Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wakuu kuna simu hapa tecno L8 ina hii cable inaitwa OTG sasa swali langu naweza kutumia modem katika internet,yaan nizime data alafu nitumie modem
2 Reactions
7 Replies
967 Views
Download manager ni andoid ambaye anashugulika na kudownload ktk simu yako ivyo pale anapoblokiwa uwa simu inaandika unfortunately google playstore stoped ili neno utokea mara kwa mara ktk simu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu!! Naomba mwenye kujua application ya ku convert mp3 music iwe instrumental/beat tupu anisaidie, iwe inatumia windows 7/8/10
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Naombeni msaada Jinsi ambavyo naweza Kutumia whatsup kwenye laptop.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hiki ndicho nlichogundua
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habari wanajamvi, naomba mnisaidie majina ya magame makali yanayo patikana katika windows phone.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Waungwana Ninashida kujenga banda la uwani,, ni vyumba 3 kila chumba kikiwa na choo yaani self. Engineer kaniambia nimlipe mil 7 yaani kufikisha kwenye matoleo tu,,, then from there tuongee tena...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mimi nime maliza kidato cha nne mwaka 2008 kama mnakumbuka miaka hiyo kulikuwa matokeo yakitoka huwanaweka namba tu sio majina kama siku hizi kama sikosei sasa mimi bwana sikumbuki namba yangu ya...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Wakuu ni mtaàlamu wa adsense account kwa yeyote anayehitaji tuwasiliane kwa namba 0687 535650
0 Reactions
10 Replies
1K Views
naomba msaada Wa kuckrack easy video maker 5.26 au software yoyote ya kuedit video nzuri kwa beginner ilimradi isiwe trial version.. natanguliza shukrani.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama nilivo jieleza hapo juu najua humu nyumbani kwetu kuna majibu ya takribama maswali yote ambayo watu ambayo yanahitaji majibu. Nimepakua (download) encyclopedia Britannica 2013 imenishinda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar zenu ndugu, naomba msaada wa kupata Chanel za bure katika king'amuzi cha continental Asante.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
simu inateta hivyo muda wote, nifanyeje kutatua tatizo
1 Reactions
57 Replies
5K Views
Wakuu nimeachiwa iphone 4s na best yangu mmoja hivi aliyekuwa hapa nchini tulikutana some where at the end akanipa iphone sasa sikuwa na haraka ya kuitumia juzi naiwasha inaniambia niingize apple...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari zenu wanajukwaa? The latest version ya playstore ina leta error nikitaka kuifungua "Unfortunately playstore has stopped working" ni takribani mwezi sasa.Kwa version up to 7.3.2 ya June 2...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
wakuu msaada wenu mwenye ufahamu kuhusu hii crash massege.. nime restore lakin wapi.. device yangu ni tecno c5 android 5.1
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Leo natimiza mwaka sasa toka nimenunua king'amuzi changu cha star times, lakini toka nimenunua baada ya kukiwasha tu, nimekuwa natazama chanel zote zilizomo katika kinga'muzi hicho bila ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nina Chaja ya laptop ambayo inaweza tumika kwenye umeme wa Gari,Battery ya Gari au Solar(input 11V to 14V) kwa ajil ya kuchajia laptop,inaweza tumika kwa aina 8 tofauti za laptop(ina pin 8 so...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu nina pc yenye ram 2gb, intel core 2 duo 2.4ghz processor. Nataka nikanunue video card ili nicheze game kama GTA 5. Naomba ushauri maana mi sio mjuzi wa haya mambo, ninunue video card ipi? Na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom