Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
nasikia kuna jinsi ya kuzifungua na ukaweza kutumia line zote. H alafu je inawezekana kutumia bila kuchajiwa au ni tetesi za watu?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ninataka niweke window 7 kwenye PC yenye window XP S P 2 ila kuna programs na documents ninaweza poteza, hivyo nikafikria option ya reparing. Vipi hii kitu inawezekana?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakubwa mambo vipi? Naombeni ip address za tigo internet
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Niliitoa memery card ya camera yangu, kwa bahati mbaya picha zote zimefutika. Kuna njia gani ya kuzirudisha .au
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayejua mahali router znapouzwa kwa bei nafuu anitaarif location hyo. Nataka nijipatie 1.
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Nashindwa kutupia flash player kwenye simu yangu ya nokia E65, pia naomba tofauti ya real player na flash player . Naombeni msaada wenu wataalam.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari ya saizi wana jf,nna shida moja naomba msaada wenu,pc ambayo naitumia ina users waili,administrator na user,sasa mimi naruhusiwa kutumia user ambayo iko restricted,vitu kama ku install...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimejaribu nikafikia hatua nikadaiwa username na password, hapo ndio nikakwama kwani sikuona na kujisajili ni pate username na password.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika huu uzi nitakuwa naweka link za framework tofauti tofauti za Java, nimegundua kuwa madeveloper wengi wa Tanzania hawana ufahamu wa framework za Java. Leo nimeanza na Seam Framework kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamii forum hamjambo wote! Safi. Kuna hii iliyoanzishwa vodacom dstv mobile ambayo inakuweza kuzama channel zipazo 5 kwa njia ya streaming video kwa sasa, hasa kwa wale wenye simu yenye uwezo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
speed imeongezeka ajab!mchana kweupe napata had 250kbps!let me enjoy it while it last!
0 Reactions
24 Replies
3K Views
mazee nilijichimbia mpaka kimeeleweka .utamu zaidi baada ya kuichakachua unatumia free internet . Masikio yako yawe karibu nami
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Wana JF naombeni kama kuna mwenye utaalamu wa kutuma habari au taarifa kwenye mtandao anisaidie,namaanisha hata kama sina website,najua huenda suala hili likahitaji shule ya mda mrefu lakini just...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
www.JigambeBlogs.com ni web application ambayo inafanya kazi ya kuunganisha bloggers na advertisers. Inawezesha bloggers kulipwa kwa ajili ya kuandika posts zinazosifia bidhaa au biashara au...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
habari zenu wana jf, naomba yeyote mwenye ujuzi hapa tafadhali.nina modem ya sasatel,ila nashindwa kuiunganisha kwenye mtandao,nimefanya procedure zote lakini nikiconect inaleta meseji kwamba ...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wakuu nimeletewa zawadi ya kitu kinaitwa bluetooth stereo headset sasa Jinsi ya Kuoperate Imekuwa ishu sana Msaada Tafadhari
0 Reactions
4 Replies
1K Views
naomba mwenye keys za office 2010 32 bit plssssss
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna kitu huwa nakiona katika laptop adapters nyingi. Huwa ni kama cha duara hivi na kinawekwagwa kabla ya pin ya kuchomeka adapter katika laptop. Sasa nimeshindwa kuelewa ni cha kaz gan na kina...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
GPS locator aina ya MAGELAN(EXPLORIST 100) Zinauzwa kwa tsh 100,000/= (laki moja tu). Kwa anayehitaji anicontact kwa namba 0682007117. Ni mpya kabisa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani nitapataje? NOKIA 5800 music express touch screen kwa bei nafuu hata kama ni used ili mradi iwe nzima.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom