Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

𝗭𝘂𝗶𝗮 𝗸𝘂𝗿𝗲𝗸𝗼𝗱𝗶𝘄𝗮 𝘃𝗶𝗱𝗲𝗼 𝘂𝗸𝗶𝘄𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗽𝗲𝗻𝘇𝗶 𝘄𝗮𝗸𝗼 Kumekua na matukio ya kushangaza kila siku ulimwenguni kuhusu watu kupostiwa video zao za ngono mtandaoni utakuta mume, mke au mpenzi mlikua kwenye...
2 Reactions
22 Replies
623 Views
Nimekuwa nikitumia superkasi kwa muda na nilijaribu ile ya airtel japo performance zilikuwa poa ila nilikuwa nikipata shida ya latency kuwa kubwa maana mainly shughuli zangu zina involve calls za...
23 Reactions
116 Replies
4K Views
Habari wadau. Kuna hii simu yangu Aina ya Samsung, nahitaji msaada namna ninaweza kuondoa hii option ya message nibakiwe na moja. Ninayohitaji kuondoa ni hiyo niliyoweka alama ya X Asante
2 Reactions
14 Replies
494 Views
Hakikisha unapakua Application kutumia 'Play Store' na 'App Store' Kupakua 'Application' nje ya Play Store na App Store: - Kunaweza kusababisha "virus" kwenye vifaa vyako kama Kompyuta na simu...
2 Reactions
3 Replies
717 Views
Mtu unanunua flagship ya pesa nyingi yenye technology ya kioo kikalii badala ya kuendelea kuenjoy AMOLED au OLED mixer 2200 nits ulivyokua zwazwa unaenda kuweka giza juu yake sijui mnaficha nini...
0 Reactions
6 Replies
376 Views
Wajuzi wa mambo naomba msaada wenu Simu zipi ni nzuri kati ya Xiaomi, OPPO na VIVO. Tusiangalie bei tuangalie vigezo vya ubora.
4 Reactions
20 Replies
4K Views
Kampuni ya Austin imetengeneza choo cha kisasa chenye kamera📸 kwa ajili ya afya yako 😲. Unaweza sema wamechanganyikiwa awa jamaa au lah lakini ndo uwalisia sasa. Teknolojia hiyo mpya inaitwa...
5 Reactions
17 Replies
805 Views
Hello JF, Nina vitu vingi vya kushare na ninyi pia mengi ya kuongea na ninyi wateja au wadau wote kwa ujumla juu ya kununua hivi vitu vya kieletroniki kama vile Tv, Home threater, pasi, na vitu...
0 Reactions
1 Replies
357 Views
PIXEL 3AXL 130,000 PIXEL 3XL 140,000 PIXEL 3 130,000 PIXEL 3A 120,000 PIXEL 4 4G 300,000 PIXEL 4A 5G 290,000 PIXEL 4XL 180,000 PIXEL 5 400,000 PIXEL 5A 330,000 PIXEL 6 230,000 PIXEL 6A 300,000...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
PASSWORD (NYWILA) IMARA NI MUHIMU ILI KULINDA TAARIFA ZAKO KATIKA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI NA PROGRAMU TUMIZI Password au Nywila imara na ya kipekee ni muhimu ili kulinda taarifa zako na programu...
1 Reactions
6 Replies
315 Views
Yani umejipinda kununua simu kali halafu uanze tena kutumia 4g wakati eneo lina 5g ya kutosha, Ahh wapi aisee !! miyeyusho hio !! Ni tahadhari ya mapema kabisa naitoa, kama unataka kununua google...
1 Reactions
1 Replies
466 Views
Habari ndugu zangu. Natumia iMac yenye iOS Monterey. Nauliza nawezaje kupata software za bure? Na je naweza kudownload software kutoka torrent?
0 Reactions
3 Replies
199 Views
Habari wana Tech wa JF? Naomba mnisaidie namna ya kufanya sms recovery kwenye smartphone yangu Natumia samsung galaxy A05, Kuna wakati nakuta sms muhimu sana zimefutwa hata kwenye recycle bin...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana sayansi toka nchi ya kenya wameweza kugundua vijidudu wadogo wadogo ambavyo vinaweza kuharibu polystyrene, plastiki yoyote kwa usaidizi wa bakteria wa tumboni. Madaktari hao wamegundua...
2 Reactions
8 Replies
469 Views
Wasalaam wana tech, Kama tunavyojua uelewa wa computer bado sio mkubwa sana kwa watumiaji wengi wa kawaida, mambo ya virus & malware hayatiliwi mkazo sana na watumiaji, mtumiaji anachojali...
4 Reactions
7 Replies
3K Views
𝗡𝗼𝗸𝗶𝗮 𝟯𝟮𝟭𝟬 𝗶𝗺𝗲𝗿𝘂𝗱𝗶 𝗧𝗲𝗻𝗮 𝗯𝗵𝗮𝗻𝗮 𝟮𝟬𝟮𝟰 𝗷𝗲 𝘂𝗻𝗮𝘄𝗲𝘇𝗮 𝗸𝘂𝗶𝗻𝘂𝗻𝘂𝗮 ?? Unakumbuka Ile simu original ya Nokia 3210 iliyoachiwa mwaka 1999. Hatimaye imerudi Tena kwa mara nyingine mwaka 2024. Simu hii...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Nipo kwenye last steps kukamilisha hiyo system ambayo inaweza fanya hivi- 1-create users with different roles and permissions 2-add stock 3-sell stock 4-truck proft and usage 5-view and export...
3 Reactions
10 Replies
322 Views
5G Technology: Teknolojia ya 5G ni kizazi cha tano cha teknolojia ya mawasiliano ya simu, ikiahidi kuleta mapinduzi makubwa katika mawasiliano ya simu na huduma za data. Kabla ya 5G, teknolojia za...
4 Reactions
2 Replies
377 Views
Kununua kompyuta iwe laptop au desktop huwachanganya watu wengi hasa wasiokuwa na uzoefu wa vifaa hivi maana ukifika dukani utakuta za kila namna na miundo tofauti, nimeona niandike makala hii...
77 Reactions
162 Replies
47K Views
Back
Top Bottom