kwa wale wanaoishi na wadogo zao ama watoto
hii ni kwa ajili yao.
unaweza kublock website za ngono kwa kutumia hii software
Hotfile.com: One click file hosting: Anti_Porn_13_9_2_26.rar
What is a virus?
A virus is a program that can copy itself and infect various parts of your computer, such as documents, programs, and parts of your operating system. Most viruses attach...
MAKE your password strong, with a unique jumble of letters, numbers and punctuation marks. But memorize it never write it down. And, oh yes, change it every few months.
These instructions are...
Habari zenu wakuu, Kila mara nikiwasha PC nakutana na haya maneno 'Press F1 to continue!'...ninawezaje kuondokana na adha hii? Napenda nikiwasha PC iwe ina-load moja kwa moja! Asante sana.
bonyeza hii link Opera Web Browser | Faster & safer | Download the new Internet browsers free
download hii software ina uwezo wa kubrowse website za simu kwenye computer
Wataalam wenzangu wa mambo ya website leo nimeachwa kando kidogo na hii sijui naeza kuiita animation ya kwenye google.
hiyo ni aina ipi ya animation jamani naona ni kitu kipya kwangu naomba...
Ukipigiwa simu kwa nambari binafsi (private no.) au ikiandika call kwa red usipokee ni mionzi unaparalise na kufa.Imetokea kenya watu wamekufa.
Julisha ndugu & jamaa wote.
Msaada tafadhali...
kwanini uchague Windows 7
Microsoft wameweza kuuza nakala zipatazo milioni 150 million za Windows 7 ndani ya miezsi kadhaa tangia iingie dukaniHii imewawezesha au kuifanya windows 7 kuweka...
nilisoma thread ya INVSIBLE juu ya zantel kupunguza bei za net kuwa sasa wana packge ya tsh 10,000 kwa 2GB. Mwanzoni walikuwa na packge ya 200MB kwa shs 10,000 ambayo ndo nilikuwa najinafasi nayo...
WanaJF naomba Msaada
Laptop yangu iko slow saana inatumia window VISTA nikiwa natumia internet inakuwa slow saana. Nimejaribu kuscan using Avira lakini ikiscan na kufika katikati inazimika, hapo...
Wana JF naomba kama kuna mtu mwenye kujua small Enterprisecompany dealing with IT na haswa kwenye kazi za kutoa Technical support hapo ZNZ ambayo naweza kushirikiana nayo/ nae kwenye kazi ani...
Asalaam Aleikhum waungwana!
Hivi karibuni watu wote waliopo kwenye adress book ya email yangu wamekuwa wakitumiwa messages as if nimezituma mimi message hizo ni za aina mbali mbali lakini...
Hamjambo wana JF. Computer yangu iliingiliwa na virus na C drive , D drive na Flash disk vyote vikabadilika majina mfano C Drive ipo na herufi AOX0.... halafu C inafuata na D drive hivyohivyo ni...
Google said it will allow users to make free or deeply discounted calls right from Gmail to regular phones, ramping up the competition with Skype and similar services.
Gmail users will see the...
Wana Jf, msaada jamani.........Nimenunua komputa, used. Ni HP Pavilon. Ina lugha ya Kifini, ninataka kubadili lugha kwenda kiingereza. Nimeshindwa kubadili lugha. Nina CD ya VISTA, nimeshindwa...
Jamani ni siku ya tatu leo na ka DELL kangu kako very slow na kanakwama mara kwa mara na kila wakti yanatokea maneno hayo hapo juu, nisaidieni.
Nilikuwa natumia anti virus ya norton kwa miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.