my computer has a virus and i want to download a free antispyware to get rid of the virus.do you know any FREE good antispyware i can download?oh! and is easy to download not complicated.just give...
Napenda kuwatahadharisha kuhusu hii njia wanayotumia kupata kuingia kwenye account zetu.Pindi upatapo hii msg niliyoambatanisha hapo chini just ignore it.
kwa wengi wetu ambao tumepatwa na tatizo...
AFROIT FORUMS imeshindwa kabisa kuendelea,kwani inapita hata mwezi hakuna jipya lililowekwa hivyo miminimeona haina haya ya kuwepo kwake kwani haina jipya katika ulimwengu huu wa IT...yani hata...
HUUU NDIO UHANDISI
Click the Link below to preview the Image
http://2.bp.blogspot.com/_HO8ijU76ZcQ/SvpUDDE1kMI/AAAAAAAA0O4/4iMNMCeIVyI/s1600/untitled.jpg
Even after you see it, it is still...
Kwa muda sasa baadhi ya antivirus , internet security hata firewalls zimekuwa na programu maalumu ambayo inakuwezesha kutambua kama tovuti au kurasa za mtandao unazotembelea ni haramu au la ...
Tuangalie kidogo PDF
Wengi wetu tumekuwa tunatumia Nyaraka zilizo kwenye mfumo wa pdf mara kwa mara ( Portable Document file ) watu wengi wamezoea kutumia program za adobe kama Adobe Reader...
We have located the first iPhone worm, dubbed as Ikee. It's currently spreading in the wild, but it's only able to infect devices that have been 'jailbroken' by their owners. Jailbreaking removes...
To
hide your computer from being browsed in Network Neighborhood, open a
command prompt by clicking on Start \ Run and typing the following:
net config server /HIDDEN:YES
If the command was...
JAMANI MUWE WAANGALIFU KWA HUU MCHEZO. Mtu atakuletea Email kama hiyo ya chini Eti atasema kuwa imetoka kwa (Yahoo Security Warning ) kumbe ni muongo haikutoka kwa (Yahoo Security Warning) na...
MATEGEMEO YANGU 2010
Kwa miaka michache iliyopita kampuni nyingi za habari Tanzania zilianzisha tovuti zao ili habari zao mbalimbali ziwe zinaingizwa katika tovuti hizo watu wasome lakini...
Kwa wale wanaopenda kuwa na operating system mbili kwenye kompyuta moja, unaweza kurun Windows na Ubuntu. Ubuntu ni open source, kwa hiyo hulipi kitu na pia haina matatizo ya virus.
Soma hapa...
ninaomba msaada; kama kompyuta inatumia 'operating systems' mbili mfano Linux na XP, sasa nataka kutoa Linux nibakie natumia XP nifanyeje? nitaitoa vipi hiyo Linux? je, inatakiwa kufomati kila...
Wakuu Wa JF nawaombeni msaada kuhusu keyboard yangu tangu nimeiweka OS Ubuntu Linux keyboard yangu herufi mbili hazifanyi kazi ya kwanza ni (X) nikibonyeza hefuri X inakuja Herufi Ñ na ingine...
When Contact is First Made: 'they might be a scammer if'
They immediately want to get off the website and onto Yahoo IM or MSN IM
Their profile seems to disappear off the website immediately...