Naomba msaada wana jamii.
Ms Excel file zangu zenye rekodi za biashara kwa miaka 3 iliyopita zime "corrupt" na haziwezi kufunguka. Nimeelezwa nikipata software ya kurepair au recovery basi...
Wakulu jana nimesoma kwenye gazeti kuwa Zantel wameanzisha huduma ya internate kwa wale wenye BB ila kama vile ni makusudi au kupitiwa hawajatoa kiasi unachotakiwa kukilipia ili upate hiyo...
wakuu naomba mnisaidie kupata hiyo software.ninaishi kijijini nimeokota hii simu sasa ninahitaji kuinstall hii software ili niweze kuitumia pia na kompyuter!
AHSANTE
wakubwa naombeni msaada.Tangu juzi kila nikifungua document za excel napata ujumbe wa "window installer".Nimejaribu kufuatilia hichi inachotaka ku install lakini mwishi naambiwa ime fail.
Jamani kuna coding competition organized by google here:
http://code.google.com/codejam/africa/
Current Round is only a qualification round, so it not too late. Round hii inaisha saa 9 usiku...
Naombeni msaada jamani,
Nimejaribu hata kwa iPhone 3G still didn't work, always says searching, but never finds any device.
Something wrong with iPhone 'tooth' or?
Wakuu natafuta PDF Editor software chapchap, nimejaribu kuzungukazunguka, naonana na nitroPDF pekee, kama kuna mwenye nayo nyingine naomba msaada, au hata kama kuna mahali humuhumu ndani ipo...
colloge of business education dar es salaam campus wamefunga wireless internet sasa hivi wanamalizia matengenezo madogo madogo kukamilisha hadi sasa teyari substation zimefugwa. Lakini sijui...
Wakuu kwa wale wajuzi wa mambo Haya naomba msaada wenu.Nimekuwa nikitumia HUAWEI EC 189 USB Modem nje ya Tanzania.Nataka nirudi home na nina mpango wa kuendelea kuitumia hiyo Modem nikiwa Home...
Jamani Blackberry Storm 9500 yangu kila nikicharge haingizi charge yoyote inabaki kuwaka kwenye LED red tu,mwanzoni nilifikiri huenda betri imeisha ikabidi ninunue mpya na kuweka nikajaribu...
MADA HII IPO HAPA KUNA NINI NBC
NIMEAMUA NIILETE HAPA KIDOGO ILI TUWEZE KUSHIRIKI PAMOJA
Ndugu zangu nimeona mlichochangia hapo napenda kusema kwamba ni kweli kuna msako wa kutafuta...
CreativeTechs wanafanya kozi za bure Live kupitia mtandao wana kozi za Photoshop, Flash, Android, iPhone na zengine nyingi full list:
http://creativetechs.com/training/
Kuangalia kozi nenda...
Malware could tap into phone's microphone, GPS and even your battery
iStockPhoto
A rootkit is different and more difficult to detect than other malicious software like viruses.
Malicious...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.