Habari wakuu,
Nina Iphone 3g ambayo sijui namna ya kupata setting zake za internet kwa mtandao wa airtel (zain) kwa yeyote mwenye kujua naomba msaada wa maelekezo tafadhali.
Nimependa habari kutoka TCRA kuwa wana mpango wa kuhakikisha vyombo tajwa vinatumia ama mnara mmoja katka baadhi ya maeneo.
hii itapunguza gharama za kuhudumia minara hiyo na utitiri wa minara...
wataalam
napenda kujua kAm kuna mwenye detailed knowlnge ya Denial of service attack.
Nimekuwwa nafutial website ya wiki leaks na naona wanalamika kuwa website yao imekuwa attacked kwa...
Wadau,
Nimenunua multimedia player moja hivi Woxter i-Cube 2400, 1TB. Hata bado kuitumia ishaanza maringo. Siwezi ku-access (au haipo? lakini physically ipo) HDD, hata niki-connect kwenye...
WASHINGTON (Reuters)
A strange, salty lake in California has yielded an equally strange bacterium that thrives on arsenic and redefines life as we know it, researchers reported on...
Kuna machine najaribu kudesign nachanganya engine ya generator na inverter kupata umeme rahisi. una Idea yoyote ambayo itanisaidia?mwenye idea ya 500w, 1000, to 3000w alete hapa. Nipo Nachingwea
By David Mugwe (Bdafrica.com)
The Kenya ICT Board has lined up a $120 (about Sh10,000) laptop grant for 15,500 university students in a plan meant to raise Internet access and computer usage...
The hybrid helicopter car: U.S. military to develop futuristic vehicle destined for Afghanistan
It is the latest weapon to defeat the Taliban - a James Bond-style armoured car that can fly...
Kwahiyo tumekuwa tukisoma na kujadili mambo kadhaa kuhusu taarifa za siri za Serikali ya Marekani kuvuja na kuingia kwenye mtandao wa WIKILEAKS na mtandao huo kuweka taarifa hizo hewani kwa ajili...
Do you want to test your antivirus? Just download virus to your computer and wach what policy will by of your Antivirus...
Important note: WE cannot be held responsible when these files or...
Hallo wana JF!
Jamani mimi natumia Windows Vista - Home Premium, ambayo ni 64-Bit version.
Tatizo la hii ni kwamba karibu kila mara ninapo install windows update za microsoft,...na baadae...
Habari zenu wote wakuu wa hii J.Forums kuna Rafiki yangu ana matatizo na Laptop yake ya Dell kuhusu swala la Ku Connect Wireless icon yake chini imekuwa Disable Radio na
nimejaribu kwenye hiyo...
Tafadhali naomba msaada kwa wataalamu wahusika.
Nina laptop yangu ni hp nimeinunua kama miaka miwili nyuma lakini huwa siitumii sana.
Operating system in windows vista na program za microsoft...
Nielekezeni jinsi ya kuunganisha thread zaidi ya moja kwenye thread moja hapo nimepapasa mpaka basi sasa naomba msaada hata invisible kama yupo karibu nahitaji baraka zako!!
Futa kumbukumbu kabla ya kuiuza kompyuta
Nimejaribu kuipanga bila mafanikio,so kwa original Post: Nena HAPA
Unataka kuuza kompyuta yako na kununua mpya,lakini kwenye kompyuta yako kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.