Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

I have been Rooting my Tecno Camon CX with Android 7.0 and it was successful. Now I am happy with my device...[emoji39][emoji39][emoji39]
1 Reactions
4 Replies
1K Views
JINSI YA KUBADILISHA LOGO YA WINDOWS 7 na KUWEKA PICHA YAKO pindi tu PALE PC YAKO INAPOANZA KUWAKA au KUZIMA. 1 - Bonyeza WINDOWS KEY + R kufungua CHECK BOX. 2 - Katika hiyo CHECK BOX andika...
0 Reactions
0 Replies
690 Views
Natafuta web and applications developers ambao wana uzoefu. Kwa wale ambao wapo interested; Wasiliana nami kwa +255766640505
0 Reactions
1 Replies
667 Views
Habari wanandugu ikiwa imepita takriban miezi mitatu toka kampuni ya Samsung kuzindua simu zake za S10, S10 plus na S10 5G ikiwa na vitu vipya pamoja na technologia ya hali ya juu. Kwangu mimi ni...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Yaani nimejaribu kupekuwa simu nyingi kwa kina nakuta inaonyesha. Simu hata iwe na ram kubwa vipi. Yaani tunapewa ℅ kama 30 tu. Nyingine inatumiwa na system. Hii imekaaje yaani app zinatumia 30℅...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
katika pitapita zangu nikashangaa kusikia iphone 5s inapata toleo jipya la ios 12 je kuna ukweli au uongo simu ya mwaka 2013 mpaka leo inapata updates kweli ? iOS 12 will continue supporting...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Wakuu habari za jpli. Naomba kujuzwa kuhusu soko la websites na linaendeshwaje. Maana Nina mpango Wa kusoma hii short kozi pale ucc, static & dynamic website. Karibuni.
0 Reactions
1 Replies
960 Views
Habari wanajamvi, nimenunua tcl smart TV na nimesikia kuna uwezekano wa kutizama channel za bure kwa kutumia antenna ya kawaida kabisa Tafadhali mwenye uelewa juu ya hili suala anisaidie tafadhali...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Salaam wakuu! [emoji120] Ni kweli kwamba simu za OPPO na LENOVO zinasumbua mtandao hapa Tanzania hata kama ni UNLOCKED? Nikiwa kwenye mchakato wa kuzihama Tecno, pendeleo langu ni OPPO au LENOVO...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari wadau Miaka ya hivi karibuni kumekuwepo matumizi ya bati za migongo mipana maarufu kama msouth katika kuezeka nyumba zetu. Kiukweli ni bati ambazo zinamwonekano mzuri ukilinganisha na hizi...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
habal wana JR napenda kuulza iv WHATSUP WEB inakaz gan
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za mda huu wakuu Me na shida kidogo Nimenunua parcel eBay na nataka ni ship kwa kutumia dhl Parcel inatoka Us but sijaona address za dhl ambazo nitampa muuzaji ili mzigo upelekwe pale...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
naomba msamaha kwa hili ila jamani kuna simu yangu VODAFONE 685 hina kataa ku install app ya Instagramu na tatizo sio SPACE uki download hinaingia hadi 100% tatizo ku Install Naombeni msaada...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari...Kuna Ukweli Juu Ya Kuweza Kutumia Android Apps Katika Ios Yaani Iphone,Ipod,Ipad Devices??Na Kama Ni Kweli....Nani Anazijua Hizo(Tricks)[emoji2]?
0 Reactions
1 Replies
522 Views
Habari zenu wakuu, Nipo dar wapi kuna maduka ya electeonics ambapo nitapata arduino na gsm control
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau naomba kueleweshwa suala zima la oil.... mfano watumia gari dogo ist...unakuta unaaambiwa weka oil flan ya km 3000 mara mwingine oil hii kma 50000 mara ooo oil hii nyepesi sana si...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Yes....Kwa wale wanaotaka kupiga pesa online kupitia simu zenu,leo tumewaletea njia ya kufungua account ya paypal ukiwa Tanzania. Kumbuka ukiwa Tanzania huwezi kufungua akaunti ya paypal na...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
UKIANGALIA katika simu yako ni dhahiri Application nyingi ulizopakua ni za bure. Wote tunapenda App za bure. Mara nyingi App za bure zina gharama ya faragha (privacy) wakati wa kuziingiza...
2 Reactions
12 Replies
9K Views
Wakuu wa JF, naomba msaada juu ya ubora wa hii PC, na nambiwa ni mpya tatzo ni bei iko very cheap! naomba uzoefu kama uliwahi kununua kwa hili duka BONGODUKA KARIAKOO, DAR. Lengo naitaka hii PC...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom