Habari wakuu kuna simu hapa tecno L8 ina hii cable inaitwa OTG sasa swali langu naweza kutumia modem katika internet,yaan nizime data alafu nitumie modem
Download manager ni andoid ambaye anashugulika na kudownload ktk simu yako ivyo pale anapoblokiwa uwa simu inaandika unfortunately google playstore stoped ili neno utokea mara kwa mara ktk simu...
Waungwana
Ninashida kujenga banda la uwani,, ni vyumba 3 kila chumba kikiwa na choo yaani self. Engineer kaniambia nimlipe mil 7 yaani kufikisha kwenye matoleo tu,,, then from there tuongee tena...
Mimi nime maliza kidato cha nne mwaka 2008 kama mnakumbuka miaka hiyo kulikuwa matokeo yakitoka huwanaweka namba tu sio majina kama siku hizi kama sikosei sasa mimi bwana sikumbuki namba yangu ya...
naomba msaada Wa kuckrack easy video maker 5.26 au software yoyote ya kuedit video nzuri kwa beginner ilimradi isiwe trial version..
natanguliza shukrani.
Kama nilivo jieleza hapo juu najua humu nyumbani kwetu kuna majibu ya takribama maswali yote ambayo watu ambayo yanahitaji majibu. Nimepakua (download) encyclopedia Britannica 2013 imenishinda...
Wakuu nimeachiwa iphone 4s na best yangu mmoja hivi aliyekuwa hapa nchini tulikutana some where at the end akanipa iphone sasa sikuwa na haraka ya kuitumia juzi naiwasha inaniambia niingize apple...
Habari zenu wanajukwaa? The latest version ya playstore ina leta error nikitaka kuifungua "Unfortunately playstore has stopped working" ni takribani mwezi sasa.Kwa version up to 7.3.2 ya June 2...
Leo natimiza mwaka sasa toka nimenunua king'amuzi changu cha star times, lakini toka nimenunua baada ya kukiwasha tu, nimekuwa natazama chanel zote zilizomo katika kinga'muzi hicho bila ya...
Nina Chaja ya laptop ambayo inaweza tumika kwenye umeme wa Gari,Battery ya Gari au Solar(input 11V to 14V) kwa ajil ya kuchajia laptop,inaweza tumika kwa aina 8 tofauti za laptop(ina pin 8 so...
Wakuu nina pc yenye ram 2gb, intel core 2 duo 2.4ghz processor.
Nataka nikanunue video card ili nicheze game kama GTA 5.
Naomba ushauri maana mi sio mjuzi wa haya mambo, ninunue video card ipi?
Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.