Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Baada ya muda mrefu kesi iliyokuwa inaikumba Google kwa kuwa moja ya kampuni inayomiliki platform nyingi zinazokusanya data pamoja na umiliki wa Google search engine ambayo imekuwa ikitumika...
8 Reactions
24 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Hivi jamani speed ya 1.6GHZ kwenye pc ni nzuri au sio nzuri mana nimeambiwa speed ndo iyo na Ina GB 16 SSD na ram 4 vp iyo PC Iko poa au majanga tu?
1 Reactions
5 Replies
348 Views
nashindwa kuelewa hii interfere Ni ya software gani
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau wa JamiiForums eti inawezekanaje mtu kutumia mtandao free bila bando... Kuna wanaosema wanatumia free intanet kwa kufanya ujanja kwa kutumia VPN proxy me nikaona niwashirikishe waungwana...
3 Reactions
32 Replies
14K Views
Habari zenu wataalamu. Nimekuwa mtumiaji wa window 10 kwa muda mrefu sasa, changamoto ya kula bando sana imekuwa common. Labda wataalamu tushee mawazo kwa watumiaji wa version nyinginezo, 7, 8, 11...
4 Reactions
30 Replies
966 Views
siongei sana, wacha tunyoke moja kwa moja kwenye hizi points zaidi ya 20 Bei ya iphone ipo juu kwasababu haitaki ushindani Iphone ni kama unaposafiri safari ndefu kwa basi, huwa kuna ile...
104 Reactions
370 Replies
39K Views
Habari wakuu, Nimenunua Router ya airtel 5G (smart box), nimejiunga kifurushi cha unlimited cha 110,000/- kwa mwezi, nimepata changamoto ambayo hata airtel wenyewe wameshindwa kunisaidia. Nimeona...
19 Reactions
126 Replies
12K Views
Swali langu lipo juu ya kichwa cha thread.
2 Reactions
11 Replies
398 Views
Unakuta simu Ina sifa nzuri ukiangalia nyuma makamera utitiri, yani kipangiliyo kamera nyingi Iko hovyo sana sababu ya kamera nyingi ni nini kama Kuna umuhimu haziwezi kukaa ndani ya camera Moja...
5 Reactions
8 Replies
696 Views
Kwanza tuanze kwa kujifunza kuhusu Open Source project katika ulimwengu wa Technology, Open Source ni zile project ambazo source code zinakuwa available in public kwaajili ya modifications n.k...
1 Reactions
4 Replies
368 Views
Je simu yako imeingia maji? Inawezekana ukawa unatembea ghafla simu yako ikaingia maji uko mbali na fundi au vifaa viko mbali utafanyaje? Okay unajua Teknolojia inazidi kukua kwa Kasi kila siku...
0 Reactions
1 Replies
265 Views
Habari wana JamiiForums, Hivi majuzi account yangu ya Gmail ilifanya malipo kwenye airtel money kupitia google Play kwa app ambauo niliidownload playstore ambayo sikuwa awareness na kuchukua...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Habari za muda huu JF members, kwa walio wahi kupitia hii kadhia mlijinasua vipi pia naomba kujua kwa undani kwanini tunakua banned as a spam ilihali hatupo hivo sababu hasa hua ni ni asante...
1 Reactions
8 Replies
280 Views
Kuna app zaidi ya 50 zimefungiwa nchini Tanzania na benki kuu ya Tanzania ambazo zinatoaga huduma ya mikopo kwa Watanzania kwa mfumo wa kidigitali. BOT imebaini kuwepo kwa app zinazojihusisha...
1 Reactions
6 Replies
639 Views
Hii ni kushindana vizuri zaidi na iPad za Apple ambazo inatawala soko la tablet na kuongeza ufanisi kwa kuwa na OS moja ambayo inafanya kazi kote simu, tablet, laptop, tv, magari etc. Kazi hii...
0 Reactions
0 Replies
210 Views
๐—–๐—ผ๐—ฑ๐—ฒ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐—บ๐˜‚๐—ต๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ Zifahamu secret code muhimu ambazo zitakusaidia kuweza kutatua baadhi ya matatizo kwenye simu yako au ya rafiki yako ulizokuwa uzijui kabisa kama...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Kulingana na ripoti ya CDC, inaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 60 ya watu wote waliopo duniani hawapati Usingizi wa kutosha. Kutengeneza mazoea ya kulala kwa wakati kunaweza sababisha kuboresha...
4 Reactions
5 Replies
340 Views
Wakuu msaada tafadhali, Hivi hapa Spotify haina uwezo wa kudownload ngoma ukiwa offline u play kama audio mak? Hii imekaaje wakuu?
0 Reactions
6 Replies
330 Views
Habari wana JF, Samahani nataka kufahamu nikilipia mtandao wa twitter x kupata bluetick napatiwa baada ya muda gani na je nikitaka ku cancel narudishiwa pesa au utaratibu unakuaje. Ahsante
1 Reactions
6 Replies
262 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ