kuna blackberry nimetumiwa kutoka nje aina ni script naona haina lain,je wakuu hakuna visoftware tunaweza kuiongiza ndani yake tukatumia lain za bongo?wajanja nipeni utundu
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Desemba 21, 2012: tarehe ya mwisho wa kalenda ya kisasa Long Count umba Maya kale katika Amerika ya Kati. Countless books and websites, magazine articles and newspaper headlines debate its...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habarini wana jf, nina modem yangu aina ni huawei, model- E153u-1, IMEI:352375045146925, naitaji kama kuna mtu mwenye uwezo wa kunipa code ya kuchakachua. Ahsanteni.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu wote wa JF. Napenda kufahamu endapo kuna uwezekano wa simu ya blackberry kutumika kama external modem. Mwenye kujua tafadhali atujuze ili nasi tupate ujuzi. Thanks!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za kazi wanaJF? Nataka fanya partitioning kwa hard disc ya comp yangu, naomba msaada nafanyaje ili niweze kuwa na for example; hard disc drive "C", "D" and so on....tafadhali naomba...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
The Apple iPhone rumors go into overdrive this year because Steve Jobs didn't introduce the 2011 model at WWDC and Bloomberg is reporting that the next iPhone (iPhone 5? iPhone 4GS?) will land in...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom